fredy michael

  1. kavulata

    Simba wanamuacha au wanamuuza Fredy Michael fungafunga?

    Simba hawana uongozi wenye weledi Wala kocha wa level ya Simba, labda nianze kwa kusema hivyo. Freddy Michael fungafunga wametangaza kutaka kumuuza kwa timu ambayo hawaijui kama itamsajili baada ya kufaulu vipimo, lakini kabla ya kumuuza tayari wameleta mchezaji mpya wa kigeni (Ateba) kuziba...
  2. B

    Simba Sports Club vunja mkataba wa Kapombe na Fredy Michael hawana viwango na duka lililobaki Simba ni Kapombe

    Viongozi simba sports club VUNJA mkataba wa KAPOMBE na FREDY Michael, VIWANGO gyao ni vidogo kwa Sasa. KAPOMBE ameichezea Simba kwa muda mrefu Sasa, kinachotakiwa ni kumpa mkono wa kwaheri Ili kulinda heshima yake. Aidha KAPOMBE Hilo ni duka pia ambalo lilisababisha tusichukue ubingwa.
  3. OMOYOGWANE

    Fredy Michael mfungaji bora Zambia msimu huu, ila SIMBA SC wanamuona garasa

    Hii timu huwa inanishangaza sana. Jana Fredy Michael kawa mfungaji bora wa Ligi kuu Zambia licha ya kutokuwepo huko kwa miezi kadhaa. Saido mwaka jaba aliibuka mfungaji bora NBC PL akagawana zawadi na Mayele. Msimu huu ndiye kinara wa magoli Simba SC. Soma Pia: Usajili wa Simba tangu 2019...
Back
Top Bottom