Tunafunga CCTV camera, alarm systm, Electric Fence, Remote gates nk
Tunafunga camera za ulinzi majumbani, maofisini, mashuleni, hospitali, migodini, mashambani nk.
Tunaunga mifumo yote kwenye sjmu ya mkononi hivyo utaweza kuona matukio yote kwenye simu yako ukiwa popote pale.
Tunafunga fensi...
Wakali wa pikipiki kutoka Japan, Honda, wametuletea wadau wa pikipiki EV mbili, moja inaitwa EV Fun na nyingine EV Urban.
EV Urban itawahusu wale wapenzi wa scooter za kuzunguka nazo mjini au short trips, mfano kazini au shuleni au sokoni.
EV Fun ni kwa wapenzi wa sport bikes, kwa mara ya...
Wajapan wanakaza sana kwenda EV, na Suzuki hajawahi kutuletea EV sasa amebanwa imebidi atuletee eVitara.
Ni small SUV itakayokuja na battery tofauti tofauti na ndogo kabisa itakua ni 49kWh itakayokua na range ya 400 km.
Specifications nyingine hawajatupatia ila tutegemee kuiona 2025.
Kampuni ya magari kutoka China, Xpeng Motors, baada ya kufanya teaser kwa muda mrefu, hatimaye wamezindua P7+ EV leo tarehe 10 October.
Leo wakati wa uzinduzi, Xpeng walisema P7+ ni “World’s first AI car” na mauzo yataanza tar 14 mwezi huu October ila delivery itaanza November.
P7+ ina...
Baada ya tetesi za muda mrefu, hatimaye Mazda wameamua kuzindua officially Mazda EZ-6 ambayo ni EV version ya Mazda 6/Atenza.
Kuonesha ubabe wake kwenye EV, Mazda aliamua kushirikiana na kampuni la Kichina la Changan katika kutengeneza hii chuma.
Itakuja na flavor mbili, either full...
Wadau wa JF Garage.
Kuna chuma, EV kutoka kampuni la Kijapan Mitsubishi inaenda kwa jina Mitsubishi i-MIEV (Mitsubishi innovative Electric Vehicle).
Hii unaweza kuipata BEforward kwa bei kati ya Mil 5 hadi 6 na kuendelea, na kodi zake (kwenye calculators ya TRA haipo) nimeulizia ni Tsh Mil 3.5...
About the role: Burn is seeking a mission-driven candidate to serve as the Sales Manager for BURN’s new line of electric cooking products. This role is an exciting opportunity to help shape and launch electric cooking across Africa. The Sales Manager – Electric Products will focus on...
Wakuu Asalaam,
Leo nimeamka na majanga, kiwanda changu kidogo kimeungua Electric motor yake
Naomba kujua Motor ya HP 20,25 na 30 zinauzwaje na eneo zinapopatikana kwa mtaalam.
Nashukuru kwa muda wenu.
Ni takriban wiki 2 sasa tangu nilipoiona habari ya mafuriko ya Rufiji dam. Habari ilieleza kuwa sio chini ya kaya 1000 zimeathiriwa na maji ya mafuriko yaliyotokana na maji kujaa kwenye dam kutokana na mvua nyingi.
Frankly nilitamani kujua mengi zaidi kwenye hili. Kwa waliopo karibu na eneo la...
MaDish Installers
Tunafunga mifumo ya ulinzi kwa kutumia:-
CCTV cameras
Electric fence
Alarm system
Intercom
Na mengineyo na wakati huu tuna punguzo maalum kwenye kufunga Electric fence kwa Tsh 19,000/= kwa square meter 1, tunafanyakazi mikoa yote Tanzania.
Pia tunafunga mfumo wa TV...
OFFER OFFER OFFER
ELECTRIC FENCE INSTALLATION
HUGE OFFER 20,000/= per meter
fungiwa electric fence kwa 20,000/= kwa mita moja, gharama iyo inajumuisha vifaa vyote vinavyotumika na ufundi, tunafanya kazi mikoa yote popote pale tunakufikia mteja, wahi sasa.
Piga simu: 0745146690
Huna haja ya kuwaza umeme kukatika kwani saan agency tumekuja na suluhisho kwaajili yako. Tutakufungi backup system nyumbani au ofisini kwako kwa teknolojia Bora na salama
Unaweza ukajiuliza
➡️INAFANYAJE KAZI?
➡️KWANINI NITUMIE BACKUP SYSTEM?
➡️INAFAIDA GANI?
Well kuna namna mbili za ufanyaji...
Eco-friendly engine converter Opibus has raised Sh834.37 million ($7.5 million) in equity and grant funding to scale up production of electric motorcycles and buses in Kenya from next year.
At the same time BasiGo, an e-mobility start-up headquartered in Nairobi yesterday announced its entry...
Habari zenu, mimi ni kijana wa kitanzania niliyeamua kujiongeza kwa kufanya kazi za kufunga CCTV cameras, electric fence, bimetric doors n.k.
Tushafanya kazi nyingi karibu tukuhudumie tuko wawili na bei zetu ni nafuu. Pia kwa mtu yeyote anayetaka kututafutia dili karibuni pia malipo...
Kenya is like the rest of the world headed to using electric cars and motorbikes to curb environmental pollution from petroleum fuels and one company is at the forefront of driving the change.
Electric cars are already on the Kenyan roads and the infrastructure to support them is gradually...