figo

Luís Filipe Madeira Caeiro Figo OIH (Portuguese pronunciation: [luˈiʃ ˈfiɣu]; born 4 November 1972) is a Portuguese retired professional footballer who played as a midfielder for Sporting CP, Barcelona, Real Madrid and Inter Milan before retiring on 31 May 2009. He won 127 caps for the Portugal national team, a record at the time but later broken by Cristiano Ronaldo.
Renowned for his creativity and ability to get past defenders as a winger, Figo is regarded as one of the greatest players of his generation. His 106 assists are the second-most in La Liga history, behind Lionel Messi. He won the 2000 Ballon d'Or, 2001 FIFA World Player of the Year, and in 2004 Pelé named him in the FIFA 100 list of the world's greatest living players. Figo is one of the few football players to have played for both Spanish rival clubs Barcelona and Real Madrid. His controversial transfer in 2000 from Barcelona to bitter rivals Real Madrid set a world record fee of €62 million.Figo had a successful career highlighted by several trophy wins, including the Portuguese Cup, four La Liga titles, two Spanish Cups, three Spanish Super Cups, one UEFA Champions League title, one UEFA Cup Winners' Cup, two UEFA Super Cups, one Intercontinental Cup, four Serie A titles, one Italian Cup and three Italian Super Cups. On the international level, he scored 32 goals for Portugal, representing the nation at three European Championships and two World Cups, helping them reach the final but finish as runners-up at Euro 2004.

View More On Wikipedia.org
  1. W

    Fahamu namna ya kulinda Figo zako

    Utangulizi: Katika nakala hii, tutachunguza umuhimu wa afya ya figo na jinsi tabia fulani zinaweza kuleta tishio kwa figo zetu. Kwa kuelewa hatari zinazowezekana na kufuata tabia nzuri, tunaweza kuhakikisha utendakazi mzuri wa figo zetu na kudumisha ustawi wa jumla. UMUHIMU WA FIGO Figo ni...
  2. Madaktari Wazawa waendelea kupandikiza figo Hospitali ya Muhimbili, njia ya matundu madogo kutumika

    Madaktari wazawa Hospitali ya Taifa Muhimbili wanaendelea kufanya upasuaji wa kupandikiza figo ambapo wagonjwa 12 kuanzia leo watapata huduma hiyo sita kati yao watafanyiwa Upanga kwa njia ya kawaida na sita watafanyiwa wiki ijayo huko Mloganzila kupitia mfumo wa matundu madogo. Akizungumza na...
  3. Figo ya nguruwe yaonesha ufanisi katika mwili wa Binadamu

    Figo ya nguruwe ambayo ilipandikizwa katika mwili wa Binadamu kwa zaidi ya mwezi mmoja, imefanya kazi kwa ufanisi ikiwa ni hatua ambayo Madaktari wa upasuaji wana matumaini makubwa kwamba siku moja wataweza kutumia aina hii ya upasuaji kuokoa maisha ya Binadamu ambao ni Wagonjwa. Upasuaji huo...
  4. Hizi ni sababu za figo kushindwa kufanya kazi (kufeli)

    Wadau tupate dondoo za Afya kidogo ili kuimarisha afya zetu na kuepukana na matatizo ya kiafya. Sababu za figo kufeli ni zile zile ambazo zinaongelewa kila siku 1. Kula chumvi kupita kiasi 2. Kula nyama kupita kiasi, Maana protini ikizidi sana katika mlo wako inadhuru figo zako. Mmeng'enyo wa...
  5. R

    Lema: Unapokuwa na viongozi mawazo yao ni uchaguzi na sio kizazi kinachokuja figo zenu zitasainiwa kuuzwa China

    Lema ameyasema hayo katika Mkutano wa kupinga Mkataba wa Bandari unaofanyika leo tar 23/7/2023 Temeke, ambapo amesema, Waarabu wanaangalia miaka 100 - 200 mbele wajukuu zao wataishije wabunge wenu wanaangalia 2025 watapata wapi pesa ya uchaguzi. Huku akiendelea kuwa, Unapokuwa na viongozi...
  6. Utafiti: Katika Wanaume watano, mmoja ana Shinikizo la Juu la Damu

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewataka wananchi kuzingatia ushauri wa afya unaotolewa na wataalamu ikiwemo kula kadri inavyoshauriwa na wataalamu ili kujiepusha na magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo magonjwa ya Figo. Chalamila ameyasema hayo leo wakati wa kuhitimishwa kwa mbio...
  7. Muhimbili na Mloganzila kufikisha Wagonjwa 81 waliopandikizwa Figo nchini

    Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), inatarajia kufanya upandikizaji figo kwa wagonjwa sita ifikapo Julai. Hayo yamesemwa leo Ijumaa Juni 30, 2023 na Mkuu wa Kitengo cha Figo Muhimbili, Dk Jonathan Mngumi alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari hospitalini hapo. Hadi sasa, wameshapandikiza...
  8. W

    Msaada: Maisha ya Mgonjwa wa Figo anayefanya dialysis

    Je, mgonjwa wa figo ambaye zimesha haribika na yuko kwenye dialysis huwa maisha yake yakoje? haswa mgonjwa aliye kijana na mwanaume. Je, huwa anaweza ishi maisha ya kawaida, yani kufanya mazoezi kwenda gym, kujenga misuli? Je, kwenye msuala ya sex anakuwaje, anauwezo ule ule au unapungua?
  9. Juice ya Beetroot inasababisha mawe kwenye figo?

