electrical

  1. Jamii Opportunities

    Electrical Engineer at GSM February 2025

    Position: Electrical Engineer Unit: Projects & Property Reporting to: Project Engineer Duty Station: Dar es Salaam KEY JOB PURPOSE The role is responsible for the design, implementation, and maintenance of electrical systems within various properties and projects. The role will ensure that all...
  2. A

    DOKEZO Chuo cha ICOT-Morogoro cha Wizara ya Ujenzi kinatoa elimu dhaifu na hakilipi wakufunzi

    Habari ndugu zangu, kuna chuo kimoja kinaitwa ICOT hapo mjini Morogoro kipo chini ya wizara ya ujenzi kinatoa course za diploma kwa electrical, mechanical na civil engineering aisee kina changamoto kubwa sana. Chuo hakina wakufunzi wakutosha kwaio wanatumia wakufunzi wa part time ila cha ajabu...
  3. Mike Moe

    Electrical Technician interview TRC

    Poleni na majukumu wanajamii kwa wale ambao mmewahi kupita utumishi kufanya interview ya electrical technician TRC karibu kuchangia interview ilikuaje maswali yalioulizwa pia hata kwa wale mnaoenda kufanya interview siku ya jumamosi mwezi huu tuje kushare madesa tunaikabili vipi interview hii.
  4. Mike Moe

    Kwa mliokuwa Shortlisted (Electrical II) TRC na mliowahi kufanya interview za electrical technician utumishi

    Habari za muda huu ndugu zangu naomba kufahamishwa kama kuna mtu alishawahi kufanya interview za electrical technician utumishi tusaidiane namna ya maswali yanavyokuja katika interview zote tatu written, practical and oral Au pia kwa mtu yeyote mwenye uelewa na interview hizo ruksa kushare...
  5. Mad Max

    Geely Auto wametuletea Electrical Hatcback “Geome” kwa bei ya kuanzia $9,900 tu

    Geely Auto wamezindua Geome EV hatchback itakayokuja katika series mbili na trims tano, kuanzia bei ya $9,900 hadi $14,000 na zikiwa na CLTC range ya kilometa 310 hadi 410. Tukianza na ya 310 km, hii ina battery la 30 kWh kutoka kampuni la CATL, na inatoa power ya 78 hp. Hii kubwa ya 410...
  6. Mad Max

    Supercar kutoka BYD: YangWang U9 zinaanza kufanyiwa delivery hivi karibuni

    Kampuni ya kutengeneza magari kutoka China Build Your Dream (BYD) wametangaza kua wale wote waliolipia (nunua) supercar yao YangWang U9, wakae mkao wa kula, sio muda zinawafikia. Kama haitoshi, kila owner ataona expected delivery date aliyopangiwa katika official App ya YangWang na ikitokea...
  7. Jamii Opportunities

    Electrical Supervisor at Sotta Mining July, 2024

    Position: Electrical Supervisor (1 position ) Position purpose The Role will include planning, design, and execution of electrical layouts in residential and commercial building situations, implementing the install off all electrical aspects.. The applicant must have good communication skills...
  8. Mad Max

    Tanzania Railway Cooperation (TRC) wanahitaji Electrical Tech II na Mechanical Tech II.

    Wakuu. Jana Tar 05 July wametangaza hizo nafasi. Waliosoma Diploma ya izo kozi mapambano yaendelee.
  9. D

    Naomba ushauri kuhusu kozi ya Electrical and Biomedical Engineering

    Wakuu nilikuwa naomba kujua kiundani juu ya kozi hii ya electrical and biomedical engineering. Je, unaposoma cozi hiyo utajishughulisha na ufundi wa vifaa vya tiba au na umeme kwa ujumla. Ahsanteni
  10. D

    Naomba ushauri kuhusu kozi ya Electrical and Biomedical Engineering

    Wakuu nilikuwa naomba kujua kiundani juu ya kozi hii ya electrical and biomedical engineering. Je, unaposoma cozi hiyo utajishughulisha na ufundi wa vifaa vya tiba au na umeme kwa ujumla. Ahsanteni
  11. Jamii Opportunities

