13 Job Vacancies at the Tanzania Electrical, Mechanical and Electronics Services Agency (TEMESA).
The Tanzania Electrical, Mechanical and Electronics Services Agency (TEMESA) is a Government Agency established in 2005 to provide engineering services in Electrical, Mechanical and Electronics...
S.E.C. (East African) Company Ltd has been registered in the United Republic of Tanzania under the Company Ordinance (CAP 212) with a certificate of Incorporation number 55091 as a Limited Company.
We are registered with the Contractors Registration Board (CRB) as specialist contractors In...
TPC Ltd is one of the most respected sugar producing companies in Tanzania. The company is situated at the foot of Mount Kilimanjaro, 22kms south of Moshi Municipality. Applications are invited from qualified, energetic, proactive and dynamic candidates to fill vacant position in the Factory...
Habari za jioni waungwana.
Kama nilivyoeleza hapo juu kwenye heading hio, Nimefanya kazi zote hizo kwa muda tofauti tofauti na bado hahusika nazo mpaka Sasa.
Nimekuja kwenu kuomba msaada wa kampuni, shirika, mtu binafsi atakayeweza/kuwa tayari kufanya kazi na mimi.
Napatikana mkoa wa...
Habari zenu wana Jamii Forums.
Nilikuwa nina uhitaji wa notes za course ya electrical engineering first year pale DIT ngazi ya diploma.
Wakuu wa DIT, naomba msaada.
Nahitaji kuwasiliana na kampuni zilizo sajiliwa na zenye ofisi Tanzania, ambazo zina uwezo na uzoefu wa kuagiza electrical, mechanical na instrumentation equipment and parts. Kampuni iwe na uwezo uzoefu wa kuagiza baada ya kupata order toka kwangu, kusafirisha, clearance, na ku deliver...
Naombeni msaada nataka mnisaidie kuchambua kati ya Mechanical na electrical engineering ngazi ya diploma kwa sasa ipi inalipa? Na urahisi wa kupata ajira??
Tanga Cement PLC believes that for employees to play their full role in the achievement of the Company’s business objectives, there should exist an on going comprehensive and effective training and development process at all levels. The company therefore invests in personal and professional...
JOB PURPOSE:
Installation of electrical components, machines and gadgets; maintenance of such machines as well as troubleshooting and repairs whenever there is a breakdown.
QUALIFICATIONS & EXPERIENCE:
Educated to a degree level in Electrical engineering or a related field from a reputable...
Habari zenu wana JF.
Mimi ni mhitimu wa kidato cha nne mwaka 2021.Najua matokeo hayajatoka kwa selection ya 2022 lakini huwa na penda kufatilia vitu mapema ili nijipange.Ningependa kupata mawazo yenu kuhusu hiyo title.(dhumuni kuu:nimechagua DIT kwenye selform but tangu nije home nasikia sifa...
POST: ENGINEER II (ELECTRICAL) – 1 POST
POST CATEGORY(S): ENGINEERING AND CONSTRUCTION
EMPLOYER: Tanzania Broadcasting Corporation (TBC)
APPLICATION TIMELINE: 2021-09-23 2021-10-06
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
To execute electrical installations under a Professional Engineer
To...
Habari,
Rejea kichwa cha habari hapo juu. Nimemaliza Chuo mwaka 2020 , natafuta sehemu ya kufanya interniship ili niweze kupata uzoefu katika fani yangu.
Nina ufaulu mzuri wa masomo yangu ya engineering (Nina upper second class GPA) na nina ufahamu wa juu kuhusu:-
1. PLC programming...
Hello wakuu,
Naomba msaada nimehitimu kidato Cha nne kwaka Jana 2020 na kupata grade C flat na nataka niingie college
Je, kati ya course mbili hizi civil na electrical & hydro power engineerings niipi iko marketable hapa Tanzania ngazi ya diploma
Note; Electrical and Hydropower engineering ni...
Description
Key Duties and Responsibilities
Job plan, job allocation & technical guidance to subordinates.
Responsible for compliance of safety measures within work area.
Responsible for housekeeping of his/her work area.
Executes the maintenance and servicing of Circuit Breakers, Transformers...
Kampuni ya Apple ina mpango wa kuingia ubia na Kampuni ya Hyundai ya South Korea. Kuanza kutengeneza magari ya umeme yanayojiendesha bila dereva.
Lakini Apple pia bado ipo kwenye mazungumzo na makampuni mengine ya magari jinsi inaweza kuingia ubia nao!
Hii ni big blow kwa kampuni kubwa ya...
Habari wana jamvi nimatumaini yangu nyote mu wazima.
Mimi nikijana umri miaka 25 natafuta kazi au kibarua cha muda katika kada ya umeme au nje ya umeme naweza kufanya kazi sehemu yoyote lakini kwa sasa niko Dar es salaam.
Nina ordinary diploma katika umeme (OD in electrical engineering )...
Mwenye uzoefu naomba msaada wa taarifa kuhusu degree ya electrical engineering ya St Augustine University Mwanza .ikoje in terms of uwepo wa wakufunzi waliobobea na coverage ya material yani kwa kimombo tunasema academic rigour, au ndo ile bla bla tu ilimradi watu wamalize? Nafikiria kufanya...
Hi, I hold Ordinary Diploma's certificate in Electrical and Electronic Engineering NTA6 with two years working experience.
I'm seeking for assistance to anybody who knows Electrical Contractors/Subcontractor that have such a vacancy which is based in Dar es salam.
Anybody who get in touch...
Reference Number: CCB190424-15
Job Title: Electrical Technician
Company Coca-Cola Kwanza (Tanzania)
Location – Country: Tanzania
Location – Town / City: Dar es Salaam
Job Description
Coca-Cola Kwanza Ltd has an exciting opportunity in Manufacturing Department. We are looking for a talented...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.