Wataalam, huu weusi kwenye kifaa hiki cha fridge ni dalili gani na inasababishwa na nini? Je, kuna madhara? Mwanzo nilipolinunua huu weusi haukuwepo kabisa.
Habari wadau,
Nataka kufungua ka grocery kangu nipate hapo japo mia 2 mia 2, sasa issue napata utata kati ya fridge brand ya Boss au Hisence showcase.
Naombeni wazoefu au wataalam wa hizi mambo ili nifanye maamuzi mujarab
Fridge la LG linauzwa. Lipo katika hali nzuri mno.
560ltrs
Opti fresh
Frost Free (linagandisha bila kuweka mabarafu.
Energy saving (linatumia umeme mdogo sana).
Linafaa kwa matumizi ya nyumbani au biashara.
Bei: 450,000 neg.
Lipo Dar es salaam
Kwa muhitaji piga 0689 799191
Ninauza fridge yangu aina ya Boss.
Inatumia umeme mdogo (energy server). Ina sehemu ya kugandisha na sehem ya fridge kawaida
Ipo Arusha mjini
Offer yangu ni Tsh. Laki 5
Sábado ya kuuza nina uhitaji wa pesa kwa haraka.
Mazungumzo yapo kwa mteja alie serious tu.
Namba ya simu 0758435748
Nataka kununua fridge ya mlango mmoja kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.Nimeona fridge za kampuni zifuatazo;
1.Mr Uk
2.Boss na
3.Hisense.
Hisense compressor yake iko nje na haina bulb kwa ndani.
Mwenye ufahamu na hizi fridge naomba ushauri nichukue ipi?
Fridge lina sehemu ya kugandishia.
Fridge ni la mlango mmoja.
Linatumia umeme mdogo.
Fridge ni jipya. Halijatumika tangu linunuliwe.
Price: 330,000
Location: Dar es Salaam
Contacts: 0682507838/ PM
Fridge langu mlango wake haubani vizuri. Yaani ukifunga kunabaki upenyo unaosababisha baridi kutoka nje. Najua Kuna zile lock Kama za milango ya nyumba lakini kwangu naona kama ni za kizamani Sana na zinaaribu muonekano wake.
Naomba kujua kama kuna lock za kisasa au ambazo zinatumika sumaku au...
Habari zenu wana Jamvi, naombeni ushauri juu ya hizi fridge zilizopo madukani, ni aina gani ya fridge ni nzuri na inayodum mda mrefu, na ni kitu gani cha kuzingatia wakati wa kununua hizi fridge, maana nmeona kampuni nyingi sana kwa sasa zikiwa zinauza hizi bidhaa.
Mfano, jana nmetaka kununua...
Wakuu hivi yale mafridge ya mtumba tunayouziwa pale Magomeni traventina na yale ya dukani Kariakoo yapi bora hata umeme ukikatika na yapi yanadumu kwa uimara.
Fridge hilo hapo kama linavyoonekana pichani...HALIJATUMIKA SANA...LINA GAS YA KUTOSHA.
Lina Warranty ya Miaka 2.
Lipo safi kabisa zima...ENERGY SAVER, LINA FRIZA NDANI LINAGANDISHA SANA...
MLANGO MMOJA...
UNAWEZA WEKA VITU NDANI YA MUDA MFUPI, UKAZIMA NDANI YA SIKU MBILI BADO VYA BARIDI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.