    Electrical Technician – 2 posts at Bagamoyo Sugar Limited

    Position: Electrical Technician Vacancies: Two (2) Workplace: Bagamoyo Date: 08/05/2024 DUTIES/RESPONSIBILITIES Attending plant preventive and corrective maintenance Attending power receiving and distribution (in bothTG, generator and Grid) Attending plant machine inspection Ensure plants is...
  12. daizouh

    Chuo Gani Tanzania kinatoa Master degree in electrical engineering by coursework and dissertation

    Jamani nahitaji kujua chuo kilichopo Tanzania kinachotoa master degree in electrical engineering by coursework and dissertation
  13. Jamii Opportunities

    Electrical Technician at Bonite Bottler Ltd

    Position: Electrical Technician Qualification Applicant should be a holder of VETA level lll/Diploma in Electrical Engineering from a recognized Institution. Key skills & Abilities: Ability to maintain all the electrical equipment to acceptable and approved standards for efficient operation...
  14. Mike Moe

    Naomba maswali ya Interview ya Electrical engineering interview (TRC, Locomotives engine)

    Habari za wakati huu ndugu zangu, Samahanini sana kwa nitakao wakela kwa mimi kuleta uzi huu hapa jukwaani. Nilikuwa naomba kwa ambao wamewahi kufanya interview utumishi ajira za TRC department ya umeme(locomotives engine). Naomba mnisaidie maswali ambayo huwa yanaulizwa wakati wa interview...
  15. M

    Natafuta internship au kazi Electrical Engineering

    Habarini!! Nimesoma bachelor degree in Electrical Engineering pia nina diploma,pia nina leseni class C Electrical installation natafuta kampuni ya kufanya nae kazi ninaomba msaada wa internship au kazi Namba:0762136488 au missnzowatwb@gmail.com
  16. TheForgotten Genious

    ELECTRICAL ENGINEERS NEEDED

    Nahitaji Graduate Electrical Engineers wa mwaka jana. Hawa wenye reg. 2018-04-.... Naomba unitumie CV yako na vyeti pia kama ukiweka na application letter ni nzuri pia.. Eneo la kazi ni KAGERA SUGAR LIMITED hamna idadi kamili inayoitajika, ni wale wataokuwa na sifa watajibiwa.. uonapo...
  17. The Burning Spear

    Kariakoo Sasa Majenerator yanaunguruma. Gegegeeee, Dododooo, Gigigiiii

  18. The Burning Spear

    Press Release za TANESCO Zimejaa MW. MW Utadhani watanzania wote ni Electrical Engineers

    Aliye iloga Tanzania kafa. Nchi hii imegeuzwa kichwa cha mwenda wazimu Kabisa. Hawa watendaji wa Serikali siyo kwamba hawajui Kazinila wameamua Kula kulingana nanurefu wa kamba Zao. Unjanja unjanja mwinginwa kumwona kila mtanzania ni mkinga. TANESCO Sisi tunataka umeme hizo hesabu zenunza...
  19. Mr Pixel3a

    Udom kukosa kozi kama civil , electrical na mechanical engineering ni tatizo

    Poleni na majukumu Wakuu,hoja muhimu ni kwamba Imekaaje chuo Chuo kikubwa nchini kam UDOM kukosa kozi tajwa hapo juu ,ikizingatiwa ni chuo chenye uwezo wa kubeba wanafunzi wengi Tanzania.Kwanini wadau na wizara zisipunguze mzigo kwa vyuo kama Udsm,DIT,MUSTnk maana vinachukua wanafunzi wengi...
  20. Tarimofundiumeme

    Tunahusika na uwekaji mifumo ya umeme majumbani na viwandani. Tuna leseni ya Ewura na tumesajiliwa kwenye mfumo wa Nikonekt

    Katika Kipengele cha uwekaji mfumo wa Umeme katika jengo mpaka kukamilika hupitia hatua 3 kuu. (1) kutindua ( plan and design circuit's) hii inahusika na ujengaji wa metal box zote single na double, mainswitch, waterproof box pamoja na round box na uwekaji wa bomba baada ya hatua hii plasta na...
Back
Top Bottom