Pale unapoondoka kwa kiburi, jeuri na nyodo na hata kuwatolea maneno ya jeuri viongozi wa timu.
Nikaona hadi familia yako ikaingilia kati.
Nikaona hadi mamlaka kuu zikakusimamia na kukubeba.
Ogopa mtu mzima uliyemkosea na akakuambia HEWALA WEWE NDIO MKUBWA.
Binafsi ninaamini wewe haukuwa...