Habari, kama kichwa cha habari kinavyojieleza...
•Nyumba ipo Muriet Mashariki, mita 200 kutoka barabara ya East Africa
• Nyumba ina vyumba kumi, (single room) na ukubwa wa eneo ya nyumba ni mita 20×15.
•Nyumba ina umeme na maji yapo karibu ni ya kufuatilia.
Bei ni Tsh 35,000,000.
Kwa...
Baada ya Harmonize kulalamika kuwa wasambazaji wa kazi zake Zikiii wanakula sahani moja na WCB kumhujumu , wadau mbali mbali wameibuka na kuanza kunyetisha za ndani.
Inavyoonyesha WCB hawakwepeki kwenye Sanaa ya bongo , utawatukana unavyojua Ila ukiingia studio unawakumbatia bila kujua.
Wakazi...
Kipindi flani hawa Rwanda na Uganda wasingetamba hivi. Mimi nawaonea huruma sana DR Congo. Hawa miaka mingi wanachezewa.
Toka miaka ile na wakoloni na sasa Waafrika wenyewe kwa wenyewe. Tena wa hapahapa East Africa. Hapana kwa kweli. Ningekuwa na uwezo ningewasaidia Congo. Hawa wapuuzi...
Siku akikiamsha hakuna nchi itatia maguu kumzuia. Atateka sehemu yoyote ya nchi yoyote aitakayo hapa East Afrika.
Nchi yake iko vizuri kijeshi na muda mwingi wanajeshi wa Rwanda wameutumia vitani.
Na nadhani hata nchi zote za East Africa ziunajua umahiri wa kijeshi wa Rwanda ndiyo maana Paul...
Description
Heifer International is an equal opportunity employer. All qualified applicants will receive consideration for employment without regard to race, religion, color, national origin, gender, gender identify, sexual orientation, age, status as a protected veteran, among other things, or...
Job Overview
Foreign Service Officers – 17 Posts
Dodoma
Ministry of Foreign Affairs and East Africa Cooperation
Foreign Service Officer Job Vacancies at the Ministry of Foreign Affairs and East Africa Cooperation
POST FOREIGN SERVICE OFFICERS – 17 POST
EMPLOYER Ministry of Foreign Affairs...
Wanatumia muda mwingi Kumtetea huku pia wakiwatafuta Mawakili wenye Uyanga kutoa Ufafanuzi wa Hukumu iliyotolewa na Poti ( Mkurya ) kutoka Kwetu Mkoani Mara ( Musoma )
Watangazaji wa Kipyenga Extra East Africa Radio na wale wa Kipindi cha Michezo cha Usiku cha East Africa Radio nawaonyeni...
Manager: Country
Weir Minerals East Africa
Location: Mwanza, Tanzania
Weir has been in business since 1871 and our sustainability and success has been built on attracting, retaining, and developing exceptional people.
As a global company, we reflect the diversity of our customers in the...
Financia hubs zinaza endeleza miji husika. Mipango mingi ya biashara hufanyika humo na wageni wanahitaji usafiri, malazi, chakula, kununua zawadi kwa wapendwa wao na hata nguo zinazoendana na hali ya hewa katika miji waliyofikia.
Huduma hizi zote huzalisha ajira, kuanzia tax, cafe, migahawa...
STAA wa muziki wa Bongofleva na bosi wa lebo ya Next Level Music, Raymond Shaban Mwakyusa (Rayvanny) amefikisha (streams) milioni 100 kupitia jukwaa namba moja la muziki barani Africa Boomplay 🙆🏿
Rayvanny anakuwa msanii wa kwanza East Africa kufikisha idadi hiyo ya streams kwenye boomplay...
Ametulia sana tofauti na wengine wengi. Anaonekana kujali sana maslahi ya Wazanzibar na yupo smart kupata anachotaka kwa ajili ya watu wake.
Siku tukipata Rais wa namna hii ambaye atatanguliza Tanzania mbele tutafika mbali sana.
Ingekuwa si Mzanzibar ningesema 2025 aje agombee huku lakini...
This may be the final design.
Source
Paul Oburu, Aspera’s Design Director was invited to provide a design proposal for a 60 storey plus tower on a plot in Upper hill, Nairobi. The client’s brief required an iconic and high-end, striking design that would be the tallest building in Nairobi. The...
Hiyo ndiyo habari ya kiuchunguzi inayosambaa Duniani kwa kasi mno!
Mapolisi elfu 2 ya Kenya ni mehu/machizi.
====
Mkuu wa huduma ya kitaifa ya Polisi nchini Kenya, Inspekta Jenerali Hilary Mutyambai amesema takriban maafisa 2,000 wa Polisi nchini humo hawana uwezo wa kiakili kufanya kazi yao...
Okay you'll have seen that tweet from Nigeria about Zanzibar chiq who almost got raped.
I was on her side until them Nigerians started tweeting nonsense about Swahili, Kenya and Tanzania!
Tourism and Wildlife secretary Najib Balala said the reopening of the rink will be a boost to ice-skating games, after Ice Lions, Kenya's only ice hockey team, hit global headlines two years ago. PHOTO | COURTESY
Panari Nairobi has reopened its ice rink after two years, the only one in East...
Msanii wa kimataifa Rayvanny anaeiwakilisha Tanzania kwenye matamasha makubwa ya kimataifa kwa sasa.
Ameendelea kuonyesha nguvu yake kubwa ya kuuza muziki wake mtandaoni baada ya kufikisha streams million 100 kwenye mtandao wa boomplay.
Anakuwa msanii wa kwanza East Africa kufikisha idadi hiyo...
Kati ya hawa malegend nani alikuwa mkali wa sauti tamu?
Celine Dion
Whitney Houston ( Rip)
Mariah Carey
Mimi naondoka na Celine Dion huyu mwana mama alikuwa ni shida, moja kati ya nyimbo zake kali ninazozipenda.
Love doesn't ask why
A new day has come
Tiririka hapa ni nani ulikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.