Hawa M-pawa wanakushawishi ukope. Kabla hawajakutumia hela uliyomba kukopa, wanakata riba yao kabisa. Kwa hiyo, kama ulifikia kiwango cha kukopeshwa 100,000/- kwa mfano, utaishia kupata kwenye 80,000/- ikiwa ni kwamba wamechukua 20,000/- upfront kwa mkopo wa siku 30.
Kiwango cha riba hiki ni...