finland

Finland (Finnish: Suomi [ˈsuo̯mi] (listen); Swedish: Finland [ˈfɪnland] (listen), Finland Swedish: [ˈfinlɑnd]), officially the Republic of Finland (Finnish: Suomen tasavalta, Swedish: Republiken Finland (listen to all)), is a Nordic country in Northern Europe bordering the Baltic Sea, Gulf of Bothnia, and Gulf of Finland, between Sweden to the west, Russia to the east, Estonia to the south, and north-eastern Norway to the north. The capital and largest city is Helsinki. Other major cities are Espoo, Tampere, Vantaa, Oulu, Turku, Jyväskylä, Lahti and Kuopio.
Finland's population is 5.52 million as of July 2019, the majority of whom live in the central and south of the country and speak Finnish, a Finnic language from the Uralic language family, unrelated to the Scandinavian languages. Finland is the eighth-largest country in Europe and the most sparsely populated country in the European Union. It is a parliamentary republic of 310 municipalities, and includes an autonomous region, the Åland Islands. Over 1.4 million people live in the Greater Helsinki metropolitan area, which produces one third of the country's GDP. Swedish is the second official language of Finland, which is mainly spoken in certain coastal areas and on Åland. A large majority of Finns are members of the Evangelical Lutheran Church.Finland was inhabited when the last ice age ended, approximately 9000 BC. Comb Ceramic culture introduced pottery 5200 BC and Corded Ware culture coincided with the start of agriculture between 3000 and 2500 BC. The Bronze Age and Iron Age were characterised by extensive contacts with other cultures in the Fennoscandian and Baltic regions. At the time Finland had three main cultural areas – Southwest Finland, Tavastia and Karelia. From the late 13th century, Finland gradually became an integral part of Sweden through the Northern Crusades and the Swedish part-colonisation of coastal Finland, a legacy reflected in the prevalence of the Swedish language and its official status.
In 1809, Finland was incorporated into the Russian Empire as the autonomous Grand Duchy of Finland. In 1906, Finland became the first European state to grant all adult citizens the right to vote, and the first in the world to give all adult citizens the right to run for public office. Following the 1917 Russian Revolution, Finland declared itself independent. In 1918, the fledgling state was divided by civil war, with the Bolshevik-leaning Red Guard, supported by Soviet Russia, fighting the White Guard, supported by the German Empire. After a brief attempt to establish a kingdom, the country became a republic. In World War II, Finland lost parts of Karelia, Salla, Kuusamo and Petsamo to the Soviet Union.
Finland remained largely an agrarian country until the 1950s. After World War II, the war reparations demanded by the Soviet Union forced Finland to industrialise. The country rapidly developed an advanced economy while building an extensive welfare state based on the Nordic model, resulting in widespread prosperity and a high per capita income. Finland is a top performer in numerous metrics of national performance, including education, economic competitiveness, civil liberties, quality of life, and human development. In 2015, Finland was ranked first in the World Human Capital and the Press Freedom Index and as the most stable country in the world during 2011–2016 in the Fragile States Index, and second in the Global Gender Gap Report. It also ranked first on the World Happiness Report report for 2018 and 2019.Finland joined the United Nations in 1955 and adopted an official policy of neutrality. The Finno-Soviet Treaty of 1948 gave the Soviet Union some leverage in Finnish domestic politics during the Cold War. Finland joined the OECD in 1969, the NATO Partnership for Peace in 1994, the European Union in 1995, the Euro-Atlantic Partnership Council in 1997, and the Eurozone at its inception in 1999.

