fake

Fake news is false or misleading information presented as news. It often has the aim of damaging the reputation of a person or entity, or making money through advertising revenue. However, the term does not have a fixed definition, and has been applied more broadly to include any type of false information, including unintentional and unconscious mechanisms, and also by high-profile individuals to apply to any news unfavourable to his/her personal perspectives.
Once common in print, the prevalence of fake news has increased with the rise of social media, especially the Facebook News Feed. Political polarization, post-truth politics, confirmation bias, and social media algorithms have been implicated in the spread of fake news. It is sometimes generated and propagated by hostile foreign actors, particularly during elections. The use of anonymously-hosted fake news websites has made it difficult to prosecute sources of fake news for libel. In some definitions, fake news includes satirical articles misinterpreted as genuine, and articles that employ sensationalist or clickbait headlines that are not supported in the text.Fake news can reduce the impact of real news by competing with it; a Buzzfeed analysis found that the top fake news stories about the 2016 U.S. presidential election received more engagement on Facebook than top stories from major media outlets. It also has the potential to undermine trust in serious media coverage. The term has at times been used to cast doubt upon legitimate news, and former U.S. president Donald Trump has been credited with popularizing the term by using it to describe any negative press coverage of himself. It has been increasingly criticized, due in part to Trump's misuse, with the British government deciding to avoid the term, as it is "poorly-defined" and "conflates a variety of false information, from genuine error through to foreign interference".Multiple strategies for fighting fake news are currently being actively researched, and need to be tailored to individual types of fake news. Effective self-regulation and legally-enforced regulation of social media and web search engines are needed. The information space needs to be flooded with accurate news to displace fake news. Individuals need to actively confront false narratives when spotted, as well as take care when sharing information via social media. However, reason, the scientific method and critical thinking skills alone are insufficient to counter the broad scope of bad ideas. Overlooked is the power of confirmation bias, motivated reasoning and other cognitive biases that can seriously distort the many facets of immune mental health. Inoculation theory shows promise in designing techniques to make individuals resistant to the lure of fake news, in the same way that a vaccine protects against infectious diseases.

View More On Wikipedia.org
  1. Lycaon pictus

    Video hii ni fake. AI imefika pabaya sana.

    https://youtube.com/shorts/MSt3ulTfcb4?si=UI9WsdIJxfArjaif
  2. M

    Sasa ndo naelewa maana ya fake news.

    Kumbe neno fake news lina maana tofauti na wengi tuelewavyo. Inatolewa taarifa yenye ukweli ila Kama anayetakiwa kuwajibika hasipokuwa tayari kuzungumzia inaitwa fake news ,wanaibatilisha na kuwaaminisha watu kuwa ni habari ya uongo wakati ina ukweli. Mfano hii ya wanafunzi mkoa wa Ruvuma kukaa...
  3. Pascal Mayalla

    Story ya kurejea kwa Sultan wa Zanzibar ni Fake News! JF Tumelishwa Tango Pori!. Asante Kaka Chale kuniwezesha kuupata ukweli

    Wanabodi, Hii story ya Sultan wa Zanzibar kurejea Zanzibar Ni fake news. Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni Jana baada ya kuisoma na kuchangia, nilipandisha bandiko la maoni yangu. Kaka yangu mmoja kutoka Zanzibar, Kaka Chale, akanipigia simu...
  4. C

    Ufisadi wa Mawakili Feki na Athari kwa Wananchi Ukonga

    Mwabukusi, Rais TLS, hali ya mahakama za mwanzo ni ya kusikitisha. Kuna wanasheria uchwara wengi. Rais Mwabukusi, sijui kama unajua hali hii hapa Ukonga? Katika mahakama za mwanzo, zipo ofisi za "wanasheria" wa ovyo ambao wanapokea kesi za watu na kuzipeleka mahakama za mwanzo na za juu. Wengine...
  5. M

    How money laundering is done through fake pastors and preachers

    Money laundering through fake pastors and preachers typically exploits the reputation of religious institutions as trustworthy and charitable. Here’s how it works: 1. Establishment of a Religious Institution A fake preacher establishes a church, ministry, or religious organization. Since many...
  6. K

    Tanzania! Fake! Dira ya taifa 2050 bila katiba mpya ni kujidanganya!

    Pamoja na ukweli kwamba Watanzania tunapenda kujidanganya lakini cha ajabu tunadanganya mpaka vizazi vijavyo. Bila katiba mpya ambazo zitatoa mfumo imara wa sheria, bunge na utawala bora hatuwezi kuwa na dira ya maana bila hayo. Huwezi kuweka Dira wakati kiongozi yeyote anaweza kuingia na...
  7. BLACK MOVEMENT

    Mbinu mpya ya CCM kuingiza kura fake vituoni ni kutumia Plice na magari yao.

