flash

  1. DR HAYA LAND

    Naomba wataalamu wa Nyimbo za zamani mnitajie list, nataka nimuekee nyimbo Mzee wangu kwenye Flash

    Wadau wa nyimbo za zamani zile Kali Kali Naomba mniandikie hapa chini nataka kumchukilia mzee wangu Flash then nimuwekee nyimbo . Pia na za ki-congo na hata za kizungu za miaka ya zamani zile nzuri.
  2. kunonu

    INAUZWA Hakuna kupigwa tena. Flash orijino na za uhakika kutoka Japan hizi hapa kwa bei ya tupate wote

    Kuna vitu viwili vinatukera sisi Kunonu Teknolojia kwenye jamii yetu ya Kitanzania kwenye matumizi ya teknolojia ya flash kwa matumizi ya nyumbani au ofisini. Mosi ni kwamba watu wanauziwa 'flash feki' hivyo zinawafia haraka zikiwa na vitu vyao muhimu. Pili, wengi wanauziwa 'flash' kwa bei za...
  3. H

    Jinsi ya ku "Remove write protection" kwenye used flash drive

    Kwa yeyote anaejua jinsi ya ku remove "write protection" kweny flash drive au kui format flash drive ambyo ipo write protected naomba anisaidie maana cwez kui format wala ku insert file llte. Before nilikuwa naweka mafaili kama kawaida na ku transfer lkn sahv nashangaa inazngua, inasoma "Read...
  4. Internet-Money

    DNA Unaweza kutumika Kama Flash ( Unlimited Storage)

    DNA inaweza kutumika kuhifadhi movies , songs na photos Bila kikomo. Teknolojia hii imegunduliwa Cambridge University. CHEKI VIDEO
  5. Lycaon pictus

    Hivi Bongo movie hawawezi kuuza movie zao kwenye flash?

    Bongo movie inakufa, sababu si quality (japo kweli quality ni chini) kama wengi wanavyodhani bali ni hawana namna ya kuuza movie zao. Ilianza kwa kuuza VHS za kina Majuto. Ikaja CD na DVD. Kipindi hiki walau walikuwa wanapata chochote. Ghafla watu wakaanza kupirate DVD na kuziweka kwenye flash...
  6. Nyalikanho

    Kwanini flash 64gb,128gb + hazisomi kwenye flat TV na deki nyingi?

    Wadau hivi ni kweli asilimia kubwa ya smart tv na deki zetu hizi huwa hazina uwezo wa kusoma flash ya uwezo wa 64gb kwenda juu? Note: Flash ambazo ni ORIGINAL. Maana nimetest kuanzia 8gb mpaka 32gb zinasoma ila 64gb,128gb chenga ila kwenye subwoofer mp3 zinasoma. Mwenye kujua kiundani...
  7. mrackkiramadhani

    Biashara ya memory card na flash inasaidia kujikimu

    Habari wana JF, Kama vijana tunapata changamoto nyingi katika kupambana na maisha yetu ya kila siku, na baadhi yetu tukiwa tunajiuliza tutatoka vipi? Kwani biashara nazo zimekua shida kwani baadhi yetu tumekua tukidhani tunahitaji mtaji mkubwa mnoo bila ya kujua si lazima uwe na mtaji wa kiasi...
  8. the numb 1

    Onyo kwa Wadada: Usifikiri kumpa mpenzi wako kinyume na maumbile ndio atazidi kukupenda au kuzidisha upendo

    Ndugu zangu kwa miaka ya sasa hivi ukihitaj mwanamke wa maisha(future) hakikisha inakupasa umshirikishe Mola wako. Kwasababu sikuhizi wanawake wengi wameharibika wengi wanafanywa kinyume na maumbile mwanamke ameshakaa geto na mchizi zaidi ya mwezi magetoni jamaa anajilia vyombo na nyumbani kwao...
  9. EJOSMAT

    INAUZWA Vifaa vya electronics vinauzwa

    Printer hp 7500 a wide format------laki 3 Tt560 speed lite neewer------------laki na nusu Sigma lense 170-500----------------laki 4 Studio light na background yake laki 4 Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa 0717 040 837 au 0767 267 664
  10. N

    Msaada: Radio Sony genezi mhc-gtr55 inasoma "please wait" au "reading" tu nikiweka flash drive. Nini tatizo wakuu?

