efd

EFD was an American payments services company. EFD provided financial service companies and other large enterprises with new account decisions, fraud detection and payment processing services. On June 27, 2007, Fidelity National Information Services, Inc. (FIS) announced that it was acquiring EFD in an all-cash transaction valued at about $1.8B. The target completion date for the acquisition was the 3rd quarter of 2007.

View More On Wikipedia.org
  1. RealEstate Agent

    Naomba kueleweshwa kuhusu risiti HII ya EFD

    Habari Kutokana na risiti hii ya EFD Swali langu ni kutaka kujua bidhaa za simu hazina VAT? Bei ya simu ni 48,000 na imeandikwa na TOTAL EXCLUSIVE OF VAT = TOTAL INCLUSIVE OF VAT Ina maana hapo TOTAL TAX = 0 msaada kujua bidhaa hizi hazina vat?
  2. guojr

    SoC01 Ushauri wangu kwa Serikali kupitia TRA

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Nianze na angalizo kuhusu andiko langu hili kuwa sio la kielemu wala kitaalam ni mawazo yangu binafsi ninavyotamani kuona kama yanaweza kuonesha njia ya mabadiliko kwenye ukusanyaji wa mapato nchini. Nikirejea motto wa mamlaka ya mapato...
  3. Lord denning

    TRA Dodoma, fuatilieni matumizi ya mashine za EFD

    Habari za Jumapili! Leo napenda kuwahusia TRA Dodoma na Tanzania nzima kwa ujumla! Naomba msikae ofisini, chukueni mda wenu kutembelea maeneo ya biashara iwe Kwa kusema au kwa kutosema, ili muone na kufanya ufuatiliaji juu ya matumizi ya mashine za Efd. Nimekuwa Dodoma tena kwa wiki nzima na...
  4. Tripo9

    EFD machine ni kwa ajili ya wafanyabiashara gani?

    Nina kaduka kangu sokoni. Nalipa kodi kama kawaida TRA kila mwaka. Mapato ya mwaka officially yanajulikana ni less than 4 million a year. Nauliza je na mimi natakiwa niwe na EFD MACHINE? Nimeingia website ya TRA sijaona jibu zaidi ya hii statement ..." These offences shall not apply to a...
  5. Erythrocyte

    Waziri wa fedha ingilia kati sakata la uboreshaji wa mashine za EFD, kamishna wa TRA ataleta balaa kubwa

    Muda uliotolewa wa kuboresha Mashine za EFD wa mwezi mmoja (kuanzia desemba 7 hadi Januari 7) hautoshi, kwa sababu mawakala wanaofanya kazi hiyo wamezidiwa na kazi hiyo kutokana na wingi wa mashine hizo na tayari wameomba kuongezewa muda wa kufanya marekebisho hayo ya ghafla yaliyosababishwa na...
  6. Analogia Malenga

    Wafanyabiashara wasioboresha Mashine za EFD kuchukuliwa hatua

    Kamishna mkuu wa Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Dkt Edwin Mhede amesema kuwa mamlaka hiyo haiongezi muda wa wafanyabiasha kuboresha mashine za EFD badala yake itachukua hatua za kisheria kwa ambao bado hawajaboresha. Dkt. Mhede aliyasema hayo wakati akifungua mkutano mkuu wa nusu mwaka wa...
Back
Top Bottom