figo

Luís Filipe Madeira Caeiro Figo OIH (Portuguese pronunciation: [luˈiʃ ˈfiɣu]; born 4 November 1972) is a Portuguese retired professional footballer who played as a midfielder for Sporting CP, Barcelona, Real Madrid and Inter Milan before retiring on 31 May 2009. He won 127 caps for the Portugal national team, a record at the time but later broken by Cristiano Ronaldo.
Renowned for his creativity and ability to get past defenders as a winger, Figo is regarded as one of the greatest players of his generation. His 106 assists are the second-most in La Liga history, behind Lionel Messi. He won the 2000 Ballon d'Or, 2001 FIFA World Player of the Year, and in 2004 Pelé named him in the FIFA 100 list of the world's greatest living players. Figo is one of the few football players to have played for both Spanish rival clubs Barcelona and Real Madrid. His controversial transfer in 2000 from Barcelona to bitter rivals Real Madrid set a world record fee of €62 million.Figo had a successful career highlighted by several trophy wins, including the Portuguese Cup, four La Liga titles, two Spanish Cups, three Spanish Super Cups, one UEFA Champions League title, one UEFA Cup Winners' Cup, two UEFA Super Cups, one Intercontinental Cup, four Serie A titles, one Italian Cup and three Italian Super Cups. On the international level, he scored 32 goals for Portugal, representing the nation at three European Championships and two World Cups, helping them reach the final but finish as runners-up at Euro 2004.

View More On Wikipedia.org
  1. Yanga haina hela ya kumsajili Luis,labda wauze figo za viongozi

    Yanga wamezoea kuishi kwa propaganda kudanganya mashabiki. Kibaya zaidi nao hawana hata akili ya kushtuka. Walidanganywa sana kuhusu Chama, wakadanganywa kuhusu ubingwa VPL na FA. Leo hii bado wananogewa kudanganywa. Japo Simba haijaweka wazi, lakini ni kwamba, Miquissone ameuzwa kwa Al Ahly...
  2. Msaada: Nawezaje kuchunguzwa kansa na magonjwa ya figo?

    Kwa mfano Kama Nilikuwa mlevi sana wa pombe kali na mvuta sigara kwa zaidi ya miaka 20 Sasa nikataka kujua hali yangu ya organ za ndani zipoje; yaani nijue kama kuna dalili za kansa ya mapafu,ini na Koo na pia nifanye kipimo Cha magonjwa ya Figo. Je, hiyo check-up ya mwili hufanywa kwa vipimo...
  3. Naomba ufafanuzi wa tatizo la figo

    Ni mateso makubwa sana inapokukuta hii msaada wa anayejua nini cha kufanya au kunywa kulinda figo zisifeli
  4. Mungu alivyomjibu mtesi wa Oliver N'Goma, dikteka Omary Bongo

    Mwaka 2008 nguli wa Zouk barani Afrika, Oliver Ngoma aliugua figo na alihitaji matibabu nje ya nchi. Lakini aliwekewa zuio la kusafiri nje. Serikali ya Rais Omary Bongo ilimtuhumu Oliver kwamba anaandaliwa na mataifa ya Ulaya kuwa Rais wa Gabon. Japo Oliver alikanusha madai hayo lakini...
  5. J

    Jinsi ya kuzuia figo zako kuwa na mawe

    Kunywa maji mengi ni jambo muhimu sana katika kuzuia mawe kwenye figo. Kunywa kati ya glasi 12-14 (zaidi ya lita tatu) kila siku Usile chumvi nyingi, chumvi nyingi katika chakula inaweza kufanya kalsiumu zaidi itoke mwilini kwa njia ya mkojo na hivyo kuongeza hatari ya mawe kutokea Punguza...
  6. J

    Dalili za ugonjwa wa figo kwa mtu kwenye shinikizo la damu

    Iwapo shinikizo la damu liko juu sana(zaidi ya 200/120mm /Hg) Shinikizo la damu la juu sana hata baada ya matibabu kuzingatiwa Kushindwa kuona kwa sababu ya shinikizo la damu Kuwepo kwa protini kwenye mkojo Mgonjwa wa shinikizo la damu kuonesha dalili kama vile kuvimba, kukosa hamu ya...
  7. Tanzania inakadiriwa kuwa na wagonjwa sugu wa figo kati ya 4,800 hadi 5,200 ambao wanahitaji huduma ya kusafisha damu au kupandikizwa figo

    Serikali imelenga kuziwezesha Hospitali zote za Rufaa za Mikoa (26) nchini ili kuweza kuanzisha huduma za matibabu ya ugonjwa sugu wa figo ikiwemo usafishaji damu ifikapo mwaka 2025. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Dorothy Gwajima...
  8. Wizara yatahadharisha ongezeko Wagonjwa wa Figo

    Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imesema tatizo la ugonjwa wa figo nchini linaongezeka na takwimu zinaonesha Tanzania ina wagonjwa 600,000. Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Figo, Dk Linda Ezekiel, aliyasema jana wakati akizungumza na HabariLEO kuhusu maadhimisho ya wiki...
  9. Matatizo yanayo husiana na maradhi ya figo na ufumbuzi wake

    Ugonjwa wa figo Figo ni ogani inayoshirikiana na moyo. Kuathirika kwake kuna athari kubwa kwa mfumo wa damu na mapigo ya moyo. Magonjwa sugu ya figo hutokea pale ogani hiyo inapopoteza uwezo wa kutenda kazi zake kikamilifu. Tatizo huanza taratibu na kudumu kwa muda mrefu hadi kuonyesha dalili...
  10. Adai figo yake baada ya "kumwagwa" na My Wife Wake

    Kama kuna watu ni kauzu basi huyu nimemkubali! Baada ya kuachana na mke wake kwa talaka hii Njemba imedai kuwa irejeshewe Figo ambayo aliitoa akawekewa aliyekua mke wake huyu. Anasema jamaa anayemchukua basi yeye ndio ataoe figo....no free lunch!
  11. R

    Matatizo ya choo kidogo na vijiwe katika figo

    MATATIZO YA CHOO KIDOGO NA VIJIWE KATIKA FIGO Figo ni kiungo muhimu katika uchujaji wa Damu na kuondoa sumu na uchafu mwingine na kuutoa nje kupitia mkojo. Kiungo hiki kinakabiliwa na hatari nyingi kama hakitatunzwa vyema. Miongoni mwa athari hizo ni vijiwe vya kwenye figo. Endapo hivi vitatokea...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…