View More On Wikipedia.org
  1. Sexer

    Biden asaini Finland na Sweden kujiunga NATO, Putin aendelee kupuuzwa

    Marekani imekuwa mwanachama wa 23 wa NATO kukubali ombi la Sweden na Finland kujiunga na muungano. Licha ya vitisho kutoka Russia Finland na Sweden zimeendelea na mchakato wa kujiunga na NATO huku wakipuuza mkwala mbuzi kutoka Moscow.
  2. simplemind

    Waziri Mkuu wa Finland kwenye tamasha la muziki

    Waziri mkuu wa Finland amehudhuria tamasha la muziki Ruisrock hivi leo. Anapendeza bwana. NATO oyee!
  3. Gama

    Matatizo ni mtaji: Finland imegundua njia mbadala ya nishati

    Ama kwa hakika matatizo ni mtaji. Finland nchi ambayo imepakana na urusi na ambayo imekuwa ikipata nishati hasa ya gas kutoka Urusi na mabayo Urusi imeikatia huduma hiyo imegundua aina mpya ya nishati ambayo inaweza kuzalishwa na kuhifadhiwa kwa mda mrefu. Nishati hiyo ni betri maaluma ambazo...
  4. beth

    Putin: Urusi itajibu miundombinu ya NATO ikipelekwa Finland na Sweden

    Rais Vladimir Putin amesema Urusi itajibu ikiwa NATO itapeleka Vikosi na Miundombinu katika Mataifa ya Sweden na Finland baada ya kujiunga na Muungano huo Ameeleza, Nchi yake haina shida kama Sweden na Finland zinataka kujiunga NATO, Mataifa hayo lazima yaelewe kwamba hakukuwa na tishio awali...
  5. Gama

    Erdogan aweka masharti kwa Finland na Sweden kujiunga na NATO

    Sharti kuu alilpweka ni kwa nchi hizi mbili kuungana na Turkey katika kupambana na ugaidi. Mathalani, Erdogani anasema kuwa Sweden inahifadhi wapaiganaji wengi wa ki Kurdi pamoja na wafuasi wa Fethullah Gulen, ambaye anatuhumiwa kufanya jaribio la kuipunduka serikali ya Instanbul FUATILIA...
  6. MakinikiA

    Finland tayari wamekatiwa gesi na umeme na Russia

    Kwa kitendo Chao cha kupeleka maombi kutaka kujiunga na nato ,mzee Putin amefunga koki za kupeleka gesi na tayari amewakatia umeme Sasa ngoma inogire raia wa finland
  7. Webabu

    Wananchi Sweden na Finland hawataki kuwa NATO

    Mapema mno wananchi waliohojiwa kweny mitaa ya miji mikuu ya nchi hizo mbili wamebainisha kuwa uamuzi wa kuomba uanachama wa NATO uliofanywa hapo juzi na viongozi wao si sehemu ya matakwa ya raia wa nchi hizo. Wamesema kuomba huko na iwapo hatimae watakuwa wanachama wa umoja huo utaondosha...
  8. Narumu kwetu

    Tunataka tuone Russia akimpiga Finland na Sweden

    Zaidi ya mara moja Russia imekua ikitoa vitisho kwamba ,endapo Finland na Sweden wakijaribu kuchukua hatua za kujiunga na NATO atatembeza dozi,cha ajabu jamaa wameshaanza process za awali kabisa ambapo mchakato huu huchukua mwaka mzima kumalizika. Tumeshuhudia England ikiwekeana mkataba wa...
  9. MK254

    Hivi Urusi husubiri nini kuivamia jirani Finland ukizingatia kachokozwa na kuchokonolewa kwenye mapua na masikio

    Finland na Urusi wanachangia mpaka wenye urefu zaidi ya kilomita 1,300km Urusi amejiingiza kwenye vita dhidi ya Ukraine akiwa na nia ya kuonyesha makucha yake kwa majirani wote, na kuwaonya wasijiunge NATO na wala wasimsaidie Ukraine, ila huyo Finland amekua akikiuka hiyo amri kwa kumsaidia...
  10. JanguKamaJangu

    Urusi yatishia kutumia silaha za nyuklia ikiwa Sweden, Finland zitajiunga NATO

    Mmoja wa washirika wa karibu wa Rais wa Russia, Vladimir Putin Alhamisi ameionya NATO kwamba ikiwa Sweden na Finland zitajiunga na ushirika wa kijeshi unaongozwa na Marekani, basi Russia itapeleka silaha za nyuklia na makombora ya masafa marefu katika eneo la Ulaya. Finland ambayo inashirikiana...
  11. K

