Hongera Waziri Bashe.Hakuna kuchekeana Wala kuoneana huruma kwa mafisadi wote bila kujalisha hadhi Yao.
My Take: Wakulima ungeni mkono juhudi za Waziri Bashe kupambana kuinua Kilimo.
Kazi iendelee,ajenda 10/30.
---------------
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ametoa agizo la kushikiliwa kwa...