efm

Education for Ministry (EfM) is a program of theological education-at-a-distance which originated at the University of the South School of Theology, while Urban Tigner Holmes III was dean, drawing on the work of the Jesuit Bernard Longeran. It was previously known as Theological Education by Extension (TEE). While the program is not exclusive to the Episcopal Church, it is mainly found in parishes of that church. It is a four-year program covering the Old and New Testament, ecclesiastical history, and theology. Participants receive 18 continuing education units from the University of the South for each year's work. Persons seeking either ordained or lay ministries may enroll.It is used in many dioceses of the Anglican Communion in North America and throughout the world (students are active in Australia, Central America, Europe, New Zealand, South America and the United Kingdom, as well as Canada and the US), from progressive to traditional, and Anglo-Catholic to evangelical, including Southern Ohio (Cincinnati), Massachusetts (Boston), Springfield, Illinois, Canada, Central Pennsylvania, and Albany, New York.

View More On Wikipedia.org
  1. chizcom

    Kuna kipindi redio nyingi mfano EFM zilifikia steji mtu yoyote sababu maarufu naye ni mtangazaji

    Bado hii tabia hipo wengi wanafanya mfano wasafi fm kwa baba levo. Haya haya tuliyaona kwenye redio ya EFM.Mfano mtu kama masanja tasnia ya habari katoa wapi?. Mpoki naye nilishawai kumsikia kwenye maredio mpaka gigy money. Hivi vyombo vya habari bila kuzibitiwa kuna siku wachambuzi wa siasa...
  2. Hamissi Hamza Jr

    Hivi E-fm wamefilisika??? Au wameamua tu kubadili mikakati na mipango kazi???

    Kwanza Sina Shaka Na Uwezo wa kiakili na kiubunifu Wa CEO Wa EFM Majizzo Jamaa ni Kichwa", Mikakati Na Mipango Kazi wake Wa Mwanzo Ulileta Mapinduzi Makubwa Kwenye MEDIA INDUSTRY Hasa Ile ya Kuipeleka Radio Uswahili(Singeli) Na Kuanzisha Kipindi Cha Michezo Na Vinginevyo Asubuhi Jamaa Alikua...
  3. Yoda

    EFM redio huwa wanafanya vipindi vya habari au ni comedy tu?

    Kwa muda mrefu sasa kila ninapokutana na video clip ya EFM radio ni ya watangazaji wake wakiwa wanafanya comedy. Hii redio wamehamia rasmi kufanya comedy? Kama hawajahimia mazima kwenye comedy Majizo afikirie kuigeuza EFM jukwaa la Comedy huenda akapata faida zaidi kuliko sasa.
  4. Nifah

    Tetesi: Mwamposa mbioni kuinunua E-FM, TV-E

    Katika kilichoonekana kama kusogeza ‘huduma’ karibu kwa waumini wa kanisa lake, Askofu na Mtume Boniface Mwamposa yupo kwenye mchakato wa kuinunua EFM Company Limited. EFM ni kampuni iliyosajiliwa kama chombo cha habari, ikiwa na umiliki wa Redio na Televisheni. Mwamposa na Mkurugenzi...
  5. Mung Chris

    Irene Kilenga wa EFM na TVE

    Naomba kuuliza huyu IRENE KILENGA wa EFM na TVE ameolewa? anao watoto au mtoto? Au bado msichana mdogo hajawa na mipango hiyo.
  6. sinza pazuri

    Wakazi awachimba mkwara mzito EFM

    Socialite maarufu kwenye mtandao wa X na shabiki wa muziki wa hip-hop ambaye anatrend sana kwa kuchambua wanamuziki maarufu aitwae Wakazi ametishia kuwapiga block kituo cha radio cha EFM. Ametoa mkwara huo baada ya kuoneshwa video ambayo watangazaji wa EFM walikuwa wanacheka kusikia Wakazi...
  7. Black Pundit

    EFM NDANI YA AZAM TV

    Habari za Majukumu na uzima Wakuu...... Hivi ni kweli ETV wamekuwa excluded kwenye list channels za AZAM TV ........? Maana siku hizi ni miezi miwili vhivi iliyopita nkilipia vifurushi vya AZAM TVsioni kabisa channel ya ETV Mwenye majibu tafadhali ... Natanguliza shukrani .
  8. Nyamwi255

    EFM sio media ya kurusha simulizi za aina hiii zisizo na maana

    Kipindi cha genge kinachoruka kuanzia saa 3usku mpaka saa 5 usiku, mnamo tarehe 19 na 20-024 Kilirusha simulizi ya mwanadada Natasha katika segment ya NIAZIME SIKIO. Simulizi ambayo ilikosa maadili. Kwenye simulizi hiyo ambayo msimuliaji ni mwanadada natasha alisimulia jinsi alivokutana na...
  9. Erythrocyte

