feki

Sosaia Feki (born 9 May 1991), also known by the nickname of "The Factor" is a Tonga international rugby league footballer who plays on the wing for the Castleford Tigers in the Super League.
He played for the Cronulla-Sutherland Sharks in the NRL, and was part of the Cronulla team that won their maiden premiership title in the 2016 season.

View More On Wikipedia.org
  1. Analogia Malenga

    #COVID19 UN: Taarifa feki kuhusu chanjo zinazidisha muda ambao ungetumika kudhibiti maambukizi

    Umoja wa Mataifa(UN) umesema taarifa zisizo sahihi kuhusu chanjo ya #COVID19 kunarefusha muda ambao ungetumika kudhibiti maambukizi ya Corona. UN wametoa wito kwa raia kuhakiki taarifa kabla ya kusambaza taarifa hizo kwa wengine ambazo zinaathiri mapambano dhidi ya Corona. Wamesema taarifa za...
  2. Acehood

    Baada ya joto kuua zaidi ya watu 500 Canada, Dubai yatengeneza mvua feki kukabiliana na joto

    Dubai inapitia kipindi kigumu cha hali mbaya joto kali. Eneo hilo ndani ya Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) lina joto kali linalovuka mpaka nyuzijoto 50 na kuhatarisha maisha ya watu zaidi ya milioni 3 wanaoishi katika mji huo. Hivi karibuni nchini Canada zaidi ya watu 500 waliripotiwa...
  3. Research Solutions TZ

    Vyeti feki na watumishi hewa ilikuwa changa la macho

    Sakata la vyeti feki na wafanyakazi hewa ni moja kati ya suala ambalo lilishika sana vyombo vya habari mwanzoni mwa mwaka 2017. Katika makala haya naangalia kama yalileta matokeo chanya kwa kudhibiti mishahara kwa wasio stahili na mishahara hewa Mwaka 2019 waziri Mkuchika alisema Serikali ya...
  4. sky soldier

    Kigezo kinachotumika kuaminisha Rolls Royce ya diamond ni feki ni ushamba wa magari

    Baada ya kelele nyingi mitandaoni zinazodai chuma kipya cha Daiaond ni feki, nikaamua kuingia mtandaoniili ili nicheki facts maana watalamu wanasema "No research, no data, no right to speak",,,,bila uchunguzi usio na taarifa huna haja ya kufungua mdomo. Muda sio mrefu nimeingia kwenye account...
  5. Sam Gidori

    #COVID19 Watu 800 wachomwa chanjo feki ya Corona

    Polisi nchini Uganda inawashikilia wahudumu wawili wa afya kwa madai ya kuhusika kuwachoma takriban watu 800 chanjo feki za corona mwezi uliopita. Mtu mmoja, ambaye ni daktari, anatafutwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika kuwachoma watu hao chanjo katika mji wa Kampala kati ya Mei 15 na Juni 17...
Back
Top Bottom