Michael Bradley Enzi ( EN-zee; born February 1, 1944) is an American politician and accountant who served as a United States Senator from Wyoming from 1997 until 2021. He is a member of the Republican Party.
Raised in Thermopolis, Wyoming, Enzi attended George Washington University and the University of Denver. He expanded his father's shoe store business in Gillette, Wyoming before being elected the city's mayor in 1974. In the late 1970s, he worked for the United States Department of the Interior. He served as a state legislator in both the Wyoming House of Representatives (1987–1991) and Wyoming Senate (1991–1997). During the 1980s and 1990s, he worked as an accountant and executive director in the energy industry.
Enzi was elected to the U.S. Senate in 1996 with 54% of the vote and reelected in 2002 with 73% of the vote, in 2008 with 75% of the vote, and in 2014 with 71% of the vote. During his tenure, he was consistently ranked one of the Senate's most conservative members. He was a member of the 2009 Gang of Six that attempted to negotiate health care reform. From 2015 until his retirement from the Senate, he chaired the Senate Budget Committee, during the 114th, 115th, and 116th Congresses.
1. Enzi hizo watu tulivaa viraka. Mafundi cherehani walipata kipato kwa kushona viraka. Suruali la baba lilikatwa kaptura za watoto na chupi kadhaa za mama.
2. Enzi hizo watu tulipiga mswaki kwa mkaa. Watu tulivaa kata mbuga. Miguu ilijaa funza wakubwa utadhani mbaazi. Tulikwenda chooni...
Nanukuu kutoka kitabu cha KUMBKUMBU LA TORATI FUNGU LA 28:
1 Itakuwa utakaposikia sauti ya Bwana, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo Bwana, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani;
2 na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata...
Haya mambo hutokea hasa kwa wadada wanaopenda mambo makubwa kuliko uwezo wao. Dada yuko chuo anataka kwenda shopping Dubai, kuendesha gari japo hata iwe IST, aishi kwenye apartment na iPhone 13 pro.
Hapa duniani kuna wazee wana pesa hawajui la kuifanyia. Kumtimizia binti yote haya ni madogo...
Enzi zetu bana hasa sisi watu wa huku Mbeya kulikuwa hamna kabisa majumba ya sinema, badala yake movies zote tulikuwa tukizitazama video shows.
Mfano Mbeya Mjini Video show maarufu zilikuwa;
Nisso Video Show
Vijana Show,
Chawama Video show
Kimanda Video show,
Mponzi video show,
Jihanga Video...
Hapa Ni Tanzania Elimu Supply(TES) Enzi Hizo 1947
Mabasi ya Ekarusi Kumbakumba kwa nyuma Azania Front
Tanganyika Parkers Enzi Hizo 60s
Salender Bridge 1960s
Dar-Es-Salaaam 1975 Hiyooooo!!!
Seaview-Mawingu House 1960
Arusha-Clock Tower 1966
Dodoma City Center 1974
Bukoba City...
Hi there!
Do you remember our history. Here is a story written 27 years ago:
Tanzania Jet Hijacked; 2 Are Reported Killed
Published: February 27, 1982
Hijackers demanding the resignation of President Julius K. Nyerere of Tanzania seized a Tanzanian jetliner with more than 90 passengers...
Hapa alikuwa Mbeya, kuna jamaa kapanda juu ya gari kuhakikisha baba yuko salama! Baba tumemiss sana hizi swaga, wengine wakisema hao jamaa zetu ni wakutoka kwa jirani yako Tolu
Habari zenu jamani. Natumaini nyote mko salama kabisa. Mimi niko poa kabisa😊😊
Turudi kwenye mada. Hivi mnajua michezo ya zamani ilikuwa inahimarisha akili na ubongo kwa kuwa mwili unakuwa unafanya kazi?
Mdako
Ukicheza mdako lazima utumie akili ya namna ya kumfunga adui yako. Hapo unacheza...
Mzuka Wana jamvi natumaini mpo powa kabisa,Leo nawaletea malegend Hawa hapa wakuitwa
Earth Wind & Fire
Kwa ufupi waliitwa EW&F au EWF
Hii ilikua ni band ya mziki ilianzishwa mwaka 1969 na Maurice white
Hawa jamaa walipiga genres za R&B,Soul,Jazz,disco,Pop,dance,Latin,nkHawa miamba kutoka...
Alikuwa akihojiwa na Maulid Kitenge kuhusu kusifia kila kitu yeye akasema, hajui kutaga yai lakini yai bovu analijua, ‘mimi kama kiongozi wa dini wajibu wangu ni kuangalia wapi panahitaji kunyooshwa sio wapi panahitaji kusifia, wakati wa Mwalimu ukimsifia anaku- demote siku hizi ukisifia sifia...
Asikudanganye mtu hakuna chochote kigeni kwenye hii dunia. Mambo yanayotokea leo hii yalishakuwepo kwenye huu ulimwengu miaka maelfu kwa maelfu iliyopita.
Unaongelea kuhusu rushwa, chuki, wivu, ukatili, ukabila, upendeleo, kulewa madaraka, magonjwa, mauaji etc etc yote utayakuta kwenye vitabu...
Huwa najiuliza hivi Mimi na mfalme Suleiman nani anafaidi maisha? Au Mimi na Vasco da Gama Nani anainjoi maisha? Imagine wewe na karli Peter's Nani amebarikiwa? Au Kuna raha gani aliyoipata William Shakespeare kunizidi Mimi?
Kiufupi hao niliowataja hapo juu hawakupata neema tunayoipata sisi...
Kuna jambo nimelikumbuka wakati nafanya mazungumzo na wafanyakazi wenzangu leo. Tulikuwa tukijikumbusha visanga na mambo mbalimbali ya miaka ya nyuma wakati tukisoma.
Ni kuhusu kujaladia madaftari. Hii kwa walimu wengi ilikuwa ni sharti muhimu; yaani akiingia darasani anaweza kuamua tu kukagua...
Wana Jf
Kukatika hovyo kwa umeme ni iShara mbaya sana kwa Wazir J.Makamba, huenda wafanyakazi wanamjaribu au aliowaingiza hawana uweledi wa viongozi, jana watu walishindwa kununua umeme, vijana mnaosema wajiajiri wamekosa pesa.
Siku mzima hawakufanya kazi, leo mkoa wa kagera na sehemu fulani...
Mzuqa wanajamvi Kwa wale wapenzi wa spaghetti movie nadhani mnawakumbuka Hawa miamba watatu walizinguana Sana kwenye Hii cinema
Elli wallach a.k.a Tuko alikua bonge la comedian humo hahahahaha jamaa ana tamaa hatari mara kibao anafanya njama za kumsnich mchizi wake Brandy ila harakati zake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.