el chapo

  1. Suley2019

    Marekani: El Chapo amuomba Rais amrejeshe Mexico

    Mlanguzi wa dawa za kulevya Joaquin "El Chapo" Guzman ameomba msaada kwa Rais wa Mexico kutokana na madai ya mateso ya kisaikolojia anayopata katika gereza la Marekani. "Katika miaka sita ambayo Joaquin amekuwa nchini Marekani, hajaona jua," alisema Jose Refugio Rodriguez, mwakilishi wa...
  2. Fursakibao

    Baada ya kukamatwa mtoto was El Chapo, Zimepigwa Kinoma Mexico

    Ngoja tuone kama watamuachia kama mara ya kwanza. Mpska sasa watu 29 wamekufa na vinu vinaendelea kulia huko Culiacana.
  3. JanguKamaJangu

    Mexico: Wiki moja kabla ya ziara ya Rais Biden, mtoto wa El Chapo akamatwa Mexico

    Ukamatwaji huo wa Ovidio Guzman-Lopez ambao pia umetajwa kuihusisha Marekani kumesababisha machafuko maeneo tofauti kwenye Jimbo la #Sinaloa kutoka kwa makundi ya kihalifu na kusababisha kifo kwa maafisa watatu. Ovidio ‘The Mouse’, ndiye anaendesha biashara za dawa za kulevya na uhalifu...
Back
Top Bottom