Wakuu Kuna boma linauzwa Mbweni Millioni 40 . Mtu ataendeleza tu hilo boma
Mita 15.3 kwa mita 23
N.B chenye thamani ni kiwanja sio boma .Call 0759600684
Habari ndugu zangu JF.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Eneo la Ekari moja linauzwa. Mmiliki ni dada yangu kaomba nimtangazie
Mahali: Kibaha Visiga, 500m kutoka barabara kuu ya Morogoro
Bei: Tsh 18,000,000 (Mazungumzo yanakaribishwa)
Mawasiliano: 0784 41 41 43 (Mwenye eneo, hakuna dalali)...
ENEO: Ukubwa wa 6,196 sqm (mita za mraba).
Ambalo limeendelezwa kwa kujengwa ukuta na majengo ya matumizi mbalimbali ambayo yapo katika hatua za kumalizika. umeme umekwisha fikishwa wa “three phase”.
Eneo lipo karibu na shule ya primary na secondary ya St. Flora/Mikongeni, lipo kwenye barabara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.