MTI MBICHI UKAGEUKA KUNI
Na- Aron Seni
ilikuwa asubuhi tulivu na njema ya mwaka 1977. Baba wa taifa hayati JK Nyerere alipomuita nyumbani kwake msasani-Dar es salaam aliyekuwa Mwanasheria mkuu wa serikali kwa wakati Huo Ndg Joseph Sinde Warioba.
Mwalimu akamwambia Sinde "Nataka unipe majina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.