dikteta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mr Why

    Raisi anapokuwa dikteta basi huondolewa madarakani kwa nguvu

    Rejelea kifo cha maraisi wakiwemo Saadam Hussein, Gaddaf na wengineo wengi ikiwemo wa Africa kama Idd Amin na wengineo hii inadhihirisha kuwa raisi anayekandamiza demokrasia basi hung'olewa madarakani kwa lazima. Marekani haitakuwa tayari kuwaacha maraisi wenye tabia kama hizi kuendelea...
  2. chiembe

    RC Mtaka ataka wanafunzi wanaofanya makosa wafukuzwe shule

    Mtaka ni kama ana serikali yake ambayo haiendani na ya CCM na Samia, hivi mtoto unamfukuza shule ili iweje? Kwanza ni mtoto, anahitaji malezi na maangalizi. Kwa aina ya waalimu tulio nao, hivi unawapa mamlaka yote hayo? Mtaka ni moja ya members wazuri wa magrupu ya Chadema, na huwa mchangiaji...
  3. The Assassin

    Ukisikia kiongozi anaitwa Dikteta ujue amewaminyia makanjania ulaji

    Ukisikia kiongozi anaitwa Dikteta ujue ameminyia makanjanja wa nchi ulaji. Makanjanja wa nchi wanataka na wao wapate kula, wafaidi mema ya nchi hivyo humsema kiongozi dikteta kwa sababu amewaminyia ulaji. Ukisikia makanjanja wanapiga kelele sio kwa niaba ya wananchi, ni kwa niaba yao. Mfano...
  4. Mwande na Mndewa

    Watanzania walitamani kupata kiongozi Dikteta ili Mambo yaende-Zitto Kabwe

    Akiwa katika mahojiano na clouds, Zitto amekiri Watanzania walifurahi ujio wa Rais Magufuli na waliona Mambo yanakwenda, dunia hii Mungu atunusuru na makasuku, leo anaongea hili kesho anaongea Lile.
  5. Mtu Asiyejulikana

    Tanzania inahitaji Rais Dikteta mwenye Maono ili iendelee

    Demokrasi was not for African countries. Hasa hizi zetu zilizojaa Uswahili. Angalia nchi ambazo zilipata kukaliwa na waarabu. Zilizoendelea zimeendelea kwa mkono imara wa chuma not Demokrasia. Angalia nchi za Kiarabu ambazo zimeendelea, zinatawaliwa kwa sheria kali sana. Nchi hii imeharibika...
  6. Boss la DP World

    Vifurushi vya data vinapunguzwa lakini gharama inabaki palepale, kwa nini Serikali haidhibiti jambo hili?

    Moja ya mambo ambayo madikteta hawapendi ni kukosolewa, kwa miaka ya hivi karibuni mitandao ya kijamii imekuwa njia kubwa ya kukosoa mamlaka na kuleta mabadiliko katika jamii. Kipindi Rais Samia anaingia madarakani mitandao mingi ilikuwa na bei ndogo za vifurushi mfano, mimi nilikuwa nikinunua...
  7. Poppy Hatonn

    Mkutano wa TUCTA na Serikali kuhusu sintofahamu ya nyongeza ya mishahara utatujuza kama Rais Samia ni dikteta au la

    Watu wameshaanza kuwa na wasiwasi kuhusu nini litatokea iwapo Wafanyakazi watashindwa kuelewana na serikali. Yule mkubwa wa Tucta ameshasema kuna mambo yanahitaji ufafanuzi na wanataka kutajadili na serikali. Sijui jambo gani litatokea. Wafanyakazi watakuwa wazalendo na kusema"hewallah" kila...
  8. safuher

    Namna ya kuishi na kiongozi(bosi wako)akiwa dikteta

    Wengi hupitia nyakati ngumu endapo wakiongozwa na viongozi ama mabosi madikteta. Zifuatazo ni mbinu unazoweza kutumia ili usidhurike au dikteta asikuone unampinga. 1. Usifanye jambo ambalo pongezi zitaenda kwako badala ya kwake, hata kama umefanya wewe jambo zuri linasibishe kwamba yeye ndio...
  9. Stroke

    Lissu ni Dikteta, anamshawishi Rais Samia kutozingatia Utawala Bora na kuingilia Mihimili mingine

    Lissu ni Dikteta kwa kuwa anamshawishi Rais Samia kutozingatia utawala bora na kuingilia mihimili mingine. Lissu anataka Samia avunje Ibara ya 62 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuingilia Bunge la JMT kwa kuwaondoa wabunge wanaowawakilisha wananchi tena jambo baya zaidi wabunge...
  10. Suzy Elias

    Viashiria: Huenda Rais Samia atakuwa dikteta kuliko Hayati Magufuli

    Ukweli ni kwamba Rais Samia anaupenda u Rais na hayupo tayari kabisa kuuachia na kwa gharama yeyote inaonekana yu-radhi kuupambania kwa namna yeyote ile. Samia hataki kabisa kuona yeyote yule akionyesha dalili za kutaka uongozi huko mbele katika anga lake. Samia ni muumini wa kupambwa kuliko...
  11. sky soldier

    Mtoto wa shangazi ana kiburi kwenye kufata sheria zangu nyumbani kwangu, nitatue vipi?

