fair

A fair (archaic: faire or fayre) is a gathering of people for a variety of entertainment or commercial activities. It is normally of the essence of a fair that it is temporary with scheduled times lasting from an afternoon to several weeks.

View More On Wikipedia.org
  1. Numero Uno

    Fair play

    Hii sasa ni chuki sio utani wa jadi Sababu ulikuwa simba ndio unatumia hiyo advantage ili watu waamini? Simba ilikuwa na team bora na imara sana wacha chuki zako sope
  2. I

    This world is not fair at all! Hivi hii dunia ukiwa hard-working unakufa njaa?

    The people who are lazy by nature ndo wanaenjoy cake ya taifa na kula maisha maisha mazuri. Hebu imagine waliosoma arts ndo wanakula Bata walioeoma sayansi wanaugulia umaskini. Mfano Dkt. Tulia Ackson kasoma arts, Tundu Lissu kasoma Arts, Kabudi kasoma Arts, Mwigulu Nchemba kasoma Arts, Ndugai...
  3. Crocodiletooth

    Fundi nguo wa hayati mzalendo wetu hakua fair

    That's real
  4. I

    It is fair to say kuwa Money Heist is one of the best kama sio the best series of the decade?

    It was worth the wait kusema kweli. Series ambayo imekamilika kila idara yani inakufanya utamani kuangalia dakika inayofata nini kitatokea. Natamani mpaka wangekua ni watanzania jamani daah. Plot nzima imesimama vyema na mwisho wa series ile imemridhia kila mtazamaji. Kwangu mimi, hii ni...
  5. Nyendo

    Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe -Inspector Lugawa ISSA Maulid atoa Ushahidi, Kesi yaahirishwa hadi Novemba 25, 2021

    Leo tarehe 24, Nov. 2021kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake 3 inaendelea katika mahakama divisheni ya Uhujumu Uchumu na Rushwa ambapo leo Jamhuri italeta Shahidi Mwingine. Kujua kesi ilipoishia, soma: Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 23, 2021. Kesi yaahirishwa hadi...
  6. sky soldier

    GSM amwaga bilioni 2.1 kuwa mdhamini mwenza wa ligi kuu

    Kampuni ya GSM imesaini mkataba wa miaka miwili na Shirikisho la Soka Tanzania wenye thamani ya TSH. 2.1 Billion kwa ajili ya kuwa mdhamini mwenzanwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Engineewr hersi "Tunadhamini timu za Yanga sc, Namungo na Coastal union,, tumeona ni vyema kudhamini pia ligi kuu...
  7. Labani og

    kocha wa simba Pablo Franco inawezekana ameletwa na GSM ili kuleta Fair competition kwenye ligi yetu pendwa

    kama title inavyosomeka hapo juu kutokana na uchambuzi wangu wa kisoka inawezekana kocha wa timu ya madrid ya bongo (kolo fc) pablo franco ameletwa na brand kampuni kubwa ya GSM ili kuleta fair competition kwenye ligue yetu pendwa kutokana na ndugu zetu hawa kuanza kulia lia mapema kwamba hakuna...
  8. A

    Sheria ya Finantial fair player

    Kwa ulaya kuna sheria ya finantial fair player,sheria hiyo imeanzishwa ili kuvilinda vilabu vidogo vidogo visibemendwe na vilabu vikubwa kwenye soko la usajili japokua bado ni ngumu kucompete kwenye soko la usajili kutokana na changamoto za kiuchumi. hivyo basi team inaruhusiwa kutumia kiasi...
  9. Makirita Amani

    Ukweli Mchungu: Ukitaka Mafanikio Makubwa, Usiwe 'Fair'

    Rafiki yangu mpendwa, Kuna vitu waliofanikiwa sana wanavijua, lakini huwa hawaviweki wazi. Wanafanya hivyo kwa sababu jamii huwa haielewi vitu vingi kuhusu mafanikio, na hivyo huishia kuwashambulia waliofanikiwa pale wanapojaribu kuwa wakweli. Mara ngapi umesikia masikini wakiwasema matajiri...
Back
Top Bottom