    CCM ni sawa na yale magenge ya Madawa za kulevya kule Mexco, ambako kila mbinu ikijulikana huingia chimbo na baadae kuja na mbinu mpya ya kusafirisha Dawa za kulevya. CCM baad ya kugundua mbinu nyingi za wao kuiba kura hasa kura fake zinajulikana now day sana wanatumia police hao hao kuiba...
  8. K

    Maajabu ya Tanzania: Chaguzi fake, mikataba fake, mifumo fake na ripoti fake

    Yaani Tanzania ni nchi ambayo kila kitu sasa ni fake Maajabu ya TZ: Chaguzi fake, mikataba fake, mifumo fake, ripoti za Raisi fake na marafiki fake-machawa Je kuna nchi Dunia hii watu wako fake kama Tanzania 1. Tuna mfumo wa Demokrasia ambao serikali ndiyo inaongoza kudidimiza! 2. Ripoti za...
  9. K

    Ripoti za kila siku zinaonekana kama ni fake! wananchi hawapati taarifa

    Ripoti mbali mbali za kila siku ambazo zinaagizwa na wanasiasa lakini hatuambiwi chochote zinaonekana kwa wengi ni fake tu. Ripoti mpaka za Raisi hazijulikani kama zilitoa au yalikuwa maneno ya kisiasa tu. Uongo ongo kwenye hii serikali umekuwa mwingi sana. Master wa uongo bahati mbaya ndie...
  10. K

    Ruto kampa live Raisi Samia na demokrasia fake

    Ruto kampa live Samia kuhusu maandamano Niongezee hili la imani Mwanzo 9:6 BHND Share Amwagaye damu ya binadamu, damu yake itamwagwa na binadamu; maana binadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu.
  11. Li ngunda ngali

    Sauli ni mfano wa wamiliki wa mabasi waliofilisiwa na madereva fake

    Biashara ya mabasi ya abiria kwa Dunia ya leo si ya kushadadia ma mbio yasiyo na tija bali ni akili yenye wingi wa ubunifu ndaniye kwa mambo yatakayomvutia abiria taraji. Mfano Sauli ni wazi alifilisiwa na madereva wake kwa kushadadia sifa za kijinga za mwendo kasi hali iliyosababisha mabasi...
  12. N

    Kila kitu kimekuwa fake: Chumvi, sukari, sabuni, viberiti

    Yaani chumvi za siku hizi hazikolei kiasi ukinunua pakti inaisha week tuu..zamani wakati nakuwa chumvi ilikuwa inanunuliwa kwa nadra sana sababu ilikuwa haiishi.. halafu hazina madini joto Sukari nayo haikolei kwenye chai wala uji, kiasi inabidi itumike nyingii Sabuni ndo usiseme, kipande...
  13. Mwamuzi wa Tanzania

    Tangu nizaliwe nimepitia changamoto ngumu ngumu ila hii ya sasa too much. Sasa naweza kusema hakuna jambo la kunipeleka kwa waganga au manabii fake

    Hello Hapo zamani Njaa nimewahi kulala zaidi ya mara moja. Nimewahi kukosa mahali pa kulala. Nimewahi kulala porini peke yangu. Nimewahi kushikwa mjini kwa kosa la uzurulaji. Nimewahi kukataliwa na mtu niliyemwamini kutia Saini fomu yangu ya kujiunga kidato cha 5. N.k. N.k Baada ya miaka...
  14. K

    Kuna Taasisi ya Serikali inatoa control number fake, niripoti wapi??

    Wakuu kuna taasisi moja ya umma nimeenda kupewa huduma nikapewa control namba nilipie ila nilichoambulia kila wakala anasema hii haiwezekani kulipa. Nikarudi kwa taasisi husika nikawapa cash wakanipa huduma. Ila ukihakiki ile control number inaonesha ipo invalid maana yake kuna wajanja wanakula...
  15. kilio

    Je tasnia ya habari imejiandaa na Program za Akili Bandia (Generative Artificial Intelligence) zenye uwezo wa kutengeneza Fake News and Misinformation

    Tumeshuhudia siku za karibu waziri Dorothy Gwajima akitoa tamko juu ya maudhui ya mwanadada anayeishi na nyoka. Huu ni mwanzo tu, mengi yanakuja kupitia programu za akili bandia. Program hizi zina uwezo wa kutengeneza fake picha, fake video and fake sauti ili mradi kuleta utata na upotoshaji...
  16. M

    Jinsi Video ambazo ni fake zilivyotumika kipropaganda kuelezea Shambulio la Iran kwa Israel

    Sina maneno mengi, video inajitosheleza https://www.youtube.com/watch?v=P3iuOjJ0yyY&ab_channel=DWNews
  17. Technophilic Pool

    Nimemtongoza mke wangu kwa akaunti fake TikTok kanikubali, tena yupo tayari kuolewa

    Aisee hawa wanawake ni hatari. Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu. Kifupi nimeshindwa kupata flow nzuri kwani nadhani huwa anafutaga chats. Sasa nikatengeneza Akaunti fake TikTok kwa majina...
  18. 2 of Amerikaz most wanted

    The way people edit Neymar's shape to bring him down is the next level hating

    The way people edit Neymar's shape to bring him down is the next level hating.
  19. Heparin

    SI KWELI NHIF yarejesha utaratibu wa kusajili watoto kupitia Mpango wa Toto Afya Kadi

    Kumekuwepo na taarifa inayosambaa mtandaoni ikionesha kuwa mfuko wa Taifa wa bima ya Afya (NHIF) umerejesha mpango wa kusajili watoto kupitia kifurushi cha Toto Afya Kadi. Taarifa hii ina ukweli kiasi gani maana naona kuna mvutano mkubwa, baadhi wanadai ni kweli na wengine wanasema si kweli.
  20. Artifact Collector

    Kukithiri kwa wingi kwa pombe fake, Mamlaka imeshindwa kudhibiti?

    Kumekuwepo kwa kukithiri kwa wingi kwa pombe fake hapa Tanzania ni kama mamlaka imeshindwa kudhibiti hali imekuwa mbaya sana serikali ionee huruma wananchi wake huko mbeleni hali itakuwa mbaya sana. Ukiwa bar kuanzia saa sita usiku na kuendelea bia zinazouzwa mida hii nyingi ni fake. Pia soma...
Back
Top Bottom