drc congo

  1. H

    Rwanda yatuma majeshi yake mpakani na nchi ya DRC Congo, yasema iko tayari kwa vita!

    Rwanda imetuma wanajeshi kwenye mpaka wake na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, saa chache baada ya DRC kumfukuza balozi wa Rwanda kwa madai ya DRC kwamba serikali ya rais Paul Kagame inawaunga mkono waasi wa M23. Msemaji wa serikali ya Rwanda, Alain Mukurarinda amesema kwamba “wakiamua...
  2. kwisha

    Je, unafikiri Moise Katumbi atakuwa chaguo bora kwa Wakongo 2023?

    Mwaka 1997 Aliyekuwa raisi wa Kongo mobutu aliwahi kusema kuwa ili Kongo ipate amani inahitaji kuongozwa na raisi mzungu. Je, unafikiri moise katumbi atakuwa chaguo bora kwa wakongo mwaka 2023?
  3. Lady Whistledown

    Wananchi DRC Waandamana kupinga Rwanda kuunga mkono kundi la waasi la M23

    Mamia ya watu wameingia katika mitaa ya mji mkuu wa Kongo, Kinshasa, kulaani madai ya Rwanda kuwaunga mkono waasi wa M23. Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika aonesha wasiwasi mkubwa kutokana na mvutano kati ya Rwanda na DRC. Mei 30, 2022, mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, Rais wa Senegal Macky Sall...
  4. L

    Timu ya madaktari ya Kikosi cha 25 cha walinda amani wa China nchini DRC watembelea Kituo cha kulelea watoto yatima cha SOS

    Tarehe 28 mwezi Mei, timu ya madaktari ya kikosi cha 25 cha walinda amani wa China nchini Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC) walitembelea Kituo cha kulelea Watoto yatima cha shirika la kibinadamu SOS huko Bukavu wakati Siku ya Kimataifa ya Watoto ikikaribia. Waliwazawaida watoto wa pale vifaa...
  5. Linguistic

    Ole Mushi: Watanzania tumejipangaje kuipokea Congo kwenye EAC?

    DRC imeingia kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki. Imekuja na vitu vifuatavyo:-. 1. Imekuja na Population ya Watu Milioni 92. Idadi hii ya watu itaifanya Jumuiya yetu sasa kuwa na Population ya watu milioni 289. Congo pekee inachangia zaidi ya Robo ya Population yote ya EAC. Inaingiza Asilimia...
  6. Victor Inyangala

    The impunity of Uganda politics

    For years Uganda has experienced impunity in her politics since independence to now as many know a leader who ceases power by a coup is not a leader and we have seen so many ruthless counters on opposition leaders.
  7. Song of Solomon

    Ujio wa DRC una manufaa gani kwa EAC?

    DRC: Jumuiya ya Afrika Mashariki yakaribisha mgeni mpya baada ya kuwasili kwa DRC, anakuja na mazuri gani? Mataifa wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki yana kila sababu ya kusherehekea, yakiikaribisha Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) kuwa mwanachama mpya wakati viongozi wake...
  8. Ikaria

    DR Congo yakerwa na kauli ya William Ruto

    Ubalozi wa #Kenya nchini #DRC umelaani vikali 'kauli za dharau na kejeli' alizotoa Naibu Rais Williams Ruto kuhusu taifa la DRC. Baadhi ya raia wa DRC wameanza kususia bidhaa za Wakenya walioko jjjini Kinshasa. Naibu Rais William Ruto aliikejeli DRC kwa kusema taifa hilo ni maskini na halina...
  9. Geza Ulole

    When DRC Congo stands up to repel arrogant Kenya

    Kenyan Deputy President's 'cow' remark sparks outrage in DRC Kenya’s Deputy President William Ruto. PHOTO | FILE | NMG By PATRICK ILUNGA Kenyan Deputy President William Ruto on Monday provoked ire from Congolese online for making comments that were viewed as disparaging. On Wednesday and...
  10. Analogia Malenga

    Mlipuko wa ugonjwa wa uti wa mgongo waua 120 DRC

    Mlipuko wa ugonjwa wa uti wa mgongo au meningitis umetangazwa kaskazini- mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo. Mpaka sasa watu zaidi ya 120 wamekufa kutokana na ugonjwa huo. Mgonjwa wa kwanza nchini DRC aliripotiwa Julai. Zaidi ya watu 100 wamepata tiba wakiwa nyumbani au vituo vya...
  11. Linguistic

    Rais Samia kuanza safari ya kikazi nchini DR Congo

    Wakuu Kazi Iendeleee. Taarifa zilizopo ni kwamba Rais Samia ana ziara ya kikazi nchini Congo. Ataanza ziara hiyo wakati atakapotoka Zambia kwenye inauguration ya Hakainde Hichilema. Akifika Congo atapokekewa na Mwenyeji Wake Rais Felix Tshisekedi. Hakika Ziara zimeanza na Zimetaradadi
  12. B

    Colonel Mamadou Ndala, DRC’s warrior leader

    Death of Mamadou: DRC’s warrior leader Colonel Mamadou Ndala, who led the fight against M23 rebels in DR Congo, was killed on January 2. Colonel Mamadou Ndala of the Congolese armed forces was widely hailed as a hero in the east of the country - where citizens have traditionally been wary of...
  13. bongo man

    Maisha na mikasa ya safari yangu nchini DR Congo miaka ya 2000's hadi kutaka kupigwa risasi hadharani

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu zangu bila shaka mwenyezimungu anaendelea kutupigania hadi sasa. Ndugu leo naona nilete story kidogo kuhusu safari yangu moja hivi nchini DRC mikasa na visa mbali mbali kwa kipindi chote cha safari wakati napambana na maisha kwenye...
  14. The Sheriff

    Je, WanaDRC wamtumainie Rais Tshisekedi kwenye hili?

    Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Tshisekedi amehidi wananchi wake kuwa yuko tayari kupambana dhidi ya umaskini uliokithiri nchini humo. Rais Tshisekedi ameahidi kuwaondoa raia milioni 20 wa Congo kutoka kwenye umaskini au umaskini uliokithiri katika miaka mitano ijayo na kwamba...
Back
Top Bottom