Wadau wa nyimbo za zamani zile Kali Kali Naomba mniandikie hapa chini nataka kumchukilia mzee wangu Flash then nimuwekee nyimbo .
Pia na za ki-congo na hata za kizungu za miaka ya zamani zile nzuri.
Kuna vitu viwili vinatukera sisi Kunonu Teknolojia kwenye jamii yetu ya Kitanzania kwenye matumizi ya teknolojia ya flash kwa matumizi ya nyumbani au ofisini.
Mosi ni kwamba watu wanauziwa 'flash feki' hivyo zinawafia haraka zikiwa na vitu vyao muhimu. Pili, wengi wanauziwa 'flash' kwa bei za...
Kwa yeyote anaejua jinsi ya ku remove "write protection" kweny flash drive au kui format flash drive ambyo ipo write protected naomba anisaidie maana cwez kui format wala ku insert file llte. Before nilikuwa naweka mafaili kama kawaida na ku transfer lkn sahv nashangaa inazngua, inasoma "Read...
Bongo movie inakufa, sababu si quality (japo kweli quality ni chini) kama wengi wanavyodhani bali ni hawana namna ya kuuza movie zao. Ilianza kwa kuuza VHS za kina Majuto. Ikaja CD na DVD. Kipindi hiki walau walikuwa wanapata chochote. Ghafla watu wakaanza kupirate DVD na kuziweka kwenye flash...
Wadau hivi ni kweli asilimia kubwa ya smart tv na deki zetu hizi huwa hazina uwezo wa kusoma flash ya uwezo wa 64gb kwenda juu?
Note: Flash ambazo ni ORIGINAL.
Maana nimetest kuanzia 8gb mpaka 32gb zinasoma ila 64gb,128gb chenga ila kwenye subwoofer mp3 zinasoma.
Mwenye kujua kiundani...
Habari wana JF,
Kama vijana tunapata changamoto nyingi katika kupambana na maisha yetu ya kila siku, na baadhi yetu tukiwa tunajiuliza tutatoka vipi?
Kwani biashara nazo zimekua shida kwani baadhi yetu tumekua tukidhani tunahitaji mtaji mkubwa mnoo bila ya kujua si lazima uwe na mtaji wa kiasi...
Ndugu zangu kwa miaka ya sasa hivi ukihitaj mwanamke wa maisha(future) hakikisha inakupasa umshirikishe Mola wako.
Kwasababu sikuhizi wanawake wengi wameharibika wengi wanafanywa kinyume na maumbile mwanamke ameshakaa geto na mchizi zaidi ya mwezi magetoni jamaa anajilia vyombo na nyumbani kwao...
arusha
dar
dodoma
flash
kinyume
kinyume na maumbile
kuoa
kuwa makini
maumbile
mke
mke wa mtu
mpenzi
mtandao
mtu
nyuma
redio
singida
tanga
usaliti
wadada
wanawake
zanzibar
Printer hp 7500 a wide format------laki 3
Tt560 speed lite neewer------------laki na nusu
Sigma lense 170-500----------------laki 4
Studio light na background yake laki 4
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa 0717 040 837 au 0767 267
664
Habari wakuu,
Radio hii Sony genezi mhc-gtr55 tangu ikiwa mpya inasoma flash ikiamua tu. Labda kuna masharti nakosea.
Naweza weka flash mara hii ikasoma fasta na kucheza nyimbo. Naweza weka baadae ikawa inasoma "please wait" au "reading" kwa muda mrefu hata siku nzima.
Tatizo laweza kuwa nini...
Nina flash ya san disk gb 32 nkiiweka kwenye pc haisomi na hata nkitaka kuiflash pc inakua nzito kulko kawaida had inaandika pc not responding hadi niichomoe ndo pc itarudi kwenye hali yake ni aina gan ya virusi na ntasolve vipi hili tatzo plz share ur idea with me.
Nimejaribu hadi kuformat kwa...
Biashara hazijawahi kuisha chini ya jua ni vile tu unavyoamua kuchukulia mambo na kujichukulia wewe upo vipi,leo nataka nimsaidie mtu mmoja mahali flani kuichambua hii biashara ili kama alikua akiwaza nini chakufanya na hapati apate pakuanzia,na kwa wanaoifanya basi waboreshe ili mwisho wa siku...
Wakuu,
nilikuwa na flash simu yangu then bahati mbaya pc ilitaka kuanguka so nilipoidaka simu ika chomoka na process iksimama
sasa kila nikijaribu ku flash tena inakataa, simu hiwaki lakini ile taa nyekundu ya charge inawaka ila haioneshi kama chaji inaingia
Naomb msaada wa kulitatua tatizo...
Wazee nakipengele hapa nilikuwa narusha kawaida window image kwenye flash ikawa inaingia haikufika mpaka mwisho ikawa imeji disconnect baada ya hapo mzee haiformatiki nishajaribu njia zote hata za google zina fail file system inasoma Exfat
Natanguliza shukran
Labda mtu azikopi mwenyewe
Au nizikute kwenye hiyo disk
Au nizikilize radion
Au zitumwe kwenye .agroup.....
Yaani inshort ..sizielewagi tu...
Katika nyimbo zake 1000+ nilizozisikiliza ni 3 tu ndio nilizielewa
Lala salama
Ukimuona
Nataka kulewa
Kamuharibu mpaka harmonize
Wa aiyola,kidonda...
Umewasha wahi kuona kwenye movie .Timu ya SWAT au kikosi chochote cha kijeshi inapovamia kwenye nyumba ya kikundi cha wahalifu. Afisa mmoja hutupa kitu ndani ya chumba, na hulipuka kinatoa mwanga mkali na kelele kubwa. Wahalifu hao waneshtushwa na kuonekana kama kuzubaa muda mwingine kuziba...
Umewasha wahi kuona kwenye movie .Timu ya SWAT au kikosi chochote cha kijeshi inapovamia kwenye nyumba ya kikundi cha wahalifu. Afisa mmoja hutupa kitu ndani ya chumba, na hulipuka kinatoa mwanga mkali na kelele kubwa. Wahalifu hao waneshtushwa na kuonekana kama kuzubaa muda mwingine kuziba...
Nauza Sony Alpha NEX-5 14.2MP Digital Camera ipo katika hali nzuri kabisa original box Na inauzwa pamoja na lens zake 2 kama unavyoonekana katita picha imetumika kidogo sana ipo kama mpya bei TZ 650000. LAKI SITA NA NUSU.
ISO range: 200-12800
HD 1080 video
TWIN LENS KIT - 18-55mm and...
Basi pamekuepo na uhitaji mkubwa sana na changamoto kwa baadhi ya watu hasa pale simu zao zinapozima gafla muda mwingine kuwaka kwa kuganda hivyo wameshindwa kupata ufumbuzi au wamepata lakini kwa bahati mbaya wakashindwa kufanikiwa.
Leo tukutane hapa ntatoa tool zenye watumiaji wengi wa simu...
Mada juu inajieleza naomba mnisaidie flash yangu yenye document muhimu inagoma kufunguka inadai iformatiwe. Sasa Kuna njia mbadala ya kupata nyaraka zangu muhimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.