    Habari wakuu, Radio hii Sony genezi mhc-gtr55 tangu ikiwa mpya inasoma flash ikiamua tu. Labda kuna masharti nakosea. Naweza weka flash mara hii ikasoma fasta na kucheza nyimbo. Naweza weka baadae ikawa inasoma "please wait" au "reading" kwa muda mrefu hata siku nzima. Tatizo laweza kuwa nini...
  11. Junior_94

    Msaada: Flash Disk nikiiweka kwenye PC haisomi

    Nina flash ya san disk gb 32 nkiiweka kwenye pc haisomi na hata nkitaka kuiflash pc inakua nzito kulko kawaida had inaandika pc not responding hadi niichomoe ndo pc itarudi kwenye hali yake ni aina gan ya virusi na ntasolve vipi hili tatzo plz share ur idea with me. Nimejaribu hadi kuformat kwa...
  12. CONTROLA

    Biashara ya kuingiza movie na miziki kwenye flash na simu

    Biashara hazijawahi kuisha chini ya jua ni vile tu unavyoamua kuchukulia mambo na kujichukulia wewe upo vipi,leo nataka nimsaidie mtu mmoja mahali flani kuichambua hii biashara ili kama alikua akiwaza nini chakufanya na hapati apate pakuanzia,na kwa wanaoifanya basi waboreshe ili mwisho wa siku...
  13. gm man

    Error wakati wa ku flash simu

    Wakuu, nilikuwa na flash simu yangu then bahati mbaya pc ilitaka kuanguka so nilipoidaka simu ika chomoka na process iksimama sasa kila nikijaribu ku flash tena inakataa, simu hiwaki lakini ile taa nyekundu ya charge inawaka ila haioneshi kama chaji inaingia Naomb msaada wa kulitatua tatizo...
  14. CFX

    Ku format exfat Flash inayosema unrecognized device was specified

    Wazee nakipengele hapa nilikuwa narusha kawaida window image kwenye flash ikawa inaingia haikufika mpaka mwisho ikawa imeji disconnect baada ya hapo mzee haiformatiki nishajaribu njia zote hata za google zina fail file system inasoma Exfat Natanguliza shukran
  15. Deejay nasmile

    Sijawahi kuweka nyimbo za Diamond na kundi lake WCB kwenye cd,simu,pc wala flash..

    Labda mtu azikopi mwenyewe Au nizikute kwenye hiyo disk Au nizikilize radion Au zitumwe kwenye .agroup..... Yaani inshort ..sizielewagi tu... Katika nyimbo zake 1000+ nilizozisikiliza ni 3 tu ndio nilizielewa Lala salama Ukimuona Nataka kulewa Kamuharibu mpaka harmonize Wa aiyola,kidonda...
  16. Zacht

    Ijue stun grenade au flash bang grenade (bomu la sauti) inavyo fanya kazi

    Umewasha wahi kuona kwenye movie .Timu ya SWAT au kikosi chochote cha kijeshi inapovamia kwenye nyumba ya kikundi cha wahalifu. Afisa mmoja hutupa kitu ndani ya chumba, na hulipuka kinatoa mwanga mkali na kelele kubwa. Wahalifu hao waneshtushwa na kuonekana kama kuzubaa muda mwingine kuziba...
  17. Zacht

    Ijue stun grenade au flash bang grenade (bomu la sauti) inavyofanya kazi

    Umewasha wahi kuona kwenye movie .Timu ya SWAT au kikosi chochote cha kijeshi inapovamia kwenye nyumba ya kikundi cha wahalifu. Afisa mmoja hutupa kitu ndani ya chumba, na hulipuka kinatoa mwanga mkali na kelele kubwa. Wahalifu hao waneshtushwa na kuonekana kama kuzubaa muda mwingine kuziba...
  18. DEALFORREAL

    Sony Alpha NEX-5 14.2MP Digital Camera TWIN LENS KIT - 18-55mm and 16mm + Flash

    Nauza Sony Alpha NEX-5 14.2MP Digital Camera ipo katika hali nzuri kabisa original box Na inauzwa pamoja na lens zake 2 kama unavyoonekana katita picha imetumika kidogo sana ipo kama mpya bei TZ 650000. LAKI SITA NA NUSU. ISO range: 200-12800 HD 1080 video TWIN LENS KIT - 18-55mm and...
  19. napenda movie

    Flash tools or Signed Firmware

    Basi pamekuepo na uhitaji mkubwa sana na changamoto kwa baadhi ya watu hasa pale simu zao zinapozima gafla muda mwingine kuwaka kwa kuganda hivyo wameshindwa kupata ufumbuzi au wamepata lakini kwa bahati mbaya wakashindwa kufanikiwa. Leo tukutane hapa ntatoa tool zenye watumiaji wengi wa simu...
  20. S

    Wakuu Kuna uwekano wa kurecover document baada ya flash kukolapse

    Mada juu inajieleza naomba mnisaidie flash yangu yenye document muhimu inagoma kufunguka inadai iformatiwe. Sasa Kuna njia mbadala ya kupata nyaraka zangu muhimu
Back
Top Bottom