    Joseph Mbilinyi (Sugu) kuhojiwa EFM Machi 8, 2024

    Taarifa kamili hii hapa
  10. Mjanja M1

    Pre GE2025 EFM wakejeli maandamano ya CHADEMA

    Kupitia kwenye ukurasa wao wa Instagram, Radio ya EFM imepost video inayoashiria kuwa ni kejeli kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo. Kwenye video hiyo iliyopewa Title "Subiri pajae ndio upige picha" wanaonekana watu wanaandamana halafu anatokea mwandishi wanamzonga asipige picha mpaka watu...
  11. MSAGA SUMU

    Tetesi: Kitenge hana furaha Wasafi, ataka kutimkia EFM

    Habari za uhakika kabisa zinasema gwiji la kusoma magazeti nchini aka zee la viearphones halina furaha Wasafi redio. Kitenge yuko kwenye mazungumzo ya awali akijiandaa kuhamia EFM huku ongezeko la mshahara na idadi ya safari za nje zikitajwa kama sababu kubwa kumshawishi kukimbilia EFM.
  12. The Burning Spear

    Asilimia kubwa ya maudhui ya vipindi vya redio nchini ni burudani na matangazo ya biashara

    Hi great Thinkers. Kwa utafiti wangu mdogo FM Radios za Tanzania zimejikita katika blabla kama ifuatavyo; 1. 40% ni matangazo ya biashara 2.30% ni habari za michezo 3. 20% ni Burudani. 4. 10% habari na elimu mbalimbali Ndiyo maana kuwa Radio presenter Tanzania ni kazi rahisi kuliko kazi zote...
  13. GENTAMYCINE

    Kumekucha: EFM Radio kuja na Muundo Mpya wa Kipindi kitakachokuwa Kinawazumgumzia Simba SC tu na siyo Wasiojua Wengine

    Wenyewe ( hasa Watangazaji ) wao Wanasema kuwa hata Rangi za Herufi zao Tatu EFM zina Rangi zinazoshabihiana na Rangi ya Klabu Bora na Kubwa nchini Tanzania na Afrika ya Simba Sports Club. Kipindi hicho Kipya kitaitwa Unguruma na Simba SC ambacho kitakuwa kina Udhamini wa Bia nzuri ya Pilsner...
  14. GENTAMYCINE

    Mtangazaji wa EFM Twalib Muwa: Simba SC kuishinda Al Ahly labda ishinde Njaa tu

    1. Kama katumia miaka Sita (6) kuitafuta Degree yake (isiyoeleweka ) Open University of Tanzania (OUT) kutokana na uhaba wa Akili alionao Kichwani ataacha kuwa Mpuuzi hivi? 2. Kama kila Redio anayokuweko yeye kutwa ni Kugombana tu na watangazaji wenzake ataacha kuwa Mpuuzi hivi? 3. Kama kuwa...
  15. Mhaya

    Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

    Msanii Ruby ambae siku ya Leo ameenda live Instagram ameonesha kuchukizwa na kutoa ya moyoni dhidi ya Boss wa EFM na ETV anayefahamika kama Fransic Siza a.k.a Majizzo au Majay. Msanii huyo wa kizazi kipya ametoa kauli ya kutakwa kimapenzi na Boss huyo ambae kwa sasa ameoa mke "Elizabeth...
  16. BARD AI

    Majizzo atambulisha Studio mpya za EFM, ina Microphone 11 On air

  17. BARD AI

    Salim Kikeke ajiunga na EFM na TVE

    Mtangazaji Salim Kikeke amechukuliwa rasmi na Kituo cha Radio na TV cha E FM na TVE ikiwa ni miezi 5 tangu alipoachana na BBC ya Uingereza. Vipi huu usajili huu Majizzo katisha au Kikeke kachemka?
  18. Dr Rutagwerera Sr

    Suala la Salim Kikeke kuhamia EFM na akili za watanzania

    Nimeona jinsi watu wanavyomshambulia Kikeke kwenye akaunti zake za kijamii kwa uamuzi wake wa kujiunga na kituo cha matangazo cha E-fm. Nimebaki kuajabia tabia ya watanzania. Maisha ni yake, uamuzi ni wake cha ajabu anatukanwa na kudhalilishwa na wachangiaji juu ya uamuzi wake huo. Tanzania ni...
  19. M

    Sasa ni rasmi Wasafi FM inapendwa na wana Yanga na EFM Radio inapendwa na wana Simba

    Kuanzia leo siisikilizi tena Wasafi FM na nitamwona Mpuuzi wa mwisho mwana Simba SC yoyote akiisikiliza kwani hiyo ni Redio ya wana Yanga SC Nawaombeni wana Simba SC wote kuanzia leo anzeni tu Kuisikiliza EFM Radio kwani ndiyo Redio yetu na ina Watangazaji na Wachambuzi Wasomi na wana Akili...
  20. dem boy

    Mchambuzi wa EFM Wilson Oruma aishauri Simba SC

    Anachambua Mchambuzi wa Efm Tanzania, Wilson Oruma. "Simba Sports jipangeni, mkiendelea Kusema Yanga Africa wamekutana na team dhaifu" "Mtashangaa wanacheza Fainali ya CAF champions league next season. Hii Fainali ya CAFCC haiwezi Kuwaacha Yanga hivi hivi" "Wamepata uzoefu Mkubwa, ambao...
Back
Top Bottom