MTI MBICHI UKAGEUKA KUNI
Na- Aron Seni
ilikuwa asubuhi tulivu na njema ya mwaka 1977. Baba wa taifa hayati JK Nyerere alipomuita nyumbani kwake msasani-Dar es salaam aliyekuwa Mwanasheria mkuu wa serikali kwa wakati Huo Ndg Joseph Sinde Warioba.
Mwalimu akamwambia Sinde "Nataka unipe majina...