Digital rights are those human rights and legal rights that allow individuals to access, use, create, and publish digital media or to access and use computers, other electronic devices, and telecommunications networks. The concept is particularly related to the protection and realization of existing rights, such as the right to privacy and freedom of expression, in the context of digital technologies, especially the Internet. The laws of several countries recognize a right to Internet access.
Wakuu
Wote tunakumbuka kipindi cha Magufuli mambo yalivyokuwa.
Baada ya purukushani zake za kutishia wapinzani, kuzorotesha uchumi na mwisho kuona majority ya watanzania hawamkubali zikaanza figisu za kutuminya kipindi cha Uchaguzi.
Sijui alikuwa na wasiwasi wa nini?
Uchaguzi mkuu ulivyofika...
Tukio la kusikitisha la kifo cha Catherine Serou, mwanamke Mamrekani, linatufundisha umuhimu wa kuchukua tahadhari zinapohusiana na usalama wako unapotumia huduma hizi. Kifo cha Catherine Serou kilitokea baada ya kupanda gari la mtu asiyejulikana, akiwa na imani kuwa ni dereva wa Uber.
Usalama...
The Tanzania Digital Rights Coalition, a united front of organizations committed to upholding and promoting digital rights, unequivocally condemns the recent statement issued on Friday, 13 October 2023 by the Tanzanian Communication Regulatory Authority (TCRA) restricting the use of Virtual...
Mwaka 2022, watu bilioni 2.7 bado hawakuwa na upatikanaji wa intaneti. Tofauti hii inatishia kuongeza kutokuwiana baina na ndani ya nchi. Kutofikia teknolojia na taarifa kunakoendelea kutaendelea kuyatenga makundi ambayo tayari yako nyuma, ikiwa ni pamoja na wanawake na wasichana wa vijijini na...
digitalrightsdigitalrights 2023
haki za kidigitali
nafasi za kazi
pengo la kijinsia
sayansi
tehama
uhandisi
umoja
umoja wa mataifa
usawa wa kijinsia
wanawake
Katika muongo uliopita, serikali barani la Afrika zimeendelea kushika madaraka kwa nguvu kwa kudhibiti haki za binadamu mtandaoni na nje ya mtandao.
Kwa kuongezeka kwa mahitaji ya uwajibikaji na utawala bora, watu katika nchi kadhaa wamekuwa wakitumia mitandao ya kijamii ambayo yamekuwa...
Elimu ni msingi wa maendeleo na fursa binafsi. Hata hivyo, kupata elimu bora kunaweza kuwa changamoto kubwa kwa makundi mbalimbali katika jamii. Lakini kwa miaka ya hivi karibuni, teknolojia imeleta mapinduzi katika uwanja wa elimu na kuwapa wengi fursa mpya.
Kuthibitisha hili, Ripoti ya...
digital inclusion
digitalrightsdigitalrights 2023
digital technology
elimu
elimu na teknolojia
fursa
haki za kidigitali
social justice 2023
teknolojia
teknolojia ya digitali
ujumuishaji wa kidigitali
vikwazo
Kwa mujibu wa taarifa ya Serikali, Mitandao hiyo pamoja na Kampuni ya Michezo ya Kubahatisha ya 1XBET zimebainika kutumiwa na Magaidi pamoja na kueneza Uasherati kupitia Picha na Upotoshaji katika Jamii.
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia iliagiza watoa huduma za Intaneti kutekeleza marufuku...
Kuna hisia nazipata hasa baada ya DP World kufunga message huko instagram. Watanzania wamekuwa wakionesha hisia zao kuhusu kutokubaliana na mkataba wa kubinafsisha bandari kwa muda usio na kikomo. Wamekuwa wakitumia mitandao ya kijamii kudhihirisha hisia hizo.
Sasa hofu yangu kwa sasa ni juu ya...
Dunia kwa sasa inapitia mapindizu makubwa ya kidijitali, watoto limekuwa miongoni mwa kundi muhimu ambalo linastahili kulindwa na kuongozwa katika suala zima la matumizi ya kidijitali.
Zaidi ya wadau mbalimbali kusisitiza umuhimu wa kuwalinda watoto katika wakati huu wa mapinduzi ya kidijitali...
digital inclusion
digitalrightsdigitalrights 2023
dunia
haki za kidigitali
kidigitali
kifanyike
ujumuishaji wa kidigitali
ulemavu
watoto
watoto wenye ulemavu
wenye
Serikali nyingi duniani zinaongeza matumizi ya udukuzi kufanikisha shughuli zao za upelelezi. Hata hivyo, nyingi hutumia udukuzi huo kwa siri na bila msingi wa wazi wa kisheria. Hata katika kesi ambapo serikali zinajaribu kuweka uwezo huo katika sheria, mara nyingi hufanya hivyo bila kuweka...
digital privacy
digital privacy 2023
digitalrights
haki ya faragha
haki za binadamu
pegasus
udukuzi
uhuru wa habari
ulinzi wa data
ulinzi wa taarifa binafsi
Mashambulizi ya kimtandao ni jambo la kawaida katika enzi hizi ambapo teknolojia ya habari na mawasiliano inakua kwa kasi. Maendeleo ya kiteknolojia yameleta faida kubwa katika maisha yetu, lakini pia yameleta changamoto na tishio la usalama wa kimtandao.
