Wakuu habari ,naomba kuuliza iv full body chekup inaend kiasi gan?
Pia kufanya ultrasound katika maeneo ya kifua inakuaje maana nina sehem inanipa vi maumivu kwa mbaali
Baada ya jana Yanga kujaza pomoni viwanja viwili vya Mkapa na Uhuru, wale wacha mbuzi uchwara wamehama kutoka kwenye vichaka vya sold out na full house na kuja na kichaka cha time management.
Hawajui kuwa lile ni tamasha/bonanza kati ya viongozi, wachezaji na mashabiki/wanachama wa timu kuwa...
Hali ya Bashe sasa itadhidi kuwa mbaya baada ya Kilombero Sugar kutema cheche
Wazalishaji sukari wavunja ukimya, wadai kutotendewa haki sakata la sukari
Muktasari:
Baada ya kushutumiwa kwa muda mrefu na kutajwa kuwa wao ndiyo chanzo cha kupanda kwa bei ya sukari nchini, umoja wazalishaji wa...
bajeti 2024/25
full
hii
husein bashe
hussein bashe
interview
kilombero sugar
kusikia
luhaga mpina
michuzi
sakata la sukari
sakata uhaba wa sukari
siasa tanzania
sukari
tanzania
tspa
tulia ackson
ulaghai uhaba wa sukari
umoja
umoja wa wazalishaji wa sukari
wazalishaji wa sukari tanzania
Introduction
A stark reality confronts Tanzania: the misuse of public funds, as revealed by the 2022/2023 Controller and Auditor General (CAG) report, represents a significant obstacle to achieving a brighter future for the nation. This analysis proposes a ten-year plan to transform Tanzania's...
Dispensary inauzwa 120M, ipo Michese Dodoma, eneo lina ukubwa wa 956 mita za Mraba, majengo mawili, Sehemu yakusubiria wagonjwa na jengo la RCH.
Hakuna Dalali
Binafsi ushawah kumtabiria makubwa mchezaj halafu ghafla ukashangaa anapotea kwenye raman ya soka ama kwa kushuka kiwango, majeraha ,au kuhama timu moja kwenda nyingine?
Kwa mtazamo wangu wafuatao ni miongon mwa wachezaj wanaoangukia kwenye kundi hilo.
1.JACK WILSHERE Changamoto za majeraha ya...
Hii picha inatrend sana hasa Tanzania ikizungumziwa masuala ya mvua na mafuriko.
Naomba picha hii ikiwa full.
Yaani nyumba full.
Kuna 10,000/= cash kabla ya saa 06:00 asubuhi.
Nipe picha ya hii nyumba ikiwa full na paa lake hili linaloonekana kama lilivyo
Karibuni kwenye mpambano.
10,000...
Nimepata conditional admission vyuo mbalimbali.
Courses ni masters ya leadership na education leadership.
Uingereza nimepata vyuo vinne.
Sweden chuo 1
Finland 1
Poland 1
Tatizo ni uwezo wa kujisomesha. Naomba mwenye kufahamu taasisi ninayoweza kuomba full funded scholarship/sponsorship...
Nilikuwa najipa moyo kwamba unaweza kupata mwanamke mwenye sifa angalau 80% ya vile vigezo muhimu vya kuwa mke bora. Nikasema kama wapo wanawake wazuri wa sura zenye mvuto, lakini kwa nini usipate mwenye mvuto akawa pia na tabia nzuri, mnyenyekevu, mtiifu, mwenye bidii nk? Nikaona ngoja niingie...
Wakuu, samahini nilikuwa naomba niuliza kwa wanaojuwa kati ya hizi programming skills job.
1. Full stack web developer,
2. Block chain developer,
3. Machine learning and Artificial intelligenece
Ipi ni marketable sana hapa TANZANIA even OUTSIDE?
Jamani kama nilivoeleza Pao juu nilibetia shoot on tergert za CRYSTAL PALACE vs BANLEY sasa Kuna sehemu nyingine wameonesha 6.0 na nyingine 6.1 sasa nilivo watafuta wamesema nitafutee full match tuhesabu shoot on tergert naipataje full mechii msaada jamani na pili kama hatuaelewana kampuni...
Nimeona jinsi timu za Morocco, Egypt na leo Guinea walivyolia kwa kutoingia quarter final au semi final. Yaani wanaumia. Ila wachezaji wetu sikuwahi kuwaona wakisikitika kwa kutofanya vizuri
Misiba yetu huwa ni event fupi yenye mambo mengi ya ajabu, yakuchekesha, kuhudhunisha na kustajaabisha.
Misibani huwa ndio fursa nzuri kwa ajili ya wambea na wanafiki. Wanatunga stori kuhusu kifo na maisha ya familia yenye msiba. Unakuta kuna vikundi vikundi vya wakina mama, vya wakina baba...
Uganda tayari ilikuwa fractured kuanzia serikalini hadi kwenye jamii. Watu wa Uganda waliishi kwa kumuogopa dadaa ila hawaku muheshimu.
So vita kutoka Tz ilikuwa ni fursa kwao kwa maana wanajeshi wa Tz walikuwa wanapata support kwa kila kituo walichokuwa wanafikia na naamini jeshi letu...
The Tanzania Revenue Authority (TRA) is pleased to inform the job applicants who passed the screening test and were selected for practical and oral interviews. The interviews are scheduled to take place from October 29, 2023, to November 2, 2023, with the eventual employment of successful...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.