Leo kwa mara ya kwanza wakazi wa Dar Salaam hasa wameshangazwa na foleni ya magari katiki barabara ya Juu (Flyover).
"Tumekua tukiamini hii jia ya juu ndio suluhisho la foleni ajabu leo tunaona nayo ina foleni" alisikia mmachinga wa karibuna eneo hilo.
Naomba kujuzwa kuhusiana na ujenzi unaendelea wa flyover chang'ombe /uhasibu maana yangu ni kuwa kwa nini hawa wakandarasi wakati wa ujenzi hawamalizi kwanza upande mmoja ili kupunguza msongamano ndio waendelèe na mwingine kuliko upande mmoja haujaisha wao wameshanza mwingine msongamo inazidi...
Tulikotoka
Ujenzi wa daraja hilo lililopewa jina la Mfugale ulioanza miaka miwili iliyopita umegharimu Sh bilioni 92 hadi kukamilika kwake, huku Serikali ya Japan kupitia Shirika la Maendeleo la nchi hiyo (JICA) likichangia Sh bilioni 26. Jina la Mfugale limetokana na jina la Ofisa Mtendaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.