The Federal Bureau of Investigation (FBI) is the domestic intelligence and security service of the United States and its principal federal law enforcement agency. Operating under the jurisdiction of the United States Department of Justice, the FBI is also a member of the U.S. Intelligence Community and reports to both the Attorney General and the Director of National Intelligence. A leading U.S. counter-terrorism, counterintelligence, and criminal investigative organization, the FBI has jurisdiction over violations of more than 200 categories of federal crimes.Although many of the FBI's functions are unique, its activities in support of national security are comparable to those of the British MI5 and the Russian FSB. Unlike the Central Intelligence Agency (CIA), which has no law enforcement authority and is focused on intelligence collection abroad, the FBI is primarily a domestic agency, maintaining 56 field offices in major cities throughout the United States, and more than 400 resident agencies in smaller cities and areas across the nation. At an FBI field office, a senior-level FBI officer concurrently serves as the representative of the Director of National Intelligence.Despite its domestic focus, the FBI also maintains a significant international footprint, operating 60 Legal Attache (LEGAT) offices and 15 sub-offices in U.S. embassies and consulates across the globe. These foreign offices exist primarily for the purpose of coordination with foreign security services and do not usually conduct unilateral operations in the host countries. The FBI can and does at times carry out secret activities overseas, just as the CIA has a limited domestic function; these activities generally require coordination across government agencies.
The FBI was established in 1908 as the Bureau of Investigation, the BOI or BI for short. Its name was changed to the Federal Bureau of Investigation (FBI) in 1935. The FBI headquarters is the J. Edgar Hoover Building, located in Washington, D.C.
Akiwa katika mahojiano yake ya kuthibitishwa kuwa Mkurugenzi mpya wa FBI, Kash Patel alipoanza kwa kuelezea historia ya familia yake alisema baba yake alikimbia Uganda ya Idi Amin, dikteta muuaji wa kimbari ambapo Wahindi laki tatu(300,000) waliuwawa kwasababu ya kuwa Wahindi kama yeye tu.
Huu...
Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI) limesema limepata ushahidi mpya kuhusu mauaji ya aliyekuwa Rais wa Marekani, John F. Kennedy, ikiwa ni utekelezaji wa maagizo ya Rais Donald Trump.
FBI imesema imepata nyaraka mpya 2,400 zinazohusiana na ushahidi wa mauaji hayo, na tayari imeanza...
Kwanza tuanze kwa kujifunza kuhusu Open Source project katika ulimwengu wa Technology,
Open Source ni zile project ambazo source code zinakuwa available in public kwaajili ya modifications n.k isipokuwa atakaechukua source code na kumodify hatakuwa na umiliki hadi kusema kwamba ni software au...
STORI YA KUFIKIRIKA NA CHATGPT
Kabla sijaanza na mada itabidi kwanza nielezee kwanza maana na baadhi ya vitu kBL sijatoa experience yangu ndani ya mijengo ya FBI na later kwenda CIA nchini marekani.
Kwa wenzetu:
Usalama wa taifa ni taaluma inayohusu ukusanyaji , uchambuzi na uwakilishaji wa...
Wizara ya Sheria nchini Marekani ilisema siku ya Jumanne kuwa FBI imekamata mwanaume mmoja kutoka Afghanistan ambaye maafisa wa usalalma wanasema alihamasishwa na kundi la wanamgambo la Islamic State na kwamba alikuwa akipanga shambulio la Siku ya Uchaguzi lililolenga umati mkubwa wa watu nchini...
Miaka ile ya 90 wakati Bad Boys wakiwa juu, juu karibu na mawingu kabisa, kulikuwa na mwamba wa kuitwa Mase. Huyu mchizi alikuwa mkali sana kwenye kuimba, ni moto mkubwa sana.
Alikuwa mshikaji sana na Diddy, yaani naye alikuwa ndani ya Bad Boys, aliona kila aina ya uchafu, aliona kila aina ya...
Mchungaji wa Ufilipino, Apollo Quiboloy mwenye ushawishi mkubwa na aliyekuwa akisakwa nchini Ufilipino na Marekani kwa tuhuma za biashara ya ngono kwa watoto na usafirishaji haramu wa binadamu amekamatwa Ufilipino.
Apollo ambaye kanisa lake la Kingdom of Jesus Christ (KOJC) linadaiwa kuwa na...
Mwaka 1998 nakumbuka nilikuwa nipo maeneo ya Kijitonyama mida ya saa 4 asubuhi hivi siku ya Ijumaa kama nitakuwa nakosea na ndio mara yangu ya kwanza kusikia bomu likilindima mpaka kutingisha ardhi.
