freemason

Freemasonry or Masonry consists of fraternal organisations that trace their origins to the local fraternities of stonemasons that from the end of the 14th century regulated the qualifications of stonemasons and their interaction with authorities and clients. Freemasonry has been the subject of numerous conspiracy theories throughout the years. Modern Freemasonry broadly consists of two main recognition groups:

Regular Freemasonry insists that a volume of scripture be open in a working lodge, that every member profess belief in a Supreme Being, that no women be admitted, and that the discussion of religion and politics be banned.
Continental Freemasonry is now the general term for the jurisdictions that have removed some, or all, of these restrictions.The basic, local organisational unit of Freemasonry is the Lodge. These private Lodges are usually supervised at the regional level (usually coterminous with either a state, province, or national border) by a Grand Lodge or Grand Orient. There is no international, worldwide Grand Lodge that supervises all of Freemasonry; each Grand Lodge is independent, and they do not necessarily recognise each other as being legitimate.
The degrees of Freemasonry retain the three grades of medieval craft guilds, those of Apprentice, Journeyman or fellow (now called Fellowcraft), and Master Mason. The candidate of these three degrees is progressively taught the meanings of the symbols of Freemasonry and entrusted with grips, signs and words to signify to other members that he has been so initiated. The degrees are part allegorical morality play and part lecture. Three degrees are offered by Craft (or Blue Lodge) Freemasonry, and members of any of these degrees are known as Freemasons or Masons. There are additional degrees, which vary with locality and jurisdiction, and are usually administered by their own bodies (separate from those who administer the Craft degrees).

View More On Wikipedia.org
  1. The Watchman

    Watu 13 wakamatwa wakijifanya viongozi wa Freemason na kufanya utapeli

    Jeshi la Polisi mkoani Rukwa kwa kushirikina na Mamlaka ya Mawasilino Tanzania TCRA limeanzisha operesheni ya kuwabaini watu wanaojihusisha na utapeli kwa njia ya mtandao na kufanikiwa kuwakamata vijana 13 wenye umri kati ya miaka 17 hadi 32 kwa tuhuma za kuwatapeli wananchi kwa kuandika ujumbe...
  2. M

    Freemasons mbona mmetuletea Elon Musk?

    Mzuka wanajamvi! Freemasons tafadhalini muondoeni Elon Musk kwenye hiyo nafasi na hata kumi bora hasiwepo. Yani mmetuletea mtu wa ajabu sana. Yani bora nyakati zile mlituwekea kina Bill Gates na Warren buffet. Bill Gates alikuwa mtu poa sana hata Africa alikuwa anakuja na kula ubwabwa...
  3. Eli Cohen

    Makala mengi kuhusu Freemason yanatofautiana sana. Naamini hakuna mwenye concrete info juu yao. Hii ni ishara jinsi gani FM walivyo na weledi mkubwa.

    Tena unaweza kuta hata hawajiiti Freemason 😂 Yani sisi tuendelee na wale freemason wetu wa "kujiunga freemason 5000" 😂 Anyway, Kujua info ya mtu ni kummudu, namaanisha kama hawa jamaa wangejulikana kwa kina kuhusu utendaji wao basi ingekuwa rahisi wao kuwa infiltrated na kuwa dis-organized...
  4. Mshana Jr

    Ulimwengu mikononi mwa Freemason, Satanism na Paganism

    Asili inachukua mkondo wake.. Dini zilizotegemewa kama kimbilio la kumuokoa mwanadamu kiroho sasa zinashuhudia anguko kubwa kuliko wakati mwingine wowote ule Kwasasa dini nazo ni mateka wa imani za siri za kidunia.. Na hapa namaanisha dini zote zinazomuabudu Mungu moja Kwasasa dini zetu . Ni...
  5. Waufukweni

    Mama akataa zawadi ya gari kutoka kwa mwanawe, adai 'hili ni Jeneza', amshutumu kwa Freemason

