Katika harakati zako za kutafuta mpenzi, unaweza kukutana na mwanamke ambaye kwa sababu moja au nyingine anakuondolea uwezo wako wa kufikiri, kutumia mantiki na pia kutumia akili yako ya kuzaliwa.
Si lazima awe amekufanyia kitu, lakini inaweza kuwa ni ulevi wako tu unaosababisha ufanye mambo...
Salaam Wakuu,
Katika kuendelea kukumbushana umuhimu wa kulinda taarifa binafsi, leo nimeona nieleze kwa ufupi suala la wizi wa taarifa binafsi unaofanywa kupitia nyaya za kuchajia simu (USB). Tazama kwenye picha hapa chini:
Picha> USB Cables za aina mbalimbali
Ni wazi kuwa kutokana na sababu...
1. Usinyoe nywele sehemu za siri.
2. Usile chakula kingi Muda mfupi kabla ya kuelekea kumpelekea moto au kupelekewa moto(kugongwa).
3. Usije ukanywa dawa za maumivu ikiwa unahali ya kuumwa/Homa achana na kufanya tendo hilo Hadi hapo hali itakapotengemaa.
4. Usile vitu au vyakula vyenye viungo...
Mapema leo wachezaji wa Norwich city wakati wakicheza mchezo wao wa mwisho, england premier league dhidi ya totenham.
Wamevaa tishert zenye rangi za
kishoga wakimsapoti mchezaji wa Blackpool fc inayoshiriki ligi ya daraja la tatu huko wingereza aliyejitangaza kuwa ni shoga.
Wapo wengi tu...
Epuka makosa haya kwenye maisha, yatakuchelewesha na yatakuzeesha haraka.
Huyo mimi ndiyo nilimsomesha.
Hilo paa mimi ndiyo nimempaulia ili ahamie kwake, alikwama kabisaaaaa.
Hicho cheo mimi ndiyo nilimfanyia mpango akakipata.
Usimuone hivyo mimi ndiyo nilikuwa nampa nauli sasa hivi hanijui...
Kwa ufupi marafiki wa namna hii wanaweza kukusaliti muda wowote kwa maslahi yao binafsi, narudia tena epuka kuwa na marafiki wa namna hii ambao wakiona hela akili zao hubadilika na kuwa kama wehu utanishukuru siku moja.
Na marafiki wa namna hii wengi wao wakishika fungu basi pombe na wanawake...
(Picha: The Sheriff)
Umewahi kupata dalili ya afya ambayo haijawahi kutokea hapo awali na ukaanza kujiuliza ni nini kinachoweza kuwa tatizo? Of course, huenda jibu lako ni kama langu pia, "Kabisa!"
Sasa basi, inapotokea hivi hatua ya kwanza inayopaswa kufanyika ni kuwasiliana na mtoa huduma wa...
KATIKA MAISHA YAKO YA SIASA EPUKA MAMBO HAYA;
Kwa Mkono wa Robert Heriel.
Endapo utapenda uongozi na utawala, mpaka ikakubidi kujiingiza kwenye mapito ya kisiasa, basi nakusihi Epuka mambo haya ili uwe na Amani hata siku ujapoondoka duniani.
1. Epuka kumwaga Damu isiyo na hatia.
Fanya...
Wanadamu tusipozibiti haya mambo matatu basi lazima utakuja kushangaa,kujilaumu na mengineyo.
Mambo matatu yenyewe:
( 1) Unapokuwa na furaha usitoe "ahadi"
ijalishi furahaa hupo sehemu gani kwenye mapenzi, urabuni, sherehe, starehe, mafanikio n.k. Hapa watu wengi hutoa ahadi wasizotegemea kwa...
Katika msururu wa kuadhimisha Siku ya Uelewa kuhusu ugonjwa wa Kisukari tunakupatia vidokezo vya namna kukabiliana na ugonjwa huo na jinsi ya kuulinda na jamii nzima.
Idadi ya watu wenye kisukari duniani kote inakadiriwa kufikia milioni 422 lakini ukweli ni kwamba hata watoto wanaambukizwa...
Hivi karibuni niliandika uzi huu:
https://www.jamiiforums.com/threads/bodi-ya-mikopo-elimu-ya-juu-heslb-wanatokaje-awamu-hii.1922083/
Hata hivyo Badru bado anajisifia kuwa walioangaliwa Zaidi kwenye mikopo ni wale watoto wenye uhitaji zaidi wanaotoka familia duni.
Ukweli hajui watoto wa wale...
Video kuhusu taarifa sahihi, Maswali na Majibu kuhusu viza hii .
Epuka kutapeliwa; kumbuka hakuna ada yeyote inayotozwa kwa kutuma maombi yako.
https://dvprogram.state.gov/. #DiversityVisa
American Diversity Visa Season for the year 2023
Accurate information, Questions and Answers about...
Inasikitisha kwamba kuwa msomi siku hizi imekuwa aibu. Unasoma kwa bidii mpaka ngazi ya chuo kikuu unaishia kutia aibu mtaani.
Nakumbuka kipindi niko Form V niliazimia kuacha shule. Niliona kabisa napoteza muda mrefu na nitaishia kupata aibu tu kwa usomi wangu. Sio jamii tu, bali hata walimu...
Note:
Uzi huu unawahusu tu watu ambao gari zao zina Immobilizer
Kama una funguo inafanana na hizi hapa chini. Then kaa hapa usome.
Ipo hivi....
Kuna baadhi ya malalamiko watu wanalalamika kwamba wizi wa magari huenda unasababishwa na watu ambao walikuwa wamiliki wa hayo magari au...
Tupo kwenye nyakati ngumu sana. Corona imeathiri kila nyanja ya maisha yetu. Na kwa kuwa bado hatuna uhakika na mwenendo wake, ni vyema tukaendelea kujilinda na kuepuka maambukizi.
Nasi kama wadau wa lojistiki na usafirishaji, tunaojali afya za wateja wetu, tumeamua kuchukua risk kwa niaba...
Heshima zenu wakubwa
Wakati tukiwa tunaendelea kupambana na COVID-19 na magonjwa mengine mengi na tkuiwa tunaepuka kwa kupunguza
misongano ,kuvaa barakoa na njia nyinginezo .nimekuja na mbinu mpya ya kuwa saidia wahitaji wa vitu viuzwavyo masokoni na magengeni kwa kuweka order online na mimi...
Habari za wakati huu wapendwa wa JamiiForums. Bila shaka mko vizuri. Ambao mko Wadhaifu Mungu awape heri.
Iko hivi, Napenda kuzungumzia kuhusu Uonevu (Bullying)
Uonevu ni hali ya kufanya kitu fulani kwa mwingine kama vile kumdhalilisha, kumpiga au kumdhuru kwa namna yoyote ile hata bila sababu...
Rafiki yangu mpendwa,
Kuna watu wanaitwa ‘watu sumu’ watu ambao kwa kujihusisha nao unajikuta ukirudi nyuma badala ya kusonga mbele.
Kwa kuwa wale unaojihusisha nao huwa wana ushawishi mkubwa kwako, unapaswa kuwa makini sana na kila mtu unayemruhusu awe karibu yako.
Leo tunakwenda kuziangalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.