Hapa Afrika, mataifa manne tu ndio mambo yao yanaongoza kwenye ulingo huu.
=======
Kenya ranks among Africa’ four biggest destinations for tech start-up funding after Nigeria, Egypt and South Africa.
The African Tech Startups Funding Report (2021) shows that last year in the African tech...
Shirikisho la soka duniani Fifa limeamuru mechi ya marudiano ya mchujo ya Kombe la Dunia kati ya Misri na Senegal.
Haya yanajiri baada ya Chama cha Soka cha Misri (EFA) kuwasilisha rufaa iliyofanikiwa dhidi ya Senegal kikisema timu yake ya taifa ilifanyiwa ubaguzi wa rangi na vitisho ilipokuwa...
Nimetizama mpira kati ya Senegal vs Egypt, licha ya mchezo mzuri ulioonyeshwa na timu zote lakini mashabiki wa Senegal wametia aibu
Walikuwa wakiwalenga machoni wachezaji wa Egypt na mwanga mkali wa laser kipindi wanacheza na walipokuwa wakipiga penalti
Hili limewaathiri sana wachezaji wa...
An aerial shot of MV Uhuru II being constructed at the Kenya Shipyards Limited in Kisumu. FILE PHOTO | NMG
In August this year, the MV Uhuru 2 will set sail for the first time. This will be a major milestone in Kenya’s marine industry as it will be the first ship to have been assembled locally...
Bandugu, kwa wale mliobahatika kutazama mechi ya magiants wa afrika (FIFA ARAB CUP), kati ya Morocco and Algeria ilipigwa tarehe 11/12/2021 mutakuwa mmeenjoy sana sana 😀 pira limepigwa acha kabisaa, nina uhakika hawa magiants + Pharaoh watafika mbali mno nchini Qatar/World Cup, na...
Nafikiri kama huu mgao wa umeme ni kweli unasababishwa na vyanzo vya maji kukauka na kupunguza uwezo wa uzalishaji umeme, inabidi kwenda kujifunza kwa wenzetu wanawezaje.
Uganda na Egypt ni nchi ambazo zinategemea kuzalisha umeme kwa hydropower.
Wao wanawezaje pamoja na mabadiliko ya tabia...
Kwa kawaida, operation kubwa huanza na ganzi, or sindano ya nusu kaputi kumlaza mgonjwa nusu-kifo au hili na lile kumtayarisha mlengwa kisaikolojia.
Je, ni kweli ndicho wanacholenga kufanya??
The Swiss Investment Bank's Research Institute has released a new report that ranked Kenya as the 4th African country with the highest concentration of wealthy individuals after Nigeria, South Africa, and Egypt.
According to the report, Credit Suisse's 12th edition of the Global Wealth Report...
MOSCOW, September 24. /TASS/. The Russian single-component Sputnik Light vaccine against the coronavirus has been approved by the Egyptian Drug Authority (EDA), the Russian Direct Investment Fund said in a statement on Friday.
Sputnik Light is the first component of the Sputnik V vaccine...
Habari zenu.
Baada ya mwanaume Ethiopia kupuuza vitisho na mikwara ya mbu nje ya net iliyokuwa ikitolewa na Egypt kwa Ethiopia Kuhusu kujaza maji kwenye Bwawa la Umeme,jamaa sasa wameamua kuiangukia Congo DRC.
Egypt sasa inapanga kutumia mabilioni ya dola kuwalipa wakongo Ili ijenge channel ya...
Aliyekuwa Mchezaji wa Simba SC Luis Miquissone Raia wa Msumbiji ametambulishwa rasmi kama Mchezaji wa Al Ahly ya Misri, mitandao mbalimbali imeripoti kwamba Miquissone atakuwa analipwa mshahara kati ya USD 40,000 hadi 50,000 (Tsh Milioni 92 - milioni 115) kwa mwezi.
Kwa kheri Mwamba umeipigania...
We must be really grateful for the "colorful past" technology that allowed us to recognize the face of the Ancient Egyptian pharaoh Ramses ||, also known as Ramses the Great, the third pharaoh of the 19th dynasty of Egypt. He is often regarded as the greatest, most famous and most powerful...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.