Tuunde kampuni ya bandari,
Tuandae mpango wa kuunganisha nchi za "east and central africa" na bandari yetu.
Hapa tutazungumza na nchi kama zambia, kongo, burundi, uganda, afrika ya kati.
Halafu tutengeneze master plan itakayojumuisha upanuzi wa bandari, ujenzi wa njia za kusafirisha mizigo...