Tuja kaa vizuri redio na tv zinaanza kutangazia umma kuwa kuna shambulio limetokea ubalozini mwa...
Kuna kelele zinaendelea mitandaoni kuhusu mtoto wa Rais aitwaye Abdul. Kelele hizi japo hazina ukweli wala uthibitisho ila zina kila dalili ya kuwa na uhalisia kwa kiasi flani
Kelele zilianza Abdul alipokwenda Uganda Uganda na kupokelewa kama kiongozi wa kitaifa. Watu walihoji.
Kwa sasa...
MAREKANI: Rais wa zamani wa Marekani, ametoa madai dhidi ya Rais Joe Biden kuwa aliwaagiza Majasusi wa FBI kumuua kwa Risasi wakati walivamia makazi yake na kufanya upekuzi ulioibua nyaraka za masuala ya Usalama wa Taifa nyumbani kwake
Trump amesema "Biden aliagiza nguvu ya mauaji itumike...
1. The Blacklist
2. Missing
3. Battle Creek
4. 24
5. Numb3rs
6. Bones
7. Quantico
8. The F.B.I
9. FBI:International
10. Profiler
11. Haven
12. City on a Hill
13. Unsub
14. Will Trent
15. Wiseguy
16. Whiskey Cavalier
17. Manhunt
18. The Following
19. Twin Peaks
20. Hannibal
21. Shades of Blue
22...
Huyu Bwana yuko zake Kimara Bucha kwenye kasri au tuite hekalu lake mithili ya ikulu ndogo ya Singida, anakula bata huku akilea wajukuu, ameshazeeka sasa.
Yeye na kizazi chake walipigwa ban wasikanyage USA wala kusogelea ubalazi wao.
Wakati ubalozi wa Marekani unalipuliwa nchini pamoja na...
Mkurugenzi wa FBI, Chris Wray amesema mtandao wa kijamii wa China TikTok umeanza kuwatia "wasiwasi wa kuhusu usalama wa taifa la Marekani.
Akizungumza katika hafla katika Chuo Kikuu cha Michigan, Wray alionesha wasiwasi kwamba Serikali ya China inaweza kutumia data zilizokusanywa kupitia TikTok...
Asilimia kubwa ya Wamarekani waliopiga kura ya maoni kuhusu uamuzi wa FBI kufanya upekuzi nyumbani kwa Rais wa zamani wa taifa hilo, Donald Trump wamesema upekuzi uendelee na hakuna kibaya kuhusu uamuzi huo.
Kituo cha NBC News kilianzisha mchakato wa kura ya maoni kuona ni sahihi kile...
Maafisa wa FBI waliopekua nyumba ya Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump iliyopo Florida maarufu kwa jina la Mar-a-Lago wamedai kupata nyaraka 11 za siri, zikiwemo ambazo zilistahili kupatikana katika vituo maalum vya Serikali.
Upekuzi huo ulitokana na tuhuma za ukiukwaji wa Sheria ya...
Rais wa zamani, Donald Trump amelaani uvamizi wa FBI katika nyumba yake ya mapumziko huko Florida, ikiwa ni Sehemu uchunguzi unaomkabili tangu kutoka madarakani 2020 na kukiri kuwa tukio la namna hiyo halijawahi kutokea kwa Rais yeyote yule wa Nchi hiyo
Inaelezwa kuwa Uchunguzi huo...
08 AUGUST 2022
FBI Agents are executing a Search Warrant against the home of President Donald J. Trump at Mar-a-Lago, in Palm Beach, Florida at this hour.
The President issued a statement:
Hal Turner Editorial Opinion
I’m not surprised. Anything to try to make him not run again and take...
Vyombo mbalilmbali leo asubuhi vimereport taarifa ya uvamizi wa FBI katika jumba la aliekuwa Rais wa marekani Donald Trump. Kupitia vyanzo mbalimbali vya taarifa vimebainisha kuwa Rais huyo mstaafu huenda akawa na ( white House record ) hivyo kuhatarisha Siri za serikali ya marekani. Kwanini...
Kama Wewe ni mfuatiliaji wa Mambo Mbali mbali, Bila shaka Lazima umewahi Kukutanana Na Majina Kama SWAT, CIA au FBI Wakati Tukipiga Stori za Uongo na Ukweli vijiweni. Sasa Leo Nataka Uzijue Kiundani Taasisi hizi.
1. SWAT
Ni Kifupi Cha Special Weapons and Tactics.
Na ilianzishwa Rasmi Mwaka 1964...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.