Position: Electrical Engineer
Unit: Projects & Property
Reporting to: Project Engineer
Duty Station: Dar es Salaam
KEY JOB PURPOSE
The role is responsible for the design, implementation, and maintenance of electrical systems within various properties and projects. The role will ensure that all...
Habari ndugu zangu, kuna chuo kimoja kinaitwa ICOT hapo mjini Morogoro kipo chini ya wizara ya ujenzi kinatoa course za diploma kwa electrical, mechanical na civil engineering aisee kina changamoto kubwa sana.
Chuo hakina wakufunzi wakutosha kwaio wanatumia wakufunzi wa part time ila cha ajabu...
Anonymous
Thread
changamoto
chuo
course
diploma
electrical
habari
hapo
kina
kubwa
mechanical
mjini
morogoro
ndugu
ndugu zangu
sana
ujenzi
wizara
wizara ya ujenzi
Poleni na majukumu wanajamii kwa wale ambao mmewahi kupita utumishi kufanya interview ya electrical technician TRC karibu kuchangia interview ilikuaje maswali yalioulizwa pia hata kwa wale mnaoenda kufanya interview siku ya jumamosi mwezi huu tuje kushare madesa tunaikabili vipi interview hii.
Habari za muda huu ndugu zangu naomba kufahamishwa kama kuna mtu alishawahi kufanya interview za electrical technician utumishi tusaidiane namna ya maswali yanavyokuja katika interview zote tatu written, practical and oral
Au pia kwa mtu yeyote mwenye uelewa na interview hizo ruksa kushare...
Geely Auto wamezindua Geome EV hatchback itakayokuja katika series mbili na trims tano, kuanzia bei ya $9,900 hadi $14,000 na zikiwa na CLTC range ya kilometa 310 hadi 410.
Tukianza na ya 310 km, hii ina battery la 30 kWh kutoka kampuni la CATL, na inatoa power ya 78 hp.
Hii kubwa ya 410...
Kampuni ya kutengeneza magari kutoka China Build Your Dream (BYD) wametangaza kua wale wote waliolipia (nunua) supercar yao YangWang U9, wakae mkao wa kula, sio muda zinawafikia.
Kama haitoshi, kila owner ataona expected delivery date aliyopangiwa katika official App ya YangWang na ikitokea...
Position: Electrical Supervisor (1 position )
Position purpose
The Role will include planning, design, and execution of electrical layouts in residential and commercial building situations, implementing the install off all electrical aspects.. The applicant must have good communication skills...
Wakuu nilikuwa naomba kujua kiundani juu ya kozi hii ya electrical and biomedical engineering.
Je, unaposoma cozi hiyo utajishughulisha na ufundi wa vifaa vya tiba au na umeme kwa ujumla.
Ahsanteni
Wakuu nilikuwa naomba kujua kiundani juu ya kozi hii ya electrical and biomedical engineering.
Je, unaposoma cozi hiyo utajishughulisha na ufundi wa vifaa vya tiba au na umeme kwa ujumla.
Ahsanteni
Position: Electrical Technician Vacancies: Two (2)
Workplace: Bagamoyo Date: 08/05/2024
DUTIES/RESPONSIBILITIES
Attending plant preventive and corrective maintenance
Attending power receiving and distribution (in bothTG, generator and Grid)
Attending plant machine inspection
Ensure plants is...
Position: Electrical Technician
Qualification
Applicant should be a holder of VETA level lll/Diploma in Electrical Engineering from a recognized Institution. Key skills & Abilities:
Ability to maintain all the electrical equipment to acceptable and approved standards for efficient operation...
Habari za wakati huu ndugu zangu,
Samahanini sana kwa nitakao wakela kwa mimi kuleta uzi huu hapa jukwaani.
Nilikuwa naomba kwa ambao wamewahi kufanya interview utumishi ajira za TRC department ya umeme(locomotives engine).
Naomba mnisaidie maswali ambayo huwa yanaulizwa wakati wa interview...
Habarini!!
Nimesoma bachelor degree in Electrical Engineering pia nina diploma,pia nina leseni class C Electrical installation natafuta kampuni ya kufanya nae kazi ninaomba msaada wa internship au kazi
Namba:0762136488 au
missnzowatwb@gmail.com
Nahitaji Graduate Electrical Engineers wa mwaka jana. Hawa wenye reg. 2018-04-....
Naomba unitumie CV yako na vyeti pia kama ukiweka na application letter ni nzuri pia..
Eneo la kazi ni KAGERA SUGAR LIMITED
hamna idadi kamili inayoitajika, ni wale wataokuwa na sifa watajibiwa.. uonapo...
Aliye iloga Tanzania kafa. Nchi hii imegeuzwa kichwa cha mwenda wazimu Kabisa.
Hawa watendaji wa Serikali siyo kwamba hawajui Kazinila wameamua Kula kulingana nanurefu wa kamba Zao.
Unjanja unjanja mwinginwa kumwona kila mtanzania ni mkinga.
TANESCO Sisi tunataka umeme hizo hesabu zenunza...
Poleni na majukumu Wakuu,hoja muhimu ni kwamba Imekaaje chuo Chuo kikubwa nchini kam UDOM kukosa kozi tajwa hapo juu ,ikizingatiwa ni chuo chenye uwezo wa kubeba wanafunzi wengi Tanzania.Kwanini wadau na wizara zisipunguze mzigo kwa vyuo kama Udsm,DIT,MUSTnk maana vinachukua wanafunzi wengi...
Katika Kipengele cha uwekaji mfumo wa Umeme katika jengo mpaka kukamilika hupitia hatua 3 kuu.
(1) kutindua ( plan and design circuit's) hii inahusika na ujengaji wa metal box zote single na double, mainswitch, waterproof box pamoja na round box na uwekaji wa bomba baada ya hatua hii plasta na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.