EFD was an American payments services company. EFD provided financial service companies and other large enterprises with new account decisions, fraud detection and payment processing services. On June 27, 2007, Fidelity National Information Services, Inc. (FIS) announced that it was acquiring EFD in an all-cash transaction valued at about $1.8B. The target completion date for the acquisition was the 3rd quarter of 2007.
Habari
Kutokana na risiti hii ya EFD
Swali langu ni kutaka kujua bidhaa za simu hazina VAT?
Bei ya simu ni 48,000 na imeandikwa na TOTAL EXCLUSIVE OF VAT = TOTAL INCLUSIVE OF VAT
Ina maana hapo TOTAL TAX = 0
msaada kujua bidhaa hizi hazina vat?
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Nianze na angalizo kuhusu andiko langu hili kuwa sio la kielemu wala kitaalam ni mawazo yangu binafsi ninavyotamani kuona kama yanaweza kuonesha njia ya mabadiliko kwenye ukusanyaji wa mapato nchini. Nikirejea motto wa mamlaka ya mapato...
Habari za Jumapili!
Leo napenda kuwahusia TRA Dodoma na Tanzania nzima kwa ujumla!
Naomba msikae ofisini, chukueni mda wenu kutembelea maeneo ya biashara iwe Kwa kusema au kwa kutosema, ili muone na kufanya ufuatiliaji juu ya matumizi ya mashine za Efd.
Nimekuwa Dodoma tena kwa wiki nzima na...
Nina kaduka kangu sokoni. Nalipa kodi kama kawaida TRA kila mwaka.
Mapato ya mwaka officially yanajulikana ni less than 4 million a year.
Nauliza je na mimi natakiwa niwe na EFD MACHINE?
Nimeingia website ya TRA sijaona jibu zaidi ya hii statement ..." These offences shall not apply to a...
Muda uliotolewa wa kuboresha Mashine za EFD wa mwezi mmoja (kuanzia desemba 7 hadi Januari 7) hautoshi, kwa sababu mawakala wanaofanya kazi hiyo wamezidiwa na kazi hiyo kutokana na wingi wa mashine hizo na tayari wameomba kuongezewa muda wa kufanya marekebisho hayo ya ghafla yaliyosababishwa na...
Kamishna mkuu wa Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Dkt Edwin Mhede amesema kuwa mamlaka hiyo haiongezi muda wa wafanyabiasha kuboresha mashine za EFD badala yake itachukua hatua za kisheria kwa ambao bado hawajaboresha.
Dkt. Mhede aliyasema hayo wakati akifungua mkutano mkuu wa nusu mwaka wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.