Salam ndugu zangu!
Haya ni maoni yangu binafsi ni ruksa kuwaza tofauti.
Food industry -Hakuna biashara kubwa duniani kama biashara ya chakula,chakula ikiwa Katika mawanda yote kwa maana ya unachokula na unachokunywa ,HII NI BIASHARA HASWA.
Nitaweka Katika makundi matatu ya aina hii ya biashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.