faustine ndugulile

Faustine Engelbert Ndugulile (born 31 March 1969) is a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Kigamboni constituency since 2010.Dr. Faustine Ndugulile was appointed Deputy Minister of the Ministry of Health, Community Development, Gender, Elders and Children (Tanzania) by the President of the United Republic of Tanzania, Dr. John Pombe Joseph Magufuli in October 2017.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    Paul Makonda kuchukua nafasi ya Ubunge kigamboni na kupewa Uwaziri baada ya Faustine Ndugulile kuchaguliwa WHO?

    Ndugu zangu Watanzania, Ni swali tu nauliza kuwa baada ya Mheshimiwa Faustine Ndugulile kuchaguliwa kuwa mkurungenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika,naamini kuwa itambidi Mheshimiwa mbunge atumie busara ya kuachia nafasi ya Ubunge ili atimize vyema majukumu yake ya ukurugenzi wa WHO kanda ya Afrika...
  2. Roving Journalist

    Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

    Mbunge wa Kigamboni na Naibu Waziri wa Afya wa zamani Dkt. Faustine Ndugulile, ameshinda uchaguzi wa kiti cha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika. Katika Uchaguzi uliofanyika leo jijini Brazzaville nchini Congo, wajumbe 25 kati ya 46 wa Mkutano Mkuu wa 74 wa WHO...
  3. Stuxnet

    Tukubali tukatae, ila anayeiweza Wizara ya Afya ni Dr Faustine Ndugulile tu

    Mwendazake hakuwahi kumpa u-full minister wa Wizara ya afya. Na Rais Samia alimpa mawasiliano kisha akamuacha. Lakini huyu ndiye angeweza kuwa waziri bora sana kwa Wizara ya Afya Tanzania. Sasa hivi yeye ni candidate kwenye position ya Director of WHO- Africa region. Tumuombee apate. Asipopata...
  4. Stephano Mgendanyi

    Dr. Faustine Ndugulile Ideal Candidate to a Position of WHO AFRO Director

    Dr. Faustine Ndugulile Ideal Candidate to a position of WHO AFRO Director I'm so thrilled presenting Dr. Faustine Ndugulile a Tanzanian former deputy health minister who was recently approved to contend for a position of Africa Regional Director of the World Health Organization (WHO)! Dr...
  5. BARD AI

    Tanzania's Faustine Ndugulile secures important endorsement for the WHO Regional Director for Africa position

    Tanzania has nominated Dr. Faustine Ndugulile as its candidate for the Regional Director for Africa position at the World Health Organization (WHO). The country has received an endorsement for Ndugulile from 16 countries in the Southern African Development Community (SADC) and seven others...
  6. Makonyeza

    Yaliyomshinda Mbunge wangu Kigamboni

    Yaliyomshinda Mbunge wangu Kigamboni: Sina pa kusemea, ukurasa wangu hapa facebook ndio kipaza Sauti changu. Anyways, Sikuwa na matarajio mkubwa kwake kwa kuwa Sina Imani na kikundi cha watu(chama) kilichomweka kwenye nafasi hiyo, kwa mantiki hiyo pia Sishangazwi na jinsi anavyotupuuza wana...
  7. Baraka21

    Waziri Ndugulile tunaomba utusaidie kuhusu PAYPAL

    Mh. Ndugulile tunaomba utusaidie kupata huduma ya PAYPAL katika nchi yetu. Tunakukumbusha tu sisi vijana tusio na ajira itatusaidia sana hii huduma.
  8. J

    Dkt. Ndugulile: Kuanzia sasa ni namba 100 pekee itatumika kwa mawasiliano kati ya Kampuni ya simu na Mteja wake

    Waziri wa Tehama Dkt. Ndugulile amesema kuanzia sasa ni namba 100 pekee itatumika kwa mawasiliano ya kampuni ya simu na mteja wake. Hii ni katika lengo la kuondoa utapeli na wizi na kwa maana hiyo namby za kawaida haziruhusiwi kutumika.
  9. Suley2019

    Dkt. Ndugulile: Sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi inakuja

    Picha: Dkt Faustine Ndungulile Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt Faustine Ndungulile ameeleza azma ya serikali katika kuanzisha Sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi (Personal Data Protection). Dkt. Ndugulile amesema serikali inathamini jambo hili linalozidi kuwa maarufu...
  10. C

    Waziri Ndugulile, kwanini redio Stations za Tanzania zinaishia Magomeni na Kirumba?

