Moja kwa moja..
Nilizoea bando likikata kuingia Freebasic kupitia line yangu ya Halotel kucheki habari BBC na kuperuzi Jf lakini halo umebadilika sasa sio kwa kutumia app wala browser inagoma shida ni nini wakuu hii huduma bado ipo kweli ?
#UziTayari
Ni kweli tuna malalamiko yaliyodumu kwa muda mrefu kwenye utumishi wa Umma
Malimbikizo ya Mishahara
Madaraja yaliyozuiliwa na vyeo tangu 2013 kuna watumishi wanadai madaraja au vyeo viwili (mseleleko ndio muafaka)
Mapunjo ya mishahara yapo kwenye mfumo huo wa mshahara yaliratibiwa
Hela za...
Kwa moyo wadhati kabisa naipongeza awamu ya 5 kwa kuruhusu huduma ya Freebasics kupatikana hapa nchini kwani inatuwezesha kuingia JamiiForums bure na kutumia tovuti nyingine kama Facebook, BBC Swahili, Shule direct bure kabisa.
Ingewezekana kabisa serikali kuzuia huduma hiyo, lakini kwakuwa...
Tusitiane njaa,
internet.org (Freebasics) ni huduma ya internet bure kwa nchi zinazoendelea, ilianzishwa na Mark Zugerberg (Mmiliki wa Fb), Mwaka 2013.
Njoo hapa kwanza ili uelewe vizuri, Si unajua fb unaweza ukaingia bila bando? Voda, tigo na airtel kila siku wanatangaza, basi ujue yale ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.