    Mwanamke mmoja ambaye anadaiwa kuwa ni Mama wa msanii wa muziki Bongo, Hamisi 'Tajiri Chui' Mwelemi amekataa gari jipya alilopewa na mwanawe huyo, akidai kuwa zawadi hiyo inahusiana na shughuli za Freemason. Akiwa na msimamo mkali, mama huyo alidai gari hilo "ni jeneza" na kuonya kuwa hataki...
  6. Forrest Gump

    Ujuaji mwingi wa Waafrika kuhusu mambo ya imani ndio unafanya wao kuwa watumwa kwa watu wengine

    Mbona hatujapata sasa suluhisho la haya yote. Maana ujuzi halisia wa kitu ina maana hauwezi tena kuwa mtumwa wa kitu hicho. Unaweza kuta mtu anaandika kwa uhakika kuwa sababu ya magumu yako ni nyota yako imeharibiwa au dhambi zako lakini unashangaa kuna tajiri mmoja yupo ana dhambi zaidi yako...
  7. wa stendi

    Hivi haya mabango "jiunge freemason na mganga wa jadi kutoka mkoq wa "yanabandikwa saa ngapi.

    Habari za siku nyingi wadau..na poleni kwa yanayoendelea hapa nchini. Nilikuwa nauliza haya mabango ya "jiunge fremason au mganga wa jadi kutoka labda tanga tunayokutana nanyo kwenye baadhibya nguzo za umeme au kuta za nyumba pembezoni mwa badabara hivi ni watu wa kawaida wanabandika au ni...
  8. Lycaon pictus

    Mwandishi nguli, Shaaban Bin Robert alikuwa ni Freemason?

    Kwanza nianze kwa kusema kuwa ufreemason unaozungumzwa hapa si ule wa kwenye nguzo za umeme. Ni ule wa watu wenye fikra huru wanaokusanyika pamoja ili kuboresha maisha ya binadamu. Kwa nini nauliza iwapo Shaaban Robert alikuwa ni freemason? Kuna huu ushahidi. 1. Nilikuwa nasoma kitabu cha...
  9. gstar

    Freemasons na siri ya namba 255

    Freemasons ni kikundi cha siri kinacho ratibu na kuongoza kila kitu katika hii dunia. Kikundi hicho cha siri huratibu mambo yake kwa kushirikiana na baadhi ya wawakilishi wake wachache katika kila nchi. Unaweza kuona mambo yakiwa yanaendelea kutokea katika dunia kama kawaida lakini kuna siri...
  10. M

    Ni fikra za umaskini zinazofanya watu wafikiri kila aliyefanikiwa ni freemason ama atoa kafara au chuki dhidi ya waliofanikiwa?

    Habari zenu ndugu zangu. Kuna mambo Huwa nashindwa kuyaelewa. Watanzania tumekuwa na kasumba za ajabu, Umaskini wa baadhi umetufanya tuwe na roho mbaya, chuki, husda Kwa waliofanikiwa bila hata sababu ya msingi. Nimeshuhudia na kusikia hadithi za watu wengi waliofanikiwa sehemu ninazoishi...
  11. G

    Sababu na athari za matangazo ya kubeti, kudanga na kujiunga Freemason kuongezeka

    Matangazo ya makampuni ya kubeti, matangazo ya kujiuza (kudanga) na yale ya kujiunga na uFreemason ni mengi san Hii ni ishara mbaya sana inayoonesha kuwa umaskini umeongezeka kwa kiwango kikubwa sana na hivyo kupelekea kuongezeka kwa wahitaji (wateja) wa Freemason, kubeti na kudanga. Kama...
  12. Mshana Jr

    Kichekesho cha karne: Ibada ya kumuingiza Mr. Nice kwenye U Freemason

    Vyuma vikikaza sana watu huerevuka zaidi na kutafuta kila namna ya kutoka kimaisha ama la walau watoto waende chooni. Kuna werevu mbaya usio na baraka za mamlaka, huu huitwa utapeli na kuna werevu mbaya lakini wenye baraka za mamlaka, huu nao ni utapeli kama utapeli mwingine tuu lakini umepakwa...
  13. bongo dili

    Wasabato majibu mnara wa freemason kwenye kaburi la nabii wenu Bi Hellen G White una maana Gani?

