Nauliza tu kama mtu akitaka kusoma file la matibabu ya Hayati JP Magufuli anaweza kupewa.
lengo ni kufanya utafiti wa sababu ya vifo vya marais wa Tanzania and draw conclusion
Research question: Could this death be prevented?
Remember: Prevention is better than treatment!!
Kama ulimwengu ukibadilishwa na kuwa quantified kama computer data, je, ni taarifa kiasi gani zingehitajika kutengeneza programme ya kugenerate ulimwengu, in terms of GB?
Habari za muda jamani,
Samahani kwa usumbufu. kuna email imeingia kwenye simu yangu, ni mtu amenitumia file limeandikwa contact.vcf, nimejaribu kulifungua hilo file naambiwa finished importing vCard contact .vcf.
Sasa je hili file lina kazi gani?
Ni nani anahusika na kutuma mafile haya? Maana...
Don't worry, you can return all your files!
All your files like pictures, databases, documents and other important are encrypted with strongest encryption and unique key.
The only method of recovering files is to purchase decrypt tool and unique key for you.
This software will decrypt all your...
Kila siku nasema yanga inaonewa sana kwa kweli, imagine mshambuliaji hatari aliyemzidi hata Mohamed Salah kwa magoals kwenye kwalifikesheni za afcon anaonekana kituko Bongo.
Kumbuka mtambo huo wa magoli toka burundi uliposhuka Bongo ulipewa file la wawa na onyango ila habari za uhakika zinasema...
Habar wadau!!!
Naomben mnisaidie hii issue nimekaa chin nimefikiria nikaona hii mbinu yaweza juna bora zaid ili kumanage mafile ktk pc sasa shida ni kuimplement .
Shida yangu ni moja tu nataka niweke setting ambazo zitarestrict mafile yenye extension fulan yasiweze kusaviwa kwenye folder...
Wanangu kuna mchongo nimepewa wa kihasibu ila sasa mie sijui chochote kuhusu Tally, Entry ni chache about 15-17 kila mwaka.
Kampuni ni ya supplies kwenye maofisi hasa mahospitali. Wana supply materials zaidi through local purchase na imports. Sasa inatakiwa kufile hesabu za miaka miwili 2019 na...
Wakulungwa habari ya muda huu, simu yangu kila nikifuta kitu inaleta disappearing notification "item moved to trash", awali nilidhani mizigo ndio inakuwa deleted for good sasa leo nadelete baadhi ya items inasema "trash full.
If you delete these items you delete them permanently" hapo ndo...
FACT :D:D
Je, wajua beki wa Yanga SC. Lamine Moro ana magoli mengi (3) kuzidi jumla ya magoli ya Bwalya, Mkude, Ajibu, Morrison, Kahata, Ilanfya?
FACT :D:D
Je, wajua Bernard Morrison tangu ajiunge na simba hajawahi maliza dakika tisini VPL?
FACT :D:D
Je, wajua bei ya jezi moja ya Yanga sh...
1.washa simu kisha washa data.
2.Bonyeza settings.
3.Bonyeza apps.
4.kisha zitakuja app nyingi ulizodownload,sasa anza na zile zenye mb nyingi kama WhatsApp, unaibonyeza
5.Bonyeza storage.
6.Bonyeza clear data.kisha sema OK.
Halafu back unaingia app nyingine,ukifanya app tano nafasi utapata ya...
File la kesi baada ya kukamilika kwa upelelezi huchukua muda gani kufanyiwa kazi linapofika katika ofisi za DPP (Sasa ziko Dodoma). Maana upelelezi unachukua mwaka mmoja vipi huko mbele je!
Ningependa kufahamu kwa watu mliokaribu na ofisi husika au wajuzi wa fani hiyo.
Asante
Habari wakuu,
Naomba msaada kujua jinsi ninavyoweza kupata file lenye orodha ya cache zote za browser ya chrome tangu nilipoanza kutumia hii browser.
Nimejaribu about//:cache lakini inaonekana function hii iliondolewa.
Kuna njia nyingine au third-party software ya bure? Na pili je kama...
Kuna video/clip ikimuonyesha kiongozi mmoja mkubwa akidai kuwa ana file Mirembe na kuonya anaowaongoza wasimcheze bila shaka akimanisha yeye mgonjwa wa akili hivyo anaweza fanya lolote(sijui kama alikuwa anatania ila kaonekana kuongea serious).
Lakini pia tukumbuke ni mtu huyu huyu aliwahi...
Kaandika hivi kupitia mtandao wa twitter:
Spika jana ametishia kwamba eti ana faili la mambo yangu mengi, hawezi kunifunga mdomo nisifanye kazi yangu ya Kibunge. Kama ni faili hata mimi ninalo lake akimsema vibaya Mkuu na nikifunguka hata huko kujipendekeza kwake hataaminika tena. Niguse ninuke!
Natumai mko vyema wanatech na mnaendelea kuchukua hatua stahiki kujikinga na COVID-19.
Iko hivi, kuna file mara nyingi nalikuta kwenye storage ya simu yangu chini kabisa, huwa linakuwa na mb mpaka 300+.
Kila nikilifuta baada ya siku kadhaa nalikuta tena. File lenyewe linaandikwa...
kwa wale watumiaji wa computer ikitokea umefuta kitu kwa bahati mbaya iwe kwenye simu memory card au flash je kuna uwezekano wa kuviludisha vitu ulivyo vifuta.
jibu ni ndio inawezekana hapo unahitaji kua na proglamu moja inaitwa RECUVA kwa bahati mzuri hiyo prog ni bure kabisa kwa matumizi ya...
Wasalaam,
Nimepata changamoto kuna laptop imekuwa ikitumika, lakini changamoto nimeikuta ni kuwa nikijaribu kuprint document iliyo kwenye PDF &Excel inashindwa kusoma printer zilizopo.
Nimejaribu kuprint kwa Word document yenyewe haina tatizo. Je, kuna shida ipi inayopelekea PDF na Excel file...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.