Tofauti na waungaji mkono wa Palestina kwamba wametulia kwenye nchi zao,waziri wa nchi wa Marekani amekuwa hatulii nchini kwake tangu shambulio la Hamas la oktoba 7.
Safari ya mwanzo aliyoifanya Israel na kulia hadharani ndiyo iliyomjulisha yeye ni nani na kipia ataendelea kukifanya.
Kiongozi...
Ndugu samahanini kwa usumbufu. Nimeomba kujiunga na chuo cha Diplomasia ngazi ya diploma katika dirisha la awamu ya tatu. Lakini kama inavyoonyesha hapo chini website yao haijawa na taarifa za kujitosheleza sana kuhusu walio chaguliwa kujiunga na chuo hicho.
Wameweka walio chaguliwa awamu ya...
Matukio wa wawekezaji wa sekta ya usafiri na kugavi, malori yao kukwama DR Congo yatamalizwa lini? Au diplomasia yetu ya kiuchumi ni kwa ajili ya nchi za mbali kama China, India, Mashariki ya kati na wala siyo na majirani zetu.
17 October 2023
MALORI ZAIDI YA 200 YAKWAMA NCHINI CONGO DRC KWA...
Rais Samia Suluhu amefanya mabadiliko na teuzi za sura mpya kwenye baraza la mawaziri. Uapisho utafanyika September 1, Ikulu ndogo Zanzibar saa tano kamili asubuhi.
1. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Doto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Awali alikuwa Waziri wa Madini.
2...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) amewapa Wakuu wa Mikoa mbinu mbalimbali za kutekeleza Diplomasia ya Uchumi katika Mikoa yao.
Dkt. Tax ametoa mbinu hizo tarehe 26 Agosti, 2023 wakati wa Mafunzo ya Uongozi kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mratibu wa Kimataifa wa Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani katika mwitikio wa kupambana na Ukimwi (PEPFAR) na Mwakilishi Maalum wa Serikali ya Marekani katika masuala ya Diplomasia ya Afya Balozi Dkt. John...
MHE. CONDESTER SICHALWE - ELIMU YA DIPLOMASIA YA UCHUMI ITOLEWE KWENYE MABARAZA YA MADIWANI ILI IWAFIKIE WANANCHI
"Diplomasia ya Uchumi ni kipaumbele cha Wizara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Afrika Mashariki. Bajeti iliyopita nilichangia kuhusu vikwazo vya wafanyabiashara wanaoliendea soko la...
Mhandisi Ezra Chiwelesa amewasilisha azimio la Bunge kumpongeza Rais wa Tanzania, Samia Suluhu kwa kuimarisha demokrasia nchini na kuimarisha diplomasia ya Uchumi.
Mhandisi Ezra pia amemshukuru Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson kwa kuruhusu na kumpa fursa ya kuwasilisha hoja ya azimio...
azimio
bunge
bunge la tanzania
demokrasia
diplomasiadiplomasia ya uchumi
kuimarisha
kumpongeza
mkono
rais
rais samia
ratiba
samia
shughuli
tanzania
tulia ackson
uchumi
wabunge
wote
Machi 10, 2023, China, Saudi Arabia na Iran zilitoa taarifa ya pamoja mjini Baijing, ikitangaza kuwa nchi hizo mbili za Mashariki ya Kati zitarejesha uhusiano wa kidiplomasia na kutekeleza makubaliano muhimu ya pande mbili yaliyositishwa kwa miaka saba.
Maendeleo hayo adimu ya kidiplomasia...
United States Vice President Kamala Harris will be the 18th and most senior American official to visit Africa this year in late March.
The tour to Ghana, Tanzania, and Zambia was scheduled for 25 March to 3 April.
This visit will be the most high-profile as the US and Russia go pound-for-pound...