    Hili ni kaburi la Bi Hellen G White lina mnara wa Obelisk.Ukiona mnara wowote round about unamaanisha kiungo cha uzazi Cha kiume Cha Nimrodi. Nimrod mtoto wa haramu ndie aliyejenga mnara WA babel kisha Mungu akawachanganyia lugha wakasambaa duniani. Baada ya Nimrodi kuuwawa kwa kukatwa katwa...
  14. S

    Kaombeni Vibarua Jengo la Freemason Posta, Dar

    Enyi mnaosaka vibarua ndani ya JIJI la DAR, nendeni mkaombe vibarua hapo kwenye Jengo la Freemason Dar es salaam. wanafanya maboresho ya Jengo zima kuanzia Ground Floor mpaka Paa. Huwezi Jua labda Deiwaka ni laki moja kwa siku.
  15. Mhaya

    Huwapendi Freemason ila unapenda vitu vyao

    Kitu cha kwanza kitakachokupa nguvu katika dunia hii ni elimu. Utake usitake elimu ina nguvu kuliko kitu chochote kwenye hii dunia. Kwa nini Mafreemason na Illuminat wanaitawala hii dunia? Ni kwa sababu wamesoma sana. Wanajua mambo mengi mno. Ukikutana na Freemason mwenye digrii 33 na akaanza...
  16. badison

    Elon Musk is a croock freemason ushahidi umewekwa wazi the code X is debunked

    Huyu tajiri ni freemason au freemanga anapenda kula vya bure. Baada ya kubadilisha jina kutoka twitter mpaka X nia na lengo la imani yake imesha julikakana. Ndugu zangu duniani kuna mitandao mingi mfano mjusi mark ameanzisha mtandao unaitwa threads ambayo chata yake ni 666. Hii hapa. Pia huyu...
  17. fungi06

    Je! Ni wazo sahihu kujiunga na ILLUMINANT. Zipi ni hasara za kujiunga na freemason?

    Kwa miaka mingi watu wengi wamekua wakitamani kujiunga na illuminant (Frères-Maçons of Zion). Ila wengi wamekua hawaelewi ni nani kiongozi aliye juu ya taasisi hii nyeti sana dunia. Wengi wanatamani kujiunga Illuminati ili kutafuta majina, kupata nguvu na ushawishi kwenye public, kuwa na...
  18. Clepatina

    Sijui ingekuaje kama ningepiga zile namba walizonipa wale Freemason wa Kiswedish

    Shikamoo /Mambo. Kwa mnaofuatilia story yangu ya YULE MZEE ALIHARIBU MAISHA YA MABINTI WENGI ILA YA KWANGU ALIYAHARIBU NA KUYATENGENEZA MWENYEWE ep. 4 niliandika nilivyoenda Ulaya kwa mara ya kwanza ila nikashindwa maisha ya kule nikarudi zangu. Ilikua ni Sweden na ilikua January ambapo winter...
  19. Dj Aiman

    Siri ya kitendawili cha msanii Diamond Platnumz ambayo watu wote wameshindwa kutegua

    Nasibu Abdul Juma Issaack (maarufu kwa jina la kisanii kama Diamond Platnumz;Alizaliwa Dar es Salaam, Tanzania, 2 Oktoba 1989) ni mwimbaji wa nyimbo za Bongo Fleva na dansa kutoka nchini Tanzania. Ni mwimbaji na mtunzi wa muziki wa Kitanzania ambaye ana uwezo mkubwa wa kiushindani zaidi ya...
Back
Top Bottom