Habari wakuu:
Kichwa cha thread kinajieleza naomba mnisaidie njia ya kufoward email zangu zikiingia tu kasha la kupokelea zije moja kwa moja kwenye inbox ya kawaida kama SMS.
Nimegoogle nikakutana na msamiati "SMS gateway domain" hapo nikashindwa.
Mnisaidie kupata hiyo njia na maelezo ya huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.