diesel

  1. MAMESHO

    Car4Sale Inauzwa pick-up double cabin Toyota Hilux JTD5 2.4 Diesel

    Pick-up double cabin White Imported from: great britain Manufactured: 2004 Manual 2kd D4d Current location : moshi Whatsapp /call 0713683422 Owner is a doctor Reason for selling: requires automatic same vehicle due to left leg injury Price: 28 million
  2. Peramiho yetu

    Hatimaye Ditram nchimbi afunga goli

    Hii ni baada ya kukaa mwaka mmoja na mwez mmoja bila kuifungia yanga goli katika mechi za kimashindano.
  3. secret file

    Naliona Soko la Mafuta ya Diesel na Petroli likipata changamoto miaka michache ijayo

    Habari zenu. Nimekuwa nikifatilia kwa karibu mabadiliko ya technology yanayokuja kwa kasi kwenye vyombo vya moto. Kuhama kutoka kwenye matumizi ya diesel na petroli kwa mbadala wa umeme. Kama ambavyo tunamuona injinia gwiji Elon Musk kupitia Tesla Electric Cars Solar & Clean Energy anakuja kwa...
  4. Kilahunja

    Msaada wa volkswagen touareg 3.0 td1 v6 diesel

    volkswagen touareg 3.0 td1 v6 diesel Wakuu poleni na majukumu, nataka kununua hii gari hivyo naomba ushauri wenu kwenye haya mambo. 1. Matumizi ya mafuta(inatumia lita ngap kwa km). 2. Upatikanaji wa vifaa vyake vya kufanyia service ( diesel filter na oil filter ) ikiwezekana na bei yake. 3...
  5. Ubumuntu

    “Oil catch can” kwa gari za diesel zenye turbocharger

    Salaam, Napenda kujulishwa kama kuna garage ambayo ina fundi mwenye kujua namna ya kuweka “oil catch can” kwenye gari za diesel zenye turbocharger. Oil catch can inasaidia kupunguza zile sludges kwenye pipes, hoses na intake manifold. Naulizia garage na fundi kwenye mikoa ya Dar, Arusha...
  6. Paddy

    Kwa wenye diesel pumps za kuvuta maji naombeni ushauri wenu

    Habari za leo wanaJF! Ninahitaji diesel pump ya maji yenye uwezo mkubwa wa kutoa maji kutoka mita 200 kwenye bwawa na kuyaleta kwenye tank lililopo mita nne juu (limejengewa mnara wake). Naombeni ushauri wa aina ya pump na horsepower (HP) zake.
  7. M

    Naomba ushauri kuhusu Toyota Avensis 2.0 D-4-D

    Habari, Nataka kununua gari aina ya Toyota Avensis 2.0 D-4-D, hii gari inatumia mafuta ya Diesel. Kuna mtu ana uzoefu na hizi gari. Pia kuna mtu ameshawahi kununua hii na anayo. Nilikuwa nauliza kuhusu changamoto za maintenance na ushuru wake maana TRA sioni option ya ushuru wa gari kama hiyo...
Back
Top Bottom