    Hivi kwa nini Tanzania tunafeli sana hata kwa vitu vidogo? Waziri wa habari, Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia anajua kuwa asilimia 90 ya Watanzania wanaoishi pembezoni mwa Tanzania(mpakani) wanasikiliza redio za nchi jirani? Kwa mfano sisi tunaoishi mpakani na Kenya redio stations za Kenya...
  11. Red Giant

    Condester Sichalwe anafaa kuwa Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

    Nimesoma CV ya huyu dada nimeona kuwa amewahi kuwa IT consultant wa UN Arusha na Wa AICC. Pia niliona akitoa mchango kuhusu Cryptocurrency na amewahi kuwa koch wa Cryptocurrency. Pia an akili ya kijasiriamali maana amewahi kuwa manger wa forever living products(japo siwakubali FLP). Huyu mtu...
  12. Nyendo

    Tanzania kuanza kutumia 5G. Sheria ya kulinda Taarifa binafsi za Wananchi yaja

    Na Prisca Ulomi, WMTH Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt Faustine Ndugulile amesema kuwa Wizara yake iko mbioni kupeleka Bungeni muswada utakaowezesha kutungwa kwa Sheria ya Kulinda Taarifa Binafsi iili kulinda faragha na taarifa za mwananchi. Dkt. Ndugulile ameyasema hayo...
  13. PendoLyimo

    Waziri wa Mawasiliano, Dkt. Faustine Ndugulile atembelea Maonesho ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu

    DKT. NDUGULILE ATEMBELEA MAONESHO YA MAKISATU. Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Faustine Ndugulile ametembelea mabanda ya wabunifu mbalimbali kwenye Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (MAKISATU) yanayoendelea kufanyika katika viwanja vya Jamhuri jijini...
  14. B

    Wito kwa Dkt. Faustine Ndugulile na Mhandisi Kilaba; Semeni ukweli kuhusu vifurushi

    Hii trend ya hivi sasa ya gharama za vifurushi hatukuiona ikipigiwa kelele awamu iliyopita, lakini ninyi mlikuwa hapohapo kwenye nafasi mlizonazo Sasa. Ukiona kelele zinakuja kwa kiasi hiki ndani ya saa 24 tambua aidha Wapo watu hasa watoa huduma wameamua kwa makusudi kutingisha kiberiti kwa...
  15. Kibosho1

    Chonde chonde Mh. Faustine Ndugulile tunaomba uturudishe Misri tu,sio kwa kipigo hiki kwenye vifurushi

    Kama unafuu tuliotangaziwa ni huu bora niendelee kuibiwa tu. Kabla ya mabadiliko nilikua nanunua kwa halotel tsh.3000 napata GB3, sms 3000 na dk 30 mitandao yote kwa sasa bei mpya ni hizii. Tuliotangaziwa kuwa bei ya gharama za simu zintapungua kwanzia Aprili yan MB 1 utanunu kwa sh 2 kutoka...
  16. J

    Dkt. Faustine Ndugulile afungua Kikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi cha Shirika la Mawasiliano Tanzania

    Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt Faustine Ndugulile afungua kikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi cha Shirika la Mawasiliano Tanzania leo katika ukumbi wa Kambarage, jengo la Shirika la Nyumba la Taifa, jijini Dar es salaam. #Siku100ZaUtekelezaji.
  17. J

    Dkt. Faustine Ndugulile azindua rasmi Kituo cha Huduma kwa Wateja cha TTCL Corporation Kijangwani, Zanzibar

    Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Dkt Faustine Ndugulile azindua rasmi Kituo cha Huduma kwa Wateja cha TTCL Corporation Kijangwani, Zanzibar. Pia katika uzinduzi huo alikuwepo Mkurugenzi Mkuu wa TTCL Corporation ndug. Waziri Kindamba #RudiNyumbaniKumenoga
  18. J

    Siku 100 za kishindo cha wizara ya mawasiliano na teknolojia ya habari chini ya Waziri Dkt Faustine Ndugulile

    Siku100 za KISHINDO kuanzia Tarehe 15 - 30 Machi, 2021 za wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na Taasisi zake chini ya Waziri Dkt. Faustine Ndugulile.
  19. GENTAMYCINE

    Ndugu Faustine Ndugulile tafadhali 'Usitusaliti' na usikubali huo 'Ushawishi' unaopewa ili Namba Tatu agombee

    Hao Watu wawili tena 'Waandamizi' kabisa wanaotumwa Kwako mara kwa mara kuja 'Kukushawishi' kuwa umuachie Namba Tatu 'agombee' hilo Jimbo na kwamba Wewe 'Utateuliwa' ama kuwa Balozi au Mbunge waambie kuwa Kamati ya Roho Mbaya ya CCM Jimbo la Kigamboni 'itashawishi' Wana CCM wote wampigie 'Kura'...
  20. Roving Journalist

    Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile atenguliwa, Godwin Mollel achukua nafasi

    DKT FAUSTINE NDUGULILE ATENGULIWA Rais John Pombe Magufuli amemtengua Dr Faustine Ndugulile Naibu Waziri Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na Mbunge wa Kigamboni. Nafasi hiyo imechukuliwa na Dkt Godwin Mollel, Mbunge wa Siha, aliyeteuliwa Mei 16 kushika nafasi ya Dkt...
Back
Top Bottom