forodhani

  1. Suley2019

    Wapiga Makachu Forodhani waruhisiwa, Watasaini Mkataba

    Mamlaka ya Uhifadhi na uendeshaji wa Mji Mkongwe Zanzibar kwa kushirikiana na taasisi nyingine za serikali zimekubaliana kuwaruhusu vijana wa wapiga makachu katika eneo la Forodhani kuendelea na Shughuli zao kwa kuzingatia taratibu zilizoanishwa katika mikataba itakayosainiwa na vijana hao...
  2. Mohammed Salum

    Forodhani Zanzibar

    Moja ya maeneo yanayokusanya watu wengi, hasa nyakati za jioni visiwani Zanzibar, ni Forodhani Garden, ukubwa wake si zaidi ya kilomita moja za mraba, lakini hubeba melfu ya wageni wa ndani na wa nje ya Tanzania. Upekee wa bustani hii ni uwepo wa vyakula vya aina mbalimbali, vikiwemo vya asili...
  3. LICHADI

    Zanzibar kupo ovyo sana. Kweli au nahitaji kueleweshwa?

    Nimetembelea huu mji, kwa kweli ni mji ambao bado watu wamelala, migahawa ya kumulika kwa tochi vyakula havieleweki, nimeenda hadi forodhani yaani nyama za pale bei juu alafu hazina mvuto yaani rafu rafu tu. Barabara za lami kama wamemwaga zege yaani, mainjinia sijui wameajiriwa kwa kazi gani...
Back
Top Bottom