duka la dawa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    Muuzaji wa duka la dawa anatakiwa

    Eneo la Kazi ni Kibiti Pwani, awe msichana anayeweza kufanya kazi kt mazingira ya kijijini kidogo. Biashara ni ndogo na inaanza ila kwa eneo lilivyo baada ya muda mfupi nategemea matokeo makubwa. Akiwa mkristo ni lazima ahudhurie kanisani, na akiwa muislamu hali kadhalika. Mshahara kwa kuanza...
  2. E

    Kumiliki duka la dawa muhimu ni lazima mhusika awe amesoma program ya pharmacy?

    Habarini wana JF, Naomba kujua kama ni lazima mtu awe amesoma pharmacy ili aruhusiwe kufanya biashara ya duka la dawa muhimu za binadamu au la. Naomba msaada kwa hili tafadhali.
Back
Top Bottom