    Nyumbani kwangu ikifika wakati wa chakula cha usiku (dinner) ni lazima tule pamoja kwenye chumba kimoja, Sasa kuna mtoto wa shangazi ni kama miaka 20 hivi hapendi kufata sheria ya mda wa dinner. Sheria ya muda wa mlo wa usiku ni kwamba simu hazitakiwi kutumika, simu inabidi ziachww vyumbani...
  12. M

    Rais Samia atangaze wazi yeye ni Dikteta au Mdemokrasia?

    Jana anawaambia watu wazima kwenye kikao namna ya kufanya siasa jinsi anavyotaka yeye na siyo sheria zinavyotaka,,Anasingizia uongo eti wapinzani wakifanya mikutano ya hadhara wanaharibu mali za watu hivi ni lini na wapi hilo limetokea !!? Tumeshuhudia operations nyingi kama Operation...
  13. M

    Tuliambiwa kuwa Idi Amini alikuwa dikteta wa hatari

    Nashindwa kujizuia hili jamaa kuliita Dume na Mwamba wa Afrika Tuliambiwa kuwa Idi Amini alikuwa dicteta wa hatari, anakula watu, anakula damu za watu na mambo mengi yanayofanana na hayo lakini siku zinavyozidi kwenda inakuwa tofauti sana. Baba zetu na mama zetu walimuimba sana mashuleni...
  14. S

    Nani dikteta ? Kiongozi au serikali ?

    Ni bora mkatudadavuliya ili tujue ni nani na kipi kinatofautisha udikteta. Vipimo vitasaidia na kuwasaidia waamuzi wanapoamua ili watazamaji wasione kuna upendeleo. Kuna mtu alimwita jamaa dikteta uchwara kisha akatoka baru ,sikuelewa hadi leo hajarudi ,nikimaanisha akimuogopa Dicteta au...
  15. B

    Col. Mamady Doumbouya Atoa Somo kwa Dikteta Museveni

    Ama kwa hakika yahitaji Almasi kukata Almasi. Rasmi, live na bila chenga amefahamishwa dikteta wa Uganda kuufyata. Ama kwa hakika Madikteta uchwara wana nini cha kuiambia dunia kuhusu demokrasia? Heko Col. Doumbouya, hadi hapo unasomeka vyema sana. Huyo mmoja na kwetu wapo. --- Mamady...
  16. Nyani Ngabu

    Kibao kilivyogeuka

    Sijui huyu Bi. Mkubwa wetu anajisikiaje akiona vitu kama hivi mtandaoni! Leo anaitwa dikteta wa kike. Maana kwa mujibu wake yeye mwenyewe, huwa anajivinjari humu mitandaoni ili kujua yaliyomo vichwani mwa wananchi. Tulio wahalisia wa mambo na tulio na uzoefu wa kufuatilia siasa za kitaifa na...
  17. Kulupango

    Msijidanganye na Katiba mpya, Dikteta huwa haangalii Katiba, Nyote mtaufyata

    Jambo la msingi ni kutengeneza kwanza watu waadilifu na taaisis zilizo imara kabla ya hiyo katiba yenyewe, kwasababu hata Katiba iwe nzuri kiasi gani tukija kupata Rais Dikteta ataikanyaga na mtaufyata mkia. Rais Samia endelea kupiga kazi usiguse kabisa mambo ya Katiba hadi utapopata muhula wa...
  18. My Son drink water

    Mwanamke hapendezi kuwa Dikteta

    Sijui ni kwanini malaika wote huchorwa wakiwa ktk maumbile ya kike, japokuwa inadaiwa kuwa hakuna mwanamke malaika. Yaani Mungu wetu anao malaika wa kiume tu, hana wa kike hata mmoja. Lakini michoro yote ya malaika ina wa Brand kama wanawake na si wanaume. Niliwahi kumuuliza mwalimu mmoja wa...
  19. seedfarm

    Rais Samia Suluhu umeanza kuwa Dikteta mapema kuliko hayati John Pombe Magufuli

    Kauli ya Rais Samia kuminya uhuru wa Raia na vyama vyao vya siasa kwa kutozingatia katiba na sheria ameingia kwenye rekodi mpya kama Rais Mwanamke wa kwanza Africa kuwa Dikteta. Siku ya 101 madarakani, Rais Samia Suluhu tayari ameanza kulewa sifa na mapambio. Ameamua kuendelea kuminya uhuru wa...
  20. Bujibuji Simba Nyamaume

    Obama, Hillary Clinton, pamoja na vyombo vyao vya habari Walikua wanamchukulia Gaddafi alikuwa dikteta

    OBAMA SIO BINADAM WA KAWAIDA Muammar Gaddafi alimpenda Barrack Obama kama mtoto wake wa kiume. Wakati Obama alipokuwa rais wa Amerika , Gaddafi alikuwa mmoja wa viongozi wa kwanza wa Kiafrika ambao walimpongeza na kumsifu. Gaddafi aliamini unabii wake umetimia, kwa sababu aliandika katika...
Back
Top Bottom