    habari wapendwa, Je, ni kweli fresh juice ya Beetroot inasababisha mawe kwenye figo?
  10. Serikali Kupunguza Gharama za Kusafisha Figo Kutoka 350,000 hadi Kati ya 90,000-150,000

    Serikali imedhamiria kupunguza gharama za kusafisha figo kutoka Shilingi 350,000 mpaka Shilingi 90,000 hadi 150,000 kwa lengo la kuwapunguzia wananchi mzigo wa gharama za matibabu hasa kwa wenye vipato vya chini. Taarifa hizo zimetolewa leo bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Wizara ya...
  11. Utafiti: Madhara ya Upweke ni sawa na Kuvuta Sigara 15 kwa siku

    Utafiti uliofanywa na Ofisi ya Mkuu wa Upasuaji kutoka Idara ya Afya na Huduma za Binadamu ya Marekani umeonesha kuwa watu wanaoshi kwa Kujitenga au kukaa kwa Upweke unaotakana na kukosa Furaha wako hatarini kufikia uamuzi wa kujiua kwa 29%. Imeelezwa kuwa kutojichanganya na watu wengine katika...
  12. Kitenge, Hando na Zembwela ni kama Zidane, Luis Figo na Ronaldo de Lima. Hakuna wa kuwagusa!

    Wafatiliaji wa soka wanafahamu ule utatu ambao haujawai tokea mpaka leo pale Galacticos mpaka leo. Ilikuwa huku Ronaldo de Lima, kule kuna Luis Figo alafu kuna kipara mwenyewe Zinadine Zidane. Ilikuwa ni kama climax ya soka hapa ulimwenguni. Ilikuwa huwezi muona Beckham wala Roberto Carlos. Real...
  13. Hospitali ya Taifa Muhimbili-Lloganzila kuanza kupandikiza figo

    Baada ya uwekezaji na uwezeshaji mkubwa kutoka Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila inatarajiwa kuingia katika historia tarehe 13/04/2023 kwa kuwa miongoni mwa Hospitali zinazotoa huduma ya kupandikiza Figo hapa nchini Tanzania...
  14. Kwanini biashara ya Figo inapigwa vita wakati wahitaji wa Figo ni wengi? Figo sio damu watu hawawezi kujitolea bure

    Hali yetu ya uchumi ni mbaya na ndio maana watu wetu wako tayari kufanyiwa lolote ili TU labda wajisogeze kidogo. Hata kama ni kwa kuhatarisha maisha Yao !! Kwanini wasiruhusiwe iwe na utaratibu maalumu namna na jinsi ya kujitolea. Figo ni kiungo ambacho wagonjwa wengi wanateseka kama Kuna...
  15. Vijana wengine waibukia hospitalini Dodoma kutaka kuuza figo

    Siku chache baada ya uongozi wa Hospitali ya Bugando Mwanza kuelezea kadhia wanayoipata kutokana na vijana kuulizia iwapo wananunua figo, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Benjamin Mkapa Dk Alphonce Chandika naye leo Jumatatu Machi 13, 203 ameeleza kuwepo na wimbi la vijana...
  16. Habari ya ITV usiku huu kuhusu uchangiaji wa Figo haipo sahihi, itaogopesha wachangiaji

    Upandikizaji wa figo (renal transplant) sasa hivi unafanyika hapa hapa nchini kwetu. Na tuko mbioni pia kuanza upandikizaji wa maini (liver transplant). Huko nyuma tulilazimika kuwapeleka wagonjwa wanaohitaji huduma hii nje ya nchi, hasa India kwa gharama kubwa ya fedha za nje za USA dollars...
  17. Siku ya Figo Duniani: 7% ya Watanzania wanaathiriwa na Ugonjwa wa Figo

    Kwa mujibu wa Wizara ya Afya, 7% ya Watanzania wanaathiriwa na Ugonjwa wa Figo na idadi ya Wagonjwa inaongezeka Inashauriwa kuzingatia Lishe Bora, kula Matunda/Mbogamboga, kupunguza kiasi cha Chumvi pamoja na Matumizi ya Pombe na Tumbaku Mtindo wa Maisha na Vyakula tunavyokula vinaweza...
  18. Watalii wenye Figo 1 waanza kupanda mlima Kilimanjaro

    Watu 31 ambao wanaishi na figo moja, wameanza safari ya kuupanda mlima Kilimanjaro, lengo likiwa ni kuihamasisha jamii kujitolea kuchangia kiungo hicho kwa ndugu jamaa na marafiki wenye uhitaji. Maadhimisho ya siku ya figo duniani, huadhimishwa Machi 9 ya kila mwaka, kwa lengo la kuhamasisha...
  19. KWELI Madafu Sio Salama kwa watu wenye ugonjwa wa Figo

    Maji ya nazi (Madafu) ni kinywaji maarufu sana mtaani. Ni maji hanayopatikana kwenye nazi changa (Cocos nucifera) ambayo hubadilika kuwa tui baada ya kukomaa kwa nazi. Kumekuwepo na madai kuwa maji haya sio salama kwa watu wenye Ugonjwa wa figo. Kwa kuongezea, mdau wa JamiiForums amesema kuwa...
  20. Askofu aiomba Serikali ipunguze gharama matibabu ya Figo

    Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Geita, Flavian Kasala amesema gharama kubwa ya matibabu kwa wagonjwa wa figo imesababisha baadhi ya wagonjwa wanaotibiwa hospitalini kusitisha huduma kwa kushindwa kumudu gharama hivyo kupelekea vifo vya haraka ambavyo vingeweza kuzuilika. Kutokana na hali...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…