A fair (archaic: faire or fayre) is a gathering of people for a variety of entertainment or commercial activities. It is normally of the essence of a fair that it is temporary with scheduled times lasting from an afternoon to several weeks.
Hii sasa ni chuki sio utani wa jadi
Sababu ulikuwa simba ndio unatumia hiyo advantage ili watu waamini?
Simba ilikuwa na team bora na imara sana wacha chuki zako sope
The people who are lazy by nature ndo wanaenjoy cake ya taifa na kula maisha maisha mazuri.
Hebu imagine waliosoma arts ndo wanakula Bata walioeoma sayansi wanaugulia umaskini.
Mfano Dkt. Tulia Ackson kasoma arts, Tundu Lissu kasoma Arts, Kabudi kasoma Arts, Mwigulu Nchemba kasoma Arts, Ndugai...
It was worth the wait kusema kweli.
Series ambayo imekamilika kila idara yani inakufanya utamani kuangalia dakika inayofata nini kitatokea. Natamani mpaka wangekua ni watanzania jamani daah.
Plot nzima imesimama vyema na mwisho wa series ile imemridhia kila mtazamaji. Kwangu mimi, hii ni...
Leo tarehe 24, Nov. 2021kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake 3 inaendelea katika mahakama divisheni ya Uhujumu Uchumu na Rushwa ambapo leo Jamhuri italeta Shahidi Mwingine.
Kujua kesi ilipoishia, soma: Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 23, 2021. Kesi yaahirishwa hadi...
Kampuni ya GSM imesaini mkataba wa miaka miwili na Shirikisho la Soka Tanzania wenye thamani ya TSH. 2.1 Billion kwa ajili ya kuwa mdhamini mwenzanwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Engineewr hersi "Tunadhamini timu za Yanga sc, Namungo na Coastal union,, tumeona ni vyema kudhamini pia ligi kuu...
kama title inavyosomeka hapo juu kutokana na uchambuzi wangu wa kisoka inawezekana kocha wa timu ya madrid ya bongo (kolo fc) pablo franco ameletwa na brand kampuni kubwa ya GSM ili kuleta fair competition kwenye ligue yetu pendwa kutokana na ndugu zetu hawa kuanza kulia lia mapema kwamba hakuna...
Kwa ulaya kuna sheria ya finantial fair player,sheria hiyo imeanzishwa ili kuvilinda vilabu vidogo vidogo visibemendwe na vilabu vikubwa kwenye soko la usajili japokua bado ni ngumu kucompete kwenye soko la usajili kutokana na changamoto za kiuchumi. hivyo basi team inaruhusiwa kutumia kiasi...
Rafiki yangu mpendwa,
Kuna vitu waliofanikiwa sana wanavijua, lakini huwa hawaviweki wazi.
Wanafanya hivyo kwa sababu jamii huwa haielewi vitu vingi kuhusu mafanikio, na hivyo huishia kuwashambulia waliofanikiwa pale wanapojaribu kuwa wakweli.
Mara ngapi umesikia masikini wakiwasema matajiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.