Hizi habari kama ni kweli, andaeni mlungula wa kutosha kwa waamuzi na wapinzani wenu.
Pia jiandaeni kuumiza mchezaji mwingine kwa timu zilizo matishio kwenu.
Kumbukeni bila muamala,bila Feitoto, timu yenu ni Kama Ihefu tu
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app