football

  1. sergio 5

    Unafiki sio jadi yangu Samatta Mbwana ndiyo best football player ever in Tanzania history na huenda asijekutokea kama yeye

    Ana mataji kadhaa ya champion league Africa CAF TUZO YA MCHEZAJI BORA WA NDANI AFRICA Mfungaji Bora wa CAF Kucheza team kadhaa ulaya Best in scoring,dribling skill , shooting nk Hakika uyu mtu tumsifie kabla hajafariki Kipaji haswa
  2. Damaso

    Messi is a GOAT for a reason

    GOAT for a reason 🐐 1: If you did 140 successful dribbles every season in all tournaments for 22 seasons, you will have 3080 dribbles. Messi has 3368 dribbles👑 2: If you scored 5 goals from outside the penalty area every season for 18 seasons, you will have 90 goals. Messi has 96 goals👑...
  3. Dalton elijah

    Panda Shuka Na Anguko La Kagera Sugar Football Club

    KAGERA SUGAR KUMALIZA NAFASI YA TATU 2017, MSTARI WA KUSHUKA DARAJA SASA NA ANGUKO LA MISIMU SITA NYUMA KAGERA SUGAR FOOTBALL CLUB kuanzia msimu wa mwaka 2018/19 hadi sasa wanashuka, hapa nitakupa Tathmini yao ya MISIMU SITA kuanzia alama zao kisha idadi ya magoli ya kufunga na kufungwa pamoja...
  4. sergio 5

    Funny fact's about football history pelle &maradona they never won ballondor as players

    Chukua hii Pele na diogo hawakuwahi kushinda izo tuzo wakicheza Wala hawakuwahi kushindanishwa But PELLE honored a ballondor 2013 na alipewa tuzo 7 kwa pamoja za heshima tu MARADONA alipewa tuzo mwaka 1995 kama sikosei iliitwa the GOLDEN BALLONDOR Pele alipewa 7 na zikawekewa miaka tofauti...
  5. Gordian Anduru

    TUMALIZE UBISHI: Nimeiuliza CHATGPT Which is The best football club in Tanzania

    BAAAS KWISHAAA
  6. Damaso

    El Clásico: The Ultimate Derby in the World of Football

    Katika dunia ya soka, hakuna mechi inayosikika sana, kuvutia mashabiki wengi, na kuwa na mvuto mkubwa kama El Clásico, mechi kati ya FC Barcelona na Real Madrid. El Clásico ni moja ya michezo inayohusisha siyo tu timu mbili kubwa za Hispania, bali pia ni tukio la kihistoria, lenye mvuto mkubwa...
  7. mahindi hayaoti mjini

    Kwa yanayotokea uwanjani MC Alger na TP Mazembe. Afrika tuna safari ndefu sana ya football

    Mwarabu anabebwa kupita kiasi, hii mechi ni kielelezo tosha cha waarabu wanavyofanya kwenye soka letu, bora tu waanzishe ligi yao na watuache na yetu
  8. Mike Moe

    Wadau wa sports naomba kujuzwa namna ya kufanikisha kujiunga na course za ukocha na uamuzi

    Habari za wakati huu ndugu wana jf na wadau wa sports naomba kujuzwa namna ya kufanikisha kujiunga na course za ukocha na uamuzi wa mchezo wa soka kwa hapa kwetu Tanzania. Kwa sasa ambao tunataka kuitumikia football katika nyanja hizo mbili. Kwa mwenye atakuwa na connection ya kufanikisha hayo...
  9. MwananchiOG

    Benjamin Mkapa stadium kuwa Olympic Stadium badala ya Football stadium ni kuwadhulumu mashabiki wa soka Tanzania

    Sikumbuki mara ya mwisho kuona mashindano yoyote makubwa ya riadha au matumizi yoyote ya zile running tracks zilizopo katika dimba la Mkapa. Sanasana imekuwa sehemu ya viongozi kuzunguka kupungia mkono wananchi pindi wanapoapishwa. Ukiingia uwanja wa Mkapa kutazama mechi kama haukai walau...
  10. Mwl.RCT

    Cristiano Ronaldo and Mr. Beast Discuss Fame, Football, and the Future of Content

