Education for Ministry (EfM) is a program of theological education-at-a-distance which originated at the University of the South School of Theology, while Urban Tigner Holmes III was dean, drawing on the work of the Jesuit Bernard Longeran. It was previously known as Theological Education by Extension (TEE). While the program is not exclusive to the Episcopal Church, it is mainly found in parishes of that church. It is a four-year program covering the Old and New Testament, ecclesiastical history, and theology. Participants receive 18 continuing education units from the University of the South for each year's work. Persons seeking either ordained or lay ministries may enroll.It is used in many dioceses of the Anglican Communion in North America and throughout the world (students are active in Australia, Central America, Europe, New Zealand, South America and the United Kingdom, as well as Canada and the US), from progressive to traditional, and Anglo-Catholic to evangelical, including Southern Ohio (Cincinnati), Massachusetts (Boston), Springfield, Illinois, Canada, Central Pennsylvania, and Albany, New York.
Bado hii tabia hipo wengi wanafanya mfano wasafi fm kwa baba levo.
Haya haya tuliyaona kwenye redio ya EFM.Mfano mtu kama masanja tasnia ya habari katoa wapi?.
Mpoki naye nilishawai kumsikia kwenye maredio mpaka gigy money.
Hivi vyombo vya habari bila kuzibitiwa kuna siku wachambuzi wa siasa...
Kwanza Sina Shaka Na Uwezo wa kiakili na kiubunifu Wa CEO Wa EFM Majizzo Jamaa ni Kichwa",
Mikakati Na Mipango Kazi wake Wa Mwanzo Ulileta Mapinduzi Makubwa Kwenye MEDIA INDUSTRY Hasa Ile ya Kuipeleka Radio Uswahili(Singeli) Na Kuanzisha Kipindi Cha Michezo Na Vinginevyo Asubuhi Jamaa Alikua...
Kwa muda mrefu sasa kila ninapokutana na video clip ya EFM radio ni ya watangazaji wake wakiwa wanafanya comedy. Hii redio wamehamia rasmi kufanya comedy? Kama hawajahimia mazima kwenye comedy Majizo afikirie kuigeuza EFM jukwaa la Comedy huenda akapata faida zaidi kuliko sasa.
Katika kilichoonekana kama kusogeza ‘huduma’ karibu kwa waumini wa kanisa lake, Askofu na Mtume Boniface Mwamposa yupo kwenye mchakato wa kuinunua EFM Company Limited.
EFM ni kampuni iliyosajiliwa kama chombo cha habari, ikiwa na umiliki wa Redio na Televisheni.
Mwamposa na Mkurugenzi...
Socialite maarufu kwenye mtandao wa X na shabiki wa muziki wa hip-hop ambaye anatrend sana kwa kuchambua wanamuziki maarufu aitwae Wakazi ametishia kuwapiga block kituo cha radio cha EFM.
Ametoa mkwara huo baada ya kuoneshwa video ambayo watangazaji wa EFM walikuwa wanacheka kusikia Wakazi...
Habari za Majukumu na uzima Wakuu......
Hivi ni kweli ETV wamekuwa excluded kwenye list channels za AZAM TV ........?
Maana siku hizi ni miezi miwili vhivi iliyopita nkilipia vifurushi vya AZAM TVsioni kabisa channel ya ETV
Mwenye majibu tafadhali ...
Natanguliza shukrani .
Kipindi cha genge kinachoruka kuanzia saa 3usku mpaka saa 5 usiku, mnamo tarehe 19 na 20-024
Kilirusha simulizi ya mwanadada Natasha katika segment ya NIAZIME SIKIO.
Simulizi ambayo ilikosa maadili.
Kwenye simulizi hiyo ambayo msimuliaji ni mwanadada natasha alisimulia jinsi alivokutana na...
Kupitia kwenye ukurasa wao wa Instagram, Radio ya EFM imepost video inayoashiria kuwa ni kejeli kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo.
Kwenye video hiyo iliyopewa Title "Subiri pajae ndio upige picha" wanaonekana watu wanaandamana halafu anatokea mwandishi wanamzonga asipige picha mpaka watu...
Habari za uhakika kabisa zinasema gwiji la kusoma magazeti nchini aka zee la viearphones halina furaha Wasafi redio.
Kitenge yuko kwenye mazungumzo ya awali akijiandaa kuhamia EFM huku ongezeko la mshahara na idadi ya safari za nje zikitajwa kama sababu kubwa kumshawishi kukimbilia EFM.
Hi great Thinkers.
Kwa utafiti wangu mdogo FM Radios za Tanzania zimejikita katika blabla kama ifuatavyo;
1. 40% ni matangazo ya biashara
2.30% ni habari za michezo
3. 20% ni Burudani.
4. 10% habari na elimu mbalimbali
Ndiyo maana kuwa Radio presenter Tanzania ni kazi rahisi kuliko kazi zote...
Wenyewe ( hasa Watangazaji ) wao Wanasema kuwa hata Rangi za Herufi zao Tatu EFM zina Rangi zinazoshabihiana na Rangi ya Klabu Bora na Kubwa nchini Tanzania na Afrika ya Simba Sports Club.
Kipindi hicho Kipya kitaitwa Unguruma na Simba SC ambacho kitakuwa kina Udhamini wa Bia nzuri ya Pilsner...
1. Kama katumia miaka Sita (6) kuitafuta Degree yake (isiyoeleweka ) Open University of Tanzania (OUT) kutokana na uhaba wa Akili alionao Kichwani ataacha kuwa Mpuuzi hivi?
2. Kama kila Redio anayokuweko yeye kutwa ni Kugombana tu na watangazaji wenzake ataacha kuwa Mpuuzi hivi?
3. Kama kuwa...
Msanii Ruby ambae siku ya Leo ameenda live Instagram ameonesha kuchukizwa na kutoa ya moyoni dhidi ya Boss wa EFM na ETV anayefahamika kama Fransic Siza a.k.a Majizzo au Majay.
Msanii huyo wa kizazi kipya ametoa kauli ya kutakwa kimapenzi na Boss huyo ambae kwa sasa ameoa mke "Elizabeth...
Mtangazaji Salim Kikeke amechukuliwa rasmi na Kituo cha Radio na TV cha E FM na TVE ikiwa ni miezi 5 tangu alipoachana na BBC ya Uingereza.
Vipi huu usajili huu Majizzo katisha au Kikeke kachemka?
Nimeona jinsi watu wanavyomshambulia Kikeke kwenye akaunti zake za kijamii kwa uamuzi wake wa kujiunga na kituo cha matangazo cha E-fm.
Nimebaki kuajabia tabia ya watanzania. Maisha ni yake, uamuzi ni wake cha ajabu anatukanwa na kudhalilishwa na wachangiaji juu ya uamuzi wake huo.
Tanzania ni...
Kuanzia leo siisikilizi tena Wasafi FM na nitamwona Mpuuzi wa mwisho mwana Simba SC yoyote akiisikiliza kwani hiyo ni Redio ya wana Yanga SC
Nawaombeni wana Simba SC wote kuanzia leo anzeni tu Kuisikiliza EFM Radio kwani ndiyo Redio yetu na ina Watangazaji na Wachambuzi Wasomi na wana Akili...
Anachambua Mchambuzi wa Efm Tanzania, Wilson Oruma.
"Simba Sports jipangeni, mkiendelea Kusema Yanga Africa wamekutana na team dhaifu"
"Mtashangaa wanacheza Fainali ya CAF champions league next season. Hii Fainali ya CAFCC haiwezi Kuwaacha Yanga hivi hivi"
"Wamepata uzoefu Mkubwa, ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.