Moja kati ya jambo lililofanikiwa kwa kiwango kikubwa katika uongozi wa awamu ya sita ni kuimarisha Diplomasia ya nchi yetu na kurejesha nafasi ya Tanzania katika mawanda ya diplomasia Duniani. Rais Samia anastahili "honoris causa" katika hili. Tuangazie baadhi ya faida za kuimarisha Diplomasia...
Baada ya kukwama mara ya kwanza hatimaye Mfanyabisahara maarufu nchini Tanzania, Rostam Aziz anatarajia kuanza rasmi utekelezaji wa mradi wake wa gesi nchini Kenya huku akisifia mazingira bora ya uwekezaji katika nchi hiyo.
Rostam kupitia kampuni yake ya Taifa Gas ameruhusiwa kutekeleza mradi...
Waziri wa mambo ya nje wa China Bw. Qin Gang amemaliza ziara yake ya siku tano barani Afrika ilivyomfikisha Ethiopia, Gabon, Angola, Benin, na Misri. Hii ni ziara ya kwanza ya kikazi ya Bw. Qin Gang tangu ateuliwe kuwa waziri wa mambo ya nje wa China, na imefanyika wakati ushirikiano kati ya...
Heshima sana,
Tanzania ya Mwl. ilikuwa juu sana katika siasa za kimataifa. Tanzania ilikuwa kinara katika siasa za ukombozi Kusini mwa Afrika. Mwl. alikuwa Mwenyekiti wa nchi zilizo mstari wa mbele kupigania uhuru wa nchi za Kiafrika hasa Kusini mwa bara la Afrika.
Tanzania ya Mzee Ruksa...
RULE NO 8; MAISHA NA DIPLOMASIA.
Anaandika, Robert Heriel
Mwanafalsafa.
Lengo; andiko hili nimeliandika Kwa ajili ya kujenga kizazi Bora, kuanzia ngazi ya familia, ukoo, na taifa Bora. Andiko hili laweza kusomwa na yeyote na kutumiwa na yeyote.
Yeyote atakayesoma au kusikiliza au kusimuliwa...
Baada ya serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kuwaleta nchini Tanzania wafanyabiashara zaidi ya 300 kutoka katika nchi 27 (Mwezi August 2022) wanaojishughulisha na mambo ya TEHAMA na kufungua fursa za uwekezaji katika mawanda ya kidijiti.
Mwishoni mwa Mwezi ujao (OKTOBA) wafanyabiashara na...
Samia Suluhu Hassan Jasusi wa diplomasia na Uchumi.
Amekataa kuwa mrithi wa suala la uhaba na bei kubwa ya Sukari, miezi ya kiangazi Tanzania sukari huwa kama kaa la moto.
Amegoma kabisa kuwa mrithi wa sera mbaya za uchumi, utekelezaji mbaya wa diplomasia yetu, Serikali kuwa na juhudi ndogo...
Rais Samia Suluhu Hassan anaendelea kudumisha diplomasiano na mahusiano mazuri kati ya Tanzania na Kenya pia Rais Samia Suluhu amezungumza na Rais Mteule wa Kenya, William Ruto na wameafiki kukuza ushirikiano katika biashara, kilimo na usalama kwa manufaa ya nchi zote. Uuzaji wa bidhaa za...
Nawasalimu kwa jina la JMT, na ni matumaini yangu Kazi inaendelea.
Mwezi uliopita China ilitoa certificate of clearance kwa makampuni zaidi ya 300 ya Tanzania kuingiza na kuuza bidhaa mbalimbali Nchini mwao bila kikwazo na ushuru wowote.
Uingereza nayo imeungana na China kwa kuruhusu asilimia...
Tumeona Mtanzania Brigedia Jenerali Juma Nkangaa akiidhinishwa kuongoza Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya SADC kama Mkurugenzi. Hatua hii inatokana na juhudi za serikali ya Rais Samia kuendelea kushirikiana na mataifa mengine kikamilifu katika nyanja zote muhimu.
Licha ya mikutano ya SADC...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.