Kiutani utani hivi hivi nimefanikiwa kupata kazi FBI.
Walinifuata facebook tukajadiliana mambo kadhaa wakaniajiri hapohapo.
Kutokana na vita vinavyoendelea Ukraine wamesema mambo fulani fulani yanasumbua kuhusu usafirishaji so wameniomba dola 100 ili wampe mdau mmoja anakuja huku Tanzania...
Elmer "Geronimo Ji-Jaga" Pratt
Kama ni mfuatiliaji wa muziki wa Tanzania, basi utakuwa unaikumbuka ngoma kali ya Nako2Nako inayoitwa We Ndiyo Mchizi Wangu Remix (2008) iliyowashirikisha marapa kibao kama vile Fid Q, Geez Mabovu, Babuu, Mwana FA, Temba, Mansu Li n.k
Ukiisikiliza vizuri ngoma...
Taarifa za FBI zimeonesha wanaweza kupata taarifa nyingi za watumiaji wa mitandao ya kijamii ya WhatsApp na iMessage ambapo mitandao kama signal na Telegram imeonekana kutotoa taarifa nyingi za watumiaji
Hata ukiwa mtumiaji wa Iphone FBI hupewa taarifa hizo na kampuni muda wowote...
Habari wapendwa?
Mfano, wewe na aliyekuwa mpenzi wako mmeachana, lakini cha ajabu huyo ex wako anakuwekea mashushushu(FBI) wakufuatilie nyendo zako, inakua na maana gani hii wakuu?
After the FBI seized Joseph Ruiz's life savings during a raid on a safe deposit box business in Beverly Hills, the unemployed chef went to court to retrieve his $57,000. A judge ordered the government to tell Ruiz why it was trying to confiscate the money.
It came from drug trafficking, an FBI...
Watu walikuwa smart na wababe, mtu anayeogopwa na Rais na vyombo vyote vya dola huyo sio wa mchezomchezo. Umewahi kuwaza ni namna gani vitengo vya usalama vinamtambua mtu kwa kutumia alama za vidole?, basi haya yote yasingekuwepo bila ya mtu aliyeitwa Edgar Hoover
Edgar Hoover Me napenda...
Shirika la upelelezi la Marekani FBI, limeonya kuhusu uwezekano wa maandaamnao yenye silaha kufanywa kote nchini siku chache kabla ya Joe Biden kuapishwa kuwa rais.
Kuna ripoti ya makundi yaliojihami yanapanga kukusanyika katika mabunge ya majimbo yote 50 na Washington DC kuelekea siku ya...
Kuna kipindi nilisoma mtazamo wa mwenajukwaa huku anaitwa Nyani Ngabu kuhusu kesi ya mwanamuziki Robert Kelly ya unyanyasaji wa kingono, jamaa akasema FBI wakikushitaki uwezekano wa wewe kuchomoka ni chini ya 10% sikuamini saana. Akasema uwezekano wa R. Kelly kuchomoka ni mdogo sana sikutilia...
More than 800,000 people with phone numbers tied to six presidential swing states have been targeted with automated phone calls on Tuesday suggesting they remain at home on Election Day, a tactic that has alarmed voters and has drawn the attention of the FBI, documents and interviews show.
All...
When in November last year, the National Police Service said it had received information from Interpol that some Kenyans were wanted in the US for alleged fraud offences, one of the names released was that of Edwin Sila Nyumu, a man who had been on the run.
Nyumu and his family were behind a...
POLICE VISUAL INFORMATION SPECIALISTS & FORENSIC ART OF FACIAL RECONSTRUCTION: FBI GENIUS wakiokota Fuvu (Mabaki) la marehemu wanaweza kulitumia katika kutengeneza taswira yake halisi.
Forensic Facial Reconstruction ( au Forensic Facial Approximation) ni njia inayotumika katika medani ya...
ACHANA NA BLACK PANTHER WALE PAKA Au movie ya Wakanda
Leo nakupa historia/ machache kuhusu chama cha Black Panthers.... walioishi kwa falsafa za Malcom X na kusambaratishwa kwa Hila za FBI
Kama unaikumbuka historia ya tupac na Mama yake Afeni Shakur
Afeni alikua mwanajumuia wa Black Panther...
Ubaguzi unaendelea pamoja na maandamano kuendelea kurindima pande tofauti tofauti za dunia. Police wa USA wamejikuta kwenye sintofaham baada ya kumkamata FBI bila kujua.
Tazama video hapa chini.
=======
FACT CHECK
The arrested brother has not been confirmed to be an FBI Agent. The video...
Baada ya miezi ya kujaribu kufungua (bila kufuta taarifa) simu mbili aina ya iPhone [ iPhone 5 na iPhone 7 ] zilizokua zikitumiwa na gaidi aitwaye Syed Farook (21),
Hatimaye FBI yafanikiwa kuingia kwenye iPhone iliyokuwa ikitumiwa na Syed Farook aliyehusika na tukio la kuwamiminia risasi na...
Habarini wanajamvi..
Kwa muda mrefu tumekuwa tukiyasikia haya mashirika mawili katika vyombo vya habari na hata kwenye filamu mbalimbali...
Nikiamini kwamba mashirika haya yana lengo kuu la kulinda ulinzi na usalama hasa Wa nchi ya marekani, lakini Mara nyingi nimeona yamekuwa kwa namna moja...
The Federal Bureau of Investigation and Department of State have partnered together to assist Kenya in creating the first Joint Terrorism Task Force (JTTF) to be located outside of the United States. This Kenyan-led JTTF will be a multi-agency counterterrorism investigative force in Nairobi...
Shirika la upelelezi nchini Marekani, FBI liliwakamata raia wawili wa China mwishoni mwa juma kwa kosa la kupiga picha kinyume cha sheria kambi ya Jeshi la majini la Marekani huko Florida.
Hili ni tukio la pili kufichuliwa na mamlaka hiyo, matukio ambayo yamekuwa yakitekelezwa na raia wa China...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.