Dr Shein alitoa hii ahadi miaka 10 iliyopita..
Sasa mimi nawauliza wa Zanzibar, Je hali ikoje hapo Zanzibar?🤣🤣
Baada ya kumsaidia Shein kubadilisha Zanzibar, Magufuli nae kaahidi kuifanya Tanzania kuwa kama Ulaya....
Jamani🤔🤔
Egypt’s Sisi welcomes UAE-Israel deal and halt to annexation
Israel and the United Arab Emirates reached a historic peace deal on Thursday that will lead to a full normalization of diplomatic relations between the two Middle Eastern nations in an agreement that US President Donald Trump helped...
Kwa wengi Hushpuppi alionekana kuwa ni mfano halisi wa mtu aliyefanikiwa,mtafutaji aliyezikamata pesa za kutosha na kutokuzionea huruma katika kuzitumia, kwenye akaunti yake ya instagram yenye followers million 2.4 na ikiwa na tiki ya sawati(blue) kumejaa picha za kuvutia za Hushpuppi, akiwa...
Thirty years ago, Dubai was nothing but a desert but it has rapidly developed to become one of the main commercial hubs and tourist destinations in the the world
But like every other nation, there is an unspoken understanding of the three different classes of people in Dubai,the Emiratis, the...
Moja kwa moja kwenye mada. Itifaki yote imezingatiwa.
Nchi nyingi duniani zilipokea wagonjwa wa mwanzo wa Corona tokea Dubai. UAE wenyewe walikuwa na wameendelea kuwa wagumu kukubali kiwango cha maambukizi nchini mwao.
Dar tumekuwa kama Dubai tu kila anayetoka kwetu ana Corona. No wonder hata...
Not all that glitters is gold.
Dubai is populated with about 3.3million people with lots of oil and gas deposit worth billions of dollars. Dubai is one of that cities that made up the UAE.
Dubai has emerged as the most visited country in the world with over 40million people visiting the...
Alserkal Residency in Dubai is inviting applications for its Summer Cycle Programme for research-based and socially-engaged practices in 2020.
Alserkal Residency is a platform for artistic and discursive exchange, seeking to support cultural practitioners as they realize projects pertinent to...
Alserkal Residency in Dubai is inviting applications for its Summer Cycle Programme for research-based and socially-engaged practices in 2020.
Alserkal Residency is a platform for artistic and discursive exchange, seeking to support cultural practitioners as they realize projects pertinent to...
Nimeangalia wasanii wakubwa wa Afrika wakielekea Dubai kwenye show ya kihistoria. Nimejaribu kupepesa macho sijaona jina la Kiba. Tanzania kuna Diamond, Harmonize, Mdee na Nandi.
Je, huu mwamba wa bongo fleva umesahaulika au umekataa mwaliko?
Nakumbuka kulikuwa na safari moja ambapo Dreamliner ilitumika kupeleka nyama Dubai (route ya majaribio) na tukaambiwa route hiyo inaweza kuendelea iwapo itaonyesha kuleta faida.
Swali langu ni je,route hiyo imekufa?
Route ile ilifanyiwa utafiti wa kutosha kabla hata ya kufanya safari ile ya...
Mabaharia wafanyabiashara nimepata mpunga kidogo kama 20m kwamara yakwanza nataka kwenda dubai au china kununua simu hasa smartphone
Nimekuja kwenu kuomba ushauri mliowahi kwenda china au dubai kununua simu au vifaa vyaumeme naomba munieleweshe
1-Gharama zandege kwenda nakurudi
2-Nisehemu ipi...
Kwa wanaokumbuka kashfa iliyotikisa nchi wakati wa utawala wa Ali Hassan Mwinyi ya Loliondo watakuwa na mengi ya kusema.
Je yule mwarabu Brigedia Ali wa falme za kiarabu ndiye huyu huyu aliyesafirisha twiga hivi karibuni?
Je, serikali ilisharejesha mbuga yetu au wamekuwa wakirithishana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.