    Nchi ya Finland yaanza maandalizi ya vita

    Nchi ya Finland inayoshare mpaka wa ardhini na nchi ya Urusi imeanza maandalizi ya vita kwa kile kinachoonekana mpaka sasa kama wasiwasi wa kutokea uvamizi muda wowote kutoka kwa mbabe wa mchongo(mrusi) mpaka sasa zaidi ya vijana elfu 55 wazalendo wa Finland wamekwishajiunga na mafunzo ya hiari...
  12. John Haramba

    Urusi yazipa onyo Finland na Sweden mpango wao wa kujiunga na NATO

    Urusi imetoa onyo kwa Finland na Sweden kuhusu mpango wao wa kujiunga na Nato, wakiamini kuwa mpango huo hakuwezi kuleta utulivu Ulaya. Msemaji wa Kremlin, Dmitry Peskov amesema muungano huo unabaki kuwa kama 'chombo kinacholenga makabiliano'. Marekani inaamini nchi hizo zinaweza kuomba...
  13. britanicca

    Putin anatakiwa kukutana na nchi kama Finland ambayo sasa naona ameanza kuichokonoa, atashangaa NATO ipo Moscow

    Russia anatakiwa kukutana na wendawazimu kama Finland, hao ndiyo hata yeye Russia anawagwaya. Mwaka 1939 aliivamia Finland ili kuitanua himaya yake ya Soviet, pamoja na uhodari wa Jeshi lake na vifaa vyake vya kivita Russia aliishia kupata hasara kubwa sana kwenye ile winter war, zaidi akaishia...
  14. beth

    Finland kujadili uwezekano wa kujiunga NATO

    Vyama vya Kisiasa vinatarajiwa kukutana ili kujadili shambulio la Urusi dhidi ya Ukraine, ikielezwa uvamizi wa Urusi umesukuma Umma karibu zaidi na NATO. Uwezekano wa Taifa hilo kujiunga na NATO pia utajadiliwa. Waziri Mkuu wa Nchi hiyo, Sanna Marin amesema ni jambo la kueleweka kuona Raia...
  15. Baba jayaron

    Ajira za Mashambani Finland ( Scandinavia countries)

    Buheri Wadau, Madayaspora mlio ng'ambo hasa nchi za Scandinavia au mnaofahamu na kujihusisha na kuonganisha wafanyakazi nje kwa mikataba mifupi, Naomba kuonganishwa na agency wanaofanya recruitment ya wafanyakazi Mashambani ( kuvuna na kupanda strawberries, cabbage n.k). Ninashukuru kwa...
  16. Ileje

    Chonde Chonde wafuatao ni Finland, Norway na Sweden

    Taa ya tahadhari umekwisha washwa na Denmark kwa kuondoka nchini. Huu ni uamuzi mgumu sana kwa nchi ambayo imetufadhili tangu uhuru. Miradi mingi sana imejengwa kwa ufadhili wa Denmark. Kumbukeni walivyoisaidia nchi hii katika elimu ikiwa ni pamoja na elimu ya watu wazima, ujenzi wa shule na...
  17. beth

    Finland: Waziri Mkuu Sanna Marin apendekeza siku nne za kufanya kazi

    Waziri Mkuu mpya wa Finland Sanna Marin amependekeza nchi hiyo iwe na siku nne tu za kufanya kazi ili wananchi wawe na fursa kuwa na familia zao kwa muda mrefu zaidi na kufanya mambo mengine ya jamii ikiwemo michezo na utamaduni. Marin, akiwa kiongozi mkuu wa serikali mdogo kuliko wote duniani...
  18. Geza Ulole

    Africafe and stories of our miseries

    AFRICAFE - WHAT IS IN A BRAND? By Winfrith Hikloch Ogola Tanzanian instant coffee Africafe, in its red-brown-gold tins or plastic packages, used to be a well-known brand in Finland and other Northern European cities. It was promoted through intensive efforts by various well-wishers. Its main...
Back
Top Bottom