Dume is a former freguesia ("civil parish") and former bishopric in the municipality of Braga, northern Portugal, which remains a Catholic titular see.
In 2013, the parish merged into the new parish Real, Dume e Semelhe. It has a population of 3 081 inhabitants and a total area of 4.34 km2.
Hivi karibuni timu zetu kubwa hapa nchini zimeingia mikataba mipya na wadhamini wao
Simba sc na MBET
Yanga sc na SPORTPESA
Hapa katikati kuliibuka fununu za simba kuachana na Sportpesa okabaki yanga na yanga alipo saini mkataba mpya watu walisema ni mkataba mnono saana wa billion 12 kwa miaka...
Kwema Wakuu!
Hapa Duniani ipo mifumo miwili tuu inayoongoza dunia. Hakuna mfumo wa kati.
Ni aidha uchague Mfumo dume au uwe WA mfumo Dume.
Ni fahari Kwa mwanamke kuchagua mfumo wowote, aidha achague mfumo jike au dume kwake vyote ni Faida.
Tena akichagua mfumo dume ndio hupewa heshima na...
TATIZO la saratani nchini limetajwa kuongezeka kwa kasi, ikibainishwa kuwapo wagonjwa wapya 42,060 kwa mwaka huku 28,610, sawa na asilimia 68 hufariki dunia kutokana na ugonjwa huo.
Taarifa za mwaka 2021 za Taasisi ya Saratani Ocean Road zinaonyesha saratani zinazoongoza kwa wanaume ni tezi...
Taarifa za mwaka 2021 kutoka kanzi data ya wagonjwa iliopo Taasisi ya Saratani ya Ocean Road inaonesha kuwa Saratani zinazoathiri wanaume zaidi ni:
Saratani ya tezi dume“Prostate cancer” (21%), Saratani ya Koo (Esophageal Cancer) (11.8%),Saratani ya utumbo mkubwa na mdogo (9%) na Saratani ya...
Wadau hili neno mfumo dume kwa hapa Tanzania tunapaswa kulifuta haraka ,.tukiendelea kulichekea ni muda mchache imebaki wanaume tutaanza kuandamana kupinga mfume jike. Kwa Sasa inaonekana sisi wanaume ni majitu ya hovyo na makatili sana.
Hatupewi hata heshima ya asili tuliyopaswa kupewa,iwe...
Facebook kuna clip inayotangaza dawa ya kutibu tezi dume bila upasuaji wala vidonge. Tangazo linajinasibu ya kuwa dawa hiyo inatoka Muhimbili. Ukiangalia anayetangaza kavaa Tshirt yenye nembo zinazohusiana na serikali.
Ukijaribu ku-chat ili kujua bei majibu yanakuwa si ya wazi sana.
Kwakuwa...
Nashindwa kujizuia hili jamaa kuliita Dume na Mwamba wa Afrika
Tuliambiwa kuwa Idi Amini alikuwa dicteta wa hatari, anakula watu, anakula damu za watu na mambo mengi yanayofanana na hayo lakini siku zinavyozidi kwenda inakuwa tofauti sana. Baba zetu na mama zetu walimuimba sana mashuleni...
2020 Kulikuwa na upepo wa ajabu kwa wabunge wengi wa CCM kwani walibebwa kama watoto wachanga na JPM na Livingston Lusinde ni shahidi kwani yeye alisema kuwa kunawabunge hata kwa kuzikiri bila nguo wasinge rudi ila Magufuli aliwabeba na mbeleko.
Taarifa nilizo zipata kutoka chanzo cha uhakika...
JINSI DHANA YA MFUMO DUME INAVYOWATAFUNA WANAUME
Wahenga walipata kusema kikulacho kinguoni mwako na hivi ndivyo ninavyoweza kuamua na kuhawilisha tafakuri yangu katika maisha ya mfumo tunaoutamania kuishi kwa kuzingatia kuwa binadamu wote ni sawa na tunapoutafuta usawa wa kijinsia ni kwamba...
Amani iwe kwenu . Niende moja kwa moja kwenye mada, kwa muda mrefu nilikuwa nahisi hali yangu ya mfumo wa mkojo haiko sawa. Lakini kubwa ni kushindwa kujiziwia nikibanwa na haja ndogo. Mara nyingi nilikuwa nikienda hospitali niliambiwa nina mkojo mchafu( u.t.i) napewa dawa natumia napata nafuu...
Wakuu naomba kuelewa kwa yeyote anayejua au kushudia matibabu ya Tezi dume bila upasuaji na mgongwa kupona kabisa na hayo matibabu yanapatikana wapi?
Nitafurahi zaidi kupata taarifa za matibabu ya kisayansi kwa maana ya yanaweza kuwa wanatumia aidha dawa za asili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.