full

Full contact karate is any format of karate where competitors spar (also called Kumite) full-contact and allow a knockout as winning criterion.

View More On Wikipedia.org
  1. Under-cover

    Full body chekup

    Wakuu habari ,naomba kuuliza iv full body chekup inaend kiasi gan? Pia kufanya ultrasound katika maeneo ya kifua inakuaje maana nina sehem inanipa vi maumivu kwa mbaali
  2. anoldmedia

    Full Time: Man united 1-0 Fulham fc

    EPL | Man united 0-0 Fulham Fc Ila bruno 😄
  3. Frank Wanjiru

    Baada ya kichaka cha sold out na full house kufweka, sasa wamekuja na kichaka kipya

    Baada ya jana Yanga kujaza pomoni viwanja viwili vya Mkapa na Uhuru, wale wacha mbuzi uchwara wamehama kutoka kwenye vichaka vya sold out na full house na kuja na kichaka cha time management. Hawajui kuwa lile ni tamasha/bonanza kati ya viongozi, wachezaji na mashabiki/wanachama wa timu kuwa...
  4. BARDIZBAH

    Sumsung A14 inahitajika full box kwa bei rahisi ( 270k) mfukoni ipo hapa.

    Ndio wakuu napokea call 0621011063. Naweza ongeza kidogo bei.
  5. M

    Umoja wa wazalishaji wa sukari Tanzania (TSPA) Wajitetea kuhusu kupanda kwa Sukari. Hawajawahi kuficha Sukari, Si kazi yao kuagiza Sukari nje

    Hali ya Bashe sasa itadhidi kuwa mbaya baada ya Kilombero Sugar kutema cheche Wazalishaji sukari wavunja ukimya, wadai kutotendewa haki sakata la sukari Muktasari: Baada ya kushutumiwa kwa muda mrefu na kutajwa kuwa wao ndiyo chanzo cha kupanda kwa bei ya sukari nchini, umoja wazalishaji wa...
  6. Mwl.RCT

    SoC04 From Empty Shelves to Full Potential: Reimagining Public Finance for a Healthier Tanzania

    Introduction A stark reality confronts Tanzania: the misuse of public funds, as revealed by the 2022/2023 Controller and Auditor General (CAG) report, represents a significant obstacle to achieving a brighter future for the nation. This analysis proposes a ten-year plan to transform Tanzania's...
  7. TheForgotten Genious

    Full equipped dispensary for sale in Dodoma!

    Dispensary inauzwa 120M, ipo Michese Dodoma, eneo lina ukubwa wa 956 mita za Mraba, majengo mawili, Sehemu yakusubiria wagonjwa na jengo la RCH. Hakuna Dalali
  8. Mngoni asiyepiga gambe

    Players who never realised their full potential

    Binafsi ushawah kumtabiria makubwa mchezaj halafu ghafla ukashangaa anapotea kwenye raman ya soka ama kwa kushuka kiwango, majeraha ,au kuhama timu moja kwenda nyingine? Kwa mtazamo wangu wafuatao ni miongon mwa wachezaj wanaoangukia kwenye kundi hilo. 1.JACK WILSHERE Changamoto za majeraha ya...
  9. AmKATRINA

    Kuna 10,000(elfu 10) cash kabla ya saa 06:00 asubuhi kwa atakayeonesha picha full nyumba yenye paa hili

    Hii picha inatrend sana hasa Tanzania ikizungumziwa masuala ya mvua na mafuriko. Naomba picha hii ikiwa full. Yaani nyumba full. Kuna 10,000/= cash kabla ya saa 06:00 asubuhi. Nipe picha ya hii nyumba ikiwa full na paa lake hili linaloonekana kama lilivyo Karibuni kwenye mpambano. 10,000...
  10. D

    Nimepata admission vyuo mbalimbali Europe. Wapi naweza pata full funded scholarship?

