Bila shaka hapa ulimwenguni hamna kitu kinaogofya Zaidi ya kupoteza uhai kwa viumbe hai ( WANYAMA NA BINADAMU). Hali hii hutokana na mfumo wa fahamu unaofanya kazi automatic kulinda na kudhibiti uhai usiponyoke mwilini. Kinachopelekea hudhuni kubwa kumwangukia binadamu kutokana na matokeo ya...