Habari za muda wanaJF,
Mimi ni kijana nimemaliza form six mwaka huu 2024, matokeo yangu kiufupi yalikua kama ufuatavyo.
Chemistry - E
Bio - E
Geography - D
BAM - E
G.S - D
Sema kweli matokeo yangu hayakua mazuri kwa ujumla.
Bila kusita nilifanya application za vyuo kwa level mbili zote...
Wandugu habarini,
Nina kijana alikuwa mnufaika wa mkopo apo S.U.A
Akakutana na changamoto baada ya mzazi kufariki akasitisha Masomo
Mwaka jana aka apply akapata tena apo S.U.A
Sasa changamoto iko kwenye kuomba tena mkopo
Aliambiwa alipe 25% ya deni lake la nyuma na ameshalilipa
Changamoto...
Habari za Leo wanaJF.
Naomba mwenye kujua asili ya utamaduni wa wahitimu elimu ya juu ( degree, masters na PHD)siku ya mahafali kuvaa na kurusha juu kofia zao. Najua watu wengi hawajui, tutumie platform hii kuwajuza. Karibuni sana
Inawezekana kusoma? yaani naweza kusoma huku nikiwa natafuta pesa ya kujikimu na kujilipia ada? Je, kuna utaratibu wa chuo kumpa mtu muda wa kufanya kazi za kujiingizia kipata na kufanya masomo nyakati za jioni?
Zile assignment, group disc huwa inakuwajee? wajuzi naomba wanifahamishe.
Nyie watu mliosomeshwa kwa mkopo wa serikali elimu ya juu mlikuwa mnatutambia sana sie tulionyimwa mkopo. Mlikua mnajiona wajanja wenyewe 😂😂 mmepata kazi umefika mda wa kulipa deni mnaanza kulia lia ooh mshahara hautoshi mara ooh wanakata sana.
Mlitegemea nani awalipie? Wakati mnatumia mliona...
Habari za majukumu wanajukwaa, bila shaka ni wazima wa afya.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yangu;
Ndugu wanajukwaa naombeni ushauri wenu hasa kwa nyie wazoefu na hii kitu inayoitwa "Masters of Arts in International Cooperation and Development" inayotolewa na Chuo kikuu Huria cha...
Mambo wana JamiiForums,
Nilidisco Chuo tangu nikiwa mwaka wa pili lakini mara baada ya kudisco sikurudi nyumbani wakawa wananitumia hela ya matumizi naishi tu ili wenzangu wakimaliza na mimi naenda home nionekane nimemaliza chuo wakija kuuliza ajira ionekane ajira ni ngumu sijapata.
Sasa huu...
Habari zenu,
Naomba mnijuze ukomo wa kusoma masters katika vyuo huria.
Nauliza maana ni miaka karibu sita sasa shemeji yenu anasoma tu hiyo elimu. Vikwazo vimekuwa vingi mno masters haiishi mpaka namuonea huruma.
Je, kuna mtu humu ndani alishawahi kufanyaga interview ya ufadhili wa masomo inayotolewa na Bank of Tanzania (BoT)?
Kama umeshawai kufanya ni maswali yapi huwa wanapendelea kuuliza?
Kwa anayejua anisaidie.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema ujenzi wa Kampasi za Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya katika Mkoa wa Rukwa ni moja ya mradi unaojengwa chini ya Mradi wa Higher Education for Economic Transformation zinazojengwa katika Mikoa isiyo na Taasisi za Elimu ya...
1.0 UTANGULIZI
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) inapenda kufahamisha umma, Taasisi za Elimu ya Juu na Wadau wote wa Elimu ya juu ndani na nje ya nchi kuwa dirisha la maombi ya udahili kwa waombaji wa Shahada ya Kwanza kwa mwaka wa masomo 2024/2025 limefunguliwa kuanzia leo tarehe 15/7/2024...
WanaJF!
Hapa nchini Tanzania kuna sekta fulani fulani ambazo ni nyeti na zinapaswa kupewa uangalizi wa kina ili ziweze kuleta tija kwa taifa. Mfano tu wa sekta hizo ni sekta ya maliasili na utalii, sekta hii kama ikiweza kusimamiwa vizuri, sio tu itaipatia serikali mapato yake, bali itaweza...
HALI ILIVYO NA MAMBO YA KUANGAZIA:
Bado kuna ombwe kubwa la kutofautiana katika ujuzi na maarifa miongoni mwa baadhi ya wahitimu wa vyuo tofauti waliosomea shahada zinazoshabihiana.
Aidha wanafunzi wengi wa vyuo vikuu na wahitimu wa vyuo hivyo wamechagua au wamesomea shahada za fani...
Elimu ni nyenzo muhimu saana kwa mwanadam kupambana na mazingara yanamzunguka. Ikiwa elimu hiyo haimwezeshi kupambana na mazingira hiyo elimu inakuwa kiwazo kwake hivyo humpatia mazingira magumu saana.
Zamani mababu na mabibi zetu waliweza kufundisha vijana kwa kuwapatie elimu kwa vitenda ili...
Salaam!
Ni jumanne iliyo njema sana.
Moja Kwa moja kwenye mada.
Bodi ya Mikopo (HESLB) imekuwa ikiwaangamiza watumishi wa umma ambao waliwahi kuwa wanufaika wao walipoamua kujiendeleza kielimu bila kuzingatia kanuni ya 1/3 (Moja ya Tatu) ya mshahara. Nimeshuhudia na/kuona watumishi wakipokea...
DIRISHA LIMEFUNGULIWA, NJOO TUKUSAIDIE KUFANYA APPLICATION ZA MKOPO BODI YA MIKOPO HESLB.
Contacts:- 0627799285. Katibu Seneti Mkoa
Habari!
Dirisha la Kufanya Maombi ya Mikopo Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu (HESLB) limefunguliwa.
Uongozi wa UVCCM kupitia Idara ya Vyuo na Vyuo Vikuu Seneti (M)...
Habari wanaJF, mimi nimemaliza Form Six mwaka huu 2024.
Katika pita pita zangu nimekutana na TCU guide book mwaka Jana. Naomba UFAFANUZI kwenye hicho kipengele 👇👇 maana nimesoma sielewi.
Natanguliza shukran za dhati 🙏🙏
TANZANIA TUITAKAYO : ELIMU YA VYUO VYA UFUNDI IWE LAZIMA KISHERIA KWA VIJANA WOTE WANAOSHINDWA KUENDELEA ELIMU YA JUU.
UTANGULIZI.
Awali ya yote nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, niwapongeze sana jukwaa la JAMII FORUMS, kwa kuanda shindano hili la kibunifu zaidi na lenye...
Amesema mtazamo wake kuhusu katiba ni kuleta nafuu kwenye maisha ya kila siku mf.
Wanawake wasio na ajira wapewe mikopo bila riba mtu akifa maiti isidaiwe chochote na kijana akihitimu masomo na serikali haijampa ajira baada ya miaka mitano ianze kumlipa nusu mshahara mpaka atakapo pata ajira.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.