    Nimepata conditional admission vyuo mbalimbali. Courses ni masters ya leadership na education leadership. Uingereza nimepata vyuo vinne. Sweden chuo 1 Finland 1 Poland 1 Tatizo ni uwezo wa kujisomesha. Naomba mwenye kufahamu taasisi ninayoweza kuomba full funded scholarship/sponsorship...
  11. Ibrahim daud

    INAUZWA Pikipiki ina ya Skygo inauzwa

    Skygo haina hata mwaka Full docments 1.8M 0718909429 Arusha, Morombo, Tanzania
  12. P

    Naomba kujua Gharama za kufanya Full Body Check-up katika Public and Private Hospitals Tanzania

    Itabidi ujikaze kupima tu, hakuna namna mzee! 😄, kila la kheri!
  13. OKW BOBAN SUNZU

    Ni ngumu sana kupata mwanamke full package

    Nilikuwa najipa moyo kwamba unaweza kupata mwanamke mwenye sifa angalau 80% ya vile vigezo muhimu vya kuwa mke bora. Nikasema kama wapo wanawake wazuri wa sura zenye mvuto, lakini kwa nini usipate mwenye mvuto akawa pia na tabia nzuri, mnyenyekevu, mtiifu, mwenye bidii nk? Nikaona ngoja niingie...
  14. M

    Full Stack Web Developer, Block Chain Developer, Machine Learning and Artificial Intelligence

    Wakuu, samahini nilikuwa naomba niuliza kwa wanaojuwa kati ya hizi programming skills job. 1. Full stack web developer, 2. Block chain developer, 3. Machine learning and Artificial intelligenece Ipi ni marketable sana hapa TANZANIA even OUTSIDE?
  15. W

    Napataje mechi yote ya marudio na mahala pakutoa malalamiko ya betting?

    Jamani kama nilivoeleza Pao juu nilibetia shoot on tergert za CRYSTAL PALACE vs BANLEY sasa Kuna sehemu nyingine wameonesha 6.0 na nyingine 6.1 sasa nilivo watafuta wamesema nitafutee full match tuhesabu shoot on tergert naipataje full mechii msaada jamani na pili kama hatuaelewana kampuni...
  16. M

    Wachezaji wa timu za wenzetu wanalia kwa kutoingia nusu fainali ila Taifa Star yetu ni full tabasamu ilipoishia

    Nimeona jinsi timu za Morocco, Egypt na leo Guinea walivyolia kwa kutoingia quarter final au semi final. Yaani wanaumia. Ila wachezaji wetu sikuwahi kuwaona wakisikitika kwa kutofanya vizuri
  17. Meneja Wa Makampuni

    Bonus: Orodha ya Full funded Scholarship za kumalizia mwaka

    Soma kwa makini hizi Scholarship anza kutuma maombi: 1. Commonwealth Scholarship 2024/2025: https://cscuk.fcdo.gov.uk/about-us/scholarships-and-fellowships/ 2. Queen Elizabeth Commonwealth Scholarships 2024/2025...
  18. Eli Cohen

    Misiba ya watu weusi ni tamthilia tupu!

    Misiba yetu huwa ni event fupi yenye mambo mengi ya ajabu, yakuchekesha, kuhudhunisha na kustajaabisha. Misibani huwa ndio fursa nzuri kwa ajili ya wambea na wanafiki. Wanatunga stori kuhusu kifo na maisha ya familia yenye msiba. Unakuta kuna vikundi vikundi vya wakina mama, vya wakina baba...
  19. Eli Cohen

    Kama Iddi Amin angekuwa na full support ya jeshi then vita ya Kagera ingekuwa ndefu sana na ingetugharimu kiuchumi vibaya mno

    Uganda tayari ilikuwa fractured kuanzia serikalini hadi kwenye jamii. Watu wa Uganda waliishi kwa kumuogopa dadaa ila hawaku muheshimu. So vita kutoka Tz ilikuwa ni fursa kwao kwa maana wanajeshi wa Tz walikuwa wanapata support kwa kila kituo walichokuwa wanafikia na naamini jeshi letu...
  20. Jamii Opportunities

    TRA Call for Interview October 2023: Full List

    The Tanzania Revenue Authority (TRA) is pleased to inform the job applicants who passed the screening test and were selected for practical and oral interviews. The interviews are scheduled to take place from October 29, 2023, to November 2, 2023, with the eventual employment of successful...
Back
Top Bottom