    From Football Pitch to YouTube Peak: Cristiano Ronaldo and MrBeast Discuss Fame, Football, and the Future of Content Introduction What happens when a football legend sits down with the king of YouTube? A fascinating exchange of insights, strategies, and perspectives on fame, success, and the...
  11. The Watchman

    SI KWELI Feisal Salum amevunja mkataba wake na Azam Football Club

    Nimejongea JamiiCheck kwa mara nyingine, tafadhali naomba kupata uhalisi wa barua hii kama ni ya kweli kwamba Fei Toto amevunja mkataba na Azam FC
  12. MwananchiOG

    Hatimaye Tanzania yaipiku Kenya katika FIFA - Football ranking - CAF Zone, Rasmi Tanzania na Uganda ndiyo Giants wa soka East Africa

    Je, huu ni Mwanzo wa Tanzania kuwa power house of East africa, Kimichezo na Kiuchumi kama ilivyokuwa mwanzoni mwa miaka ya 80's?
  13. N

    Football Club Investments ni sehemu sahihi ya uwekezaji?

    Habari, nimeona taarifa nyingi sana na watu kujiunga katika uwekezaji wa kampuni inayoitwa F.I.C football Club Investments. Je, ni sehemu sahihi au ndo Kalynda mpya na Mr. Kuku Tena!
  14. CARIFONIA

    Hii ni kwa wana-Simba wanaoijua football

    Naona maneno ni mengi kila mtu anajaribu kuongea anachokijua, hila kwa wanasimba wanaoijua football vizuri sidhani kama watakua wanaumia na matokeo haya Wanasimba wanajua kua wapo kwenye kipindi cha mpito bado wanatengeneza timu, na wanasimba wote wanajua hichi kitu, tatizo naona lilikuja mara...
  15. Jackson News

    Simba vs Yanga: The Iconic Rivalry That Defines Tanzanian Football

    The fierce rivalry between Simba Sports Club and Young Africans (Yanga), often referred to as the Kariakoo Derby, is the most celebrated football match in Tanzania and one of the most iconic in East Africa. It transcends the boundaries of sports, deeply embedding itself in the cultural and...
  16. Jackson News

    Lamine Yamal: The Rising Star of Football and His Impact on Google Trends

    Lamine Yamal is a young football prodigy, quickly capturing global attention for his extraordinary talent on the field. Born on July 13, 2007, in Esplugues de Llobregat, Spain, to parents of Moroccan and Equatorial Guinean descent, Yamal has already achieved numerous milestones in his early...
  17. Jackson News

    Kansas State Wildcats Football vs. Colorado Buffaloes Football Player Stats: A Detailed Breakdown

    Kansas State Wildcats Football vs. Colorado Buffaloes Football Player Stats: A Detailed Breakdown HomeSports Kansas State Wildcats Football vs. Colorado Buffaloes Football Player Stats: A Detailed Breakdown The highly anticipated match between the Kansas State Wildcats and the Colorado...
  18. wasakatonge forever

    Mashindano ya African Football League (AFL) hatihati kutokuwepo msimu huu

    Kama mnayakumbuka yale mashindano ya AFL ,yaliofanyika msimu uliopita apa na yalizinduliwa hapa hapa Tanzania kwa mechi kati ya Simba sc dhidi ya Al ahly sc na mchezo kutamatika kwa sare ya goli 2 kwa 2 .Na bingwa wa mashindano hayo hadi mwisho walikua ni Mamelodi Sundows ya Afrika kusini. Sasa...
  19. R

    Gor Mahia FC Vs Al Ahly FC : CAFCL | Football Torturing.

    Nimepitia highlight ya game ya Gor Mahia vs El merreik ya South Sudan. Wakenya walishinda 5-1, wakafuzu kwa hatua ya pili ya mtoano ili waweze kuingia makundi. Wanakutana na bingwa mtetezi na Bingwa mara nyingi zaidi katika CAFCL Al Ahly. Ukiwatazama namna hawa wakenya wanavyocheza unaona...
  20. valet de chambre

    Libya 1 Football Club

    Wakuu shalom. Nawasikiliza wachambuzi wa tv zetu hizi za mtandaoni wanaijadili timu inaitwa Libya 1 kuwa timu mpya na ngeni hivyo Simba ana nafasi ya kusonga mbele. Hivi Kuna hili timu Libya? Nimegoogle sijaipata nisaidieni wakuu.
Back
Top Bottom