forbes

Forbes () is an American business magazine. Published bi-weekly, it features original articles on finance, industry, investing, and marketing topics. Forbes also reports on related subjects such as technology, communications, science, politics, and law. Its headquarters is located in Jersey City, New Jersey. Primary competitors in the national business magazine category include Fortune and Bloomberg Businessweek. The magazine is well known for its lists and rankings, including of the richest Americans (the Forbes 400), of the world's top companies (the Forbes Global 2000), and The World's Billionaires. The motto of Forbes magazine is "The Capitalist Tool". Its chair and editor-in-chief is Steve Forbes, and its CEO is Mike Federle. In 2014, it was sold to a Hong Kong-based investment group, Integrated Whale Media Investments.

View More On Wikipedia.org
  1. sinza pazuri

    AliKiba amdiss Diamond Platnumz kuhusu utajiri na Forbes: Wadau wasema Sadala ni kiki ya album yake mpya

    Akielekea kuachia album yake mpya msanii wa kitambo Ali Saleh Gentamilan au Ali Kiba, amemdiss Mfalme wa Afro Pop duniani Diamond Platnumz. Lakini wadau wameusisha diss yake na promotion ya album yake mpya.
  2. Slowly

    Kufuatia Povu la Diamond Platnumz kwa FORBES, Drogba, Don Jazzy watia neno

    Mambo si mambo huko Instagram, Mega Star wa Bongo fleva , Diamond Platnumz amemwaga Povu zito Kwa FORBES , jarida linalohusika na kutoa takwimu za ukwasi wa watu maarufu duniani , Kwa kutofanya utafti wa kutosha kuhusu Mali zake .... Kufuatia post hiyo mastaa mbali mbali wametia Nebo huku...
  3. Allen Kilewella

    Kwanini Diamond Platnumz hayumo top 20 ya wanamuziki matajiri Afrika?

    Imenishangaza Sana lakini ndiyo ukweli ulivyo. Yaani sijui wanatumia kigezo Gani kupanga hao wasanii matajiri!!?? Yaani Diamond hajafikia kuwa na ukwasi wa kutosha kuwa kwenye Orodha ya wanamuziki 20 matajiri Afrika!??
  4. N'yadikwa

    Bill & Melinda Gates watalikiana

    Baada ya miaka 27 ya ndoa, wawili hao wenye ukwasi wa kutosha na ambao wamekuwa wakisaidia miradi mbalimbali ya kijamii duniani kupitia foundation yao wameweka pete chini. ===== Bill and Melinda Gates have announced their divorce after 27 years of marriage, saying "we no longer believe we...
  5. MK254

    Akili kubwa - Forbes Honours 28-Year-Old Kenyan Woman Building International Energy Empire

    WEX Africa founder Ogutu Okudo poses with a trophy at the Women in Energy Awards gala in Nairobi in 2018 FILE JERICONSULTING.COM A 28-year-old Kenyan woman, Ogutu Okudo, is among big names from across the continent featured in Forbes Africa's 30 Under 30 List for 2020. Okudo is the founder and...
  6. castieltsar

    Keys to success by B.C. Forbes

    Huu ni ushairi wa B.C.FORBES ambaye alikuwa ni mwandishi wa maswala ya kifedha na pia ndie mwanzilishi wa FORBES MAGAZINE ushairi huu uliandikwa mwaka 1917 lijulikanalo kwa jina “keys to success” Mafanikio yako yanategemea wewe. Furaha yako inategemea wewe. Lazima uwe muelekeo wako mwenyewe...
  7. MK254

    Mtakubali tu - Kenya only African country on Forbes list

    President Uhuru Kenyatta during a virtual meeting of the African Union (AU) Bureau on July 21, 2020 FACEBOOK Kenya is among nine countries worldwide that was endorsed in a list of places to travel to in an article on the American business magazine, Forbes. In an article on the magazine's...
  8. N'yadikwa

    Despite the global COVID-19 pandemic, Tanzania has achieved its middle-income vision five years ahead of schedule

    https://www.google.com/url?sa=t&source=web&rct=j&url=https://www.forbesafrica.com/brand-voice/2020/08/19/tanzania-is-ahead-of-schedule-under-magufuli/%23:~:text%3DDespite%2520the%2520global%2520COVID%252D19,compatriots%2520on%2520this%2520historic%2520achievement.&ved=2ahUKEwjJ2-rMiqnrAhU6UhUIHZJ...
  9. Miss Zomboko

    Ronaldo ashika kijiti kwa wanasoka waliovuta mkwanja mrefu kwenye Jarida la Forbes

    LONDON, ENGLAND SUPASTAA, Cristiano Ronaldo amempiku staa mwenzake, Lionel Messi kwenye mchakato wa wanasoka waliovuna pesa nyingi zaidi kwa mwaka 2020 kama inavyofichua orodha mpya ya jarida la Forbes. Mjumuiko wa mishahara yake pamoja na pesa nyingine anavuna kupitia soka lake la uwanjani...
  10. beth

    Dangote aongoza kwa utajiri Afrika, Mo Dewji ashika nafasi ya 16

    Mfanyabiashara maarufu nchini Mohammed Dewji (Mo) ametajwa kuwa miongoni mwa mabilionea 20 wa Afrika kwa ripoti ya mwaka 2020 licha ya utajiri wake kupungua kwa Dola milioni 300 (Sh692.67 bilioni). Katika orodha hiyo ya jarida mashuhuri la Forbes kwa mwaka huu limemtaja Mo mwenye miaka 44 kama...
  11. T

    Uchaguzi wa Katibu Mkuu BAVICHA 2019: Upepo wamwendea vizuri CPA Kitalika Titho

    Wanazengo salaam. Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu kinachoendele katika uchaguzi ndani ya BAVICHA hasa kwa wagombe sita wanaofahamika yaani huyu CPA KITALIKA, Hemed ALLY, Simbeye Edward, Nusrate Hanje, Gwamaka Mbughi na Chacha Machera. CPA Kitalika, Gwamaka na Chacha hawakabiliwi na...
  12. IamJackReacher

    Bilionea wa China Jack Ma kupambana kimasumbwi na bondia Floyd Mayweather Jr

    Naona mzee Jack Ma, baada ya kustaafu na kuachia ngazi kwenye kampuni yake ya Alibaba, na kupewa masomo ya "boxing" na Bw. Manny Pacquiao yupo tayari kuingia kwenye ringi na "legend" Floyd Mayweather Jr.! Naombea hii "bout" iwe ya ukweli na vile vile pesa zitakazo patikana ziende kwenye...
Back
Top Bottom