Teknolojia inaendelea kuwa sehemu...
digitalrightsdigitalrights 2023
digital security
haki za kidigitali
mashambulizi ya kimtandao
mtanzania
ulinzi wa data
ulinzi wa faragha
ulinzi wa kidigitali
ulinzi wa taarifa binafsi
Tanzania, kama nchi nyingine nyingi duniani, inakabiliwa na tatizo kubwa la ukosefu wa elimu ya usalama wa kidigitali miongoni mwa raia wake. Hali hii inamaanisha kuwa watu wengi nchini hawana uelewa wa kutosha juu ya jinsi ya kujilinda na kuhakikisha usalama wao katika ulimwengu wa kidigitali...
digitalrightsdigital safety
governance
governance 2023
haki za binadamu
haki za kidigitali
ulinzi wa kidigitali
usalama wa kidigitali
utawala bora
watanzania
Licha ya umuhimu wa teknolojia katika kuongeza kupata taarifa na maarifa, serikali nyingi za Kusini mwa Jangwa la Sahara, ikiwa ni pamoja na Tanzania, zimechukua hatua ambazo zinaathiri Uatikanaji wa Taarifa na uhuru wa kujieleza. Tanzania imepitisha sheria kama Sheria ya Huduma za Habari ya...
Mmiliki wa Mtandao wa Twitter, Elon Musk kupitia ukurasa wake wa Twitter ametoa taarifa kwa watumiaji wa mtandao huo kuwa, watumiaji waliothibitishwa na alama ya Twitter Blue (Twitter Blue Verified subscribers) sasa wanaweza kupakia video za saa 2 (8GB).
Uhuru wa Kidigitali ni muhimu sana kwa utawala bora katika karne hii ya 21. Teknolojia ya kidigitali inatoa fursa nyingi kwa watu kuwasiliana, kushirikiana na kushiriki katika masuala yanayohusu nchi yao. Kwa mfano, serikali inaweza kutumia mifumo ya kidigitali kuboresha upatikanaji wa huduma za...
Ili Jamii inufaike kikamilifu na Intaneti, changamoto kama Ubora wa Huduma na Gharama hazipaswi kufumbiwa macho
Maisha ya Wananchi wengi yamebadilika kwa kiasi kikubwa kutokana na Upatikanaji wa Intaneti. Uwepo wake unawezesha kufurahia Haki nyingine za Msingi za Binadamu
Mitandao ya kijamii imerahisisha sana uwepo wa majadiliano ya mtandaoni kuhusu masuala yoyote yanayoigusa jamii husika. Mitandao imekuwa ni uwanja wa kutafuta suluhu za matatizo ambayo jamii inakumbana nayo, lakini pia imekuwa kijiwe ambapo watu hubadilishana mawazo na pengine kupeana mbinu...
Serikali kwa kushirikiana na watoa huduma wanaweza kuzuia huduma ya kufikia mtandao kwa njia nyingi. Kwa mfano, serikali zinaweza kukata gridi ya umeme au kuhujumu miundombinu ya huduma ya mtandao kama vile minara ya simu za mkononi na kebo za fibre optic.
Serikali pia zinaweza kuzuia ufikiaji...
Teknolojia ya digitali imerahisisha mambo mengi katika dunia ya leo. Si tu imerahisisha mawasiliano na kutoa fursa za ajira kwa vijana na kukuza biashara, bali imekuwa na umuhimu mkubwa katika kupaza sauti za wanyonge, kueneza taarifa, na kuongeza ushirikiano katika makundi mbalimbali ya watu...
digitalrightsdigitali
haki ya raia
haki za binadamu
haki za kidigitali
haki za kiraia
majukwaa ya kidigitali
mitandao ya kijamii
nyenzo
social justice
teknolojia ya digitali
umma
ushiriki
Katika dunia ya leo, si tu biashara zinazopeleka huduma zao mtandaoni, pia kuna mabadiliko ya kidigitali kwa serikali. Serikali zimekuwa zikilazimika kupitia mabadiliko mbalimbali kadiri mahitaji na matakwa ya raia yanavyobadilika. Mabadiliko haya ya kidigitali ya serikali ni matumizi endelevu...
digitalrightsdigitali
good governance
haki za kidigitali
huduma
huduma za serikali
kuongezeka
matumizi
matumizi ya digitali
muhimu
serikali